Mh Halima Mdee ni mwanasiasa kijana Moga ?au msomi mwenye fikra pevu?

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Kwa bahati namsikiliza sana bi halima mdee. anapokuwa Mjengoni huongea na kupiga meza anavyotaka huku akiamini hakuna sheria inayoweza kumpeleka Mahakamani.
Ndani ya bunge, wabunge wote wanakinga ya kutosha.
Lakini nje ya bunge Bi halima huwa kama Paka alieroa. Hata jimboni kwake licha ya kero nyingi wakazi wake wanavyofanyiwa. lkn sikuwahi kumsikia akipiga kelele na kuilaumu CCM kama anavyofanya Lissu na Mnyika au hata Mama slaa.
Licha ya Chadema kuonekana ni Chama FUJO kwa viongozi wake, lakini mama huyu akiwa nje ya Bunge anajificha kabisa. na humalizia hasira zake bungeni sehemu ambayo ni salama kwake

lakini hata JF tuliambiwa atakuja na tukahidiwa na marketer. lkn pia ameingia mitini

JEE HUU NI WOGA WA KISIASA.
 
Kwa bahati namsikiliza sana bi halima mdee. anapokuwa Mjengoni huongea na kupiga meza anavyotaka huku akiamini hakuna sheria inayoweza kumpeleka Mahakamani.
Ndani ya bunge, wabunge wote wanakinga ya kutosha.
Lakini nje ya bunge Bi halima huwa kama Paka alieroa. Hata jimboni kwake licha ya kero nyingi wakazi wake wanavyofanyiwa. lkn sikuwahi kumsikia akipiga kelele na kuilaumu CCM kama anavyofanya Lissu na Mnyika au hata Mama slaa.
Licha ya Chadema kuonekana ni Chama FUJO kwa viongozi wake, lakini mama huyu akiwa nje ya Bunge anajificha kabisa. na humalizia hasira zake bungeni sehemu ambayo ni salama kwake

lakini hata JF tuliambiwa atakuja na tukahidiwa na marketer. lkn pia ameingia mitini

JEE HUU NI WOGA WA KISIASA.

Kunguru Mweusi,
Hapana Mhe Halima si muoga,wanasiasa wote uliowataja wana characters tofauti na approach tofauti,Mhe Halima anajiamini kupita Kiasi na kwa tabia hiyo nilazima unapokuwa mbele ya wale waliokupa mamlaka ni lazima utahesabu maneno na kupangilia cha kuongea.
 
To be honest,Mdee is too cold now days!! Inawezekana anapiga kazi kama kawa lakini haonekani kabisa kama zamani wala kusikika! Watu walipenda Swaga zake za ukali na kuhenyesha watendaji! Sijui kulikoni!
 
Kunguru Mweusi,
Hapana Mhe Halima si muoga,wanasiasa wote uliowataja wana characters tofauti na approach tofauti,Mhe Halima anajiamini kupita Kiasi na kwa tabia hiyo nilazima unapokuwa mbele ya wale waliokupa mamlaka ni lazima utahesabu maneno na kupangilia cha kuongea.
Halima Mdee kama mwanasiasa kijana na tena mwanamke tunayeamini ni moja ya bora zama hizi tulipaswa kusoma na kusikia mipango yake,akishiriki ktk mijadala mbalimbali hata humu JF ili tuone mawazo yake kama kiongozi kama akina wewe,
Zitto,Mnyika,Dr Slaa n.k ktk matukio mengi utajua msimamo na mawazo ya hao niliowataja lakini mwanamama tunayemtegemea Halima Mdee kimya kabisaaa! Nafikiri Halima abadilike kidogo afanye siasa kweli kweli! Tunataka tuone maono yake kwa njia mbalimbali yanayohusu muelekeo wa Taifa letu! Halima Mdee yuko vizuri lakini asipobadilika na kuamua kufanya siasa kwelikweli jimbo la Kawe 2015 linarudi CCM!! Watanzania wanataka wakusikie kama Zitto,Magufuli,Dr Slaa,Mbowe n.k na Halima ndivyo alivyo lakini amebadilika sana!
 
Kwa bahati namsikiliza sana bi halima mdee. anapokuwa Mjengoni huongea na kupiga meza anavyotaka huku akiamini hakuna sheria inayoweza kumpeleka Mahakamani.
Ndani ya bunge, wabunge wote wanakinga ya kutosha.
Lakini nje ya bunge Bi halima huwa kama Paka alieroa. Hata jimboni kwake licha ya kero nyingi wakazi wake wanavyofanyiwa. lkn sikuwahi kumsikia akipiga kelele na kuilaumu CCM kama anavyofanya Lissu na Mnyika au hata Mama slaa.
Licha ya Chadema kuonekana ni Chama FUJO kwa viongozi wake, lakini mama huyu akiwa nje ya Bunge anajificha kabisa. na humalizia hasira zake bungeni sehemu ambayo ni salama kwake

lakini hata JF tuliambiwa atakuja na tukahidiwa na marketer. lkn pia ameingia mitini

JEE HUU NI WOGA WA KISIASA.

umekula utumbo wa shilingi ngapi? na utumbo wenyewe ulikuwa wa leo leo au ndaza?
 
Bungeni ndio mahara pake Mh Mdee yupo sawa,make mjengoni ni mahali pa kupaza sauti kutetea wanyonge.Sasa anafanya kazi ya kukusanya maoni + kero za wananchi akazikemee BUNGENI.
 
Stop achana na Mbunge wetu. Huyu binti si mwoga kama unavyodhania bali ni mtu aliyeleleka malezi mazuri sio wa kupwayuka ovyo.
 
Halima Mdee kama mwanasiasa kijana na tena mwanamke tunayeamini ni moja ya bora zama hizi tulipaswa kusoma na kusikia mipango yake,akishiriki ktk mijadala mbalimbali hata humu JF ili tuone mawazo yake kama kiongozi kama akina wewe,
Zitto,Mnyika,Dr Slaa n.k ktk matukio mengi utajua msimamo na mawazo ya hao niliowataja lakini mwanamama tunayemtegemea Halima Mdee kimya kabisaaa! Nafikiri Halima abadilike kidogo afanye siasa kweli kweli! Tunataka tuone maono yake kwa njia mbalimbali yanayohusu muelekeo wa Taifa letu! Halima Mdee yuko vizuri lakini asipobadilika na kuamua kufanya siasa kwelikweli jimbo la Kawe 2015 linarudi CCM!! Watanzania wanataka wakusikie kama Zitto,Magufuli,Dr Slaa,Mbowe n.k na Halima ndivyo alivyo lakini amebadilika sana!


Wabunge wa CDM ni malaika huwa hawakosolewi hapa jamvini,na ukitaka watu wakutolee povu jaribu kutoa mawazo yako hata ya kujenga au kurekebisha lakini gusa CDM uone hapa,huu unaitwa unafiki wawazi kabisa,Mimi bado naamini nchi hii haitabadilishwa na wana siasa kutuletea maisha tunayoyatarajii wAtz lazima sisi wenyewe tuanze kufanya kazi kwa bidii kuacha kutumiwa na wanasiasa kwa maslahi yao,na kuchagua viongozi wenye muelekeo na sera nzuri,ukitaka kujua CDM na CCM ni ndugu moja tazama Wabunge wa viti maalum Chadema ndio utajua mchezo wa siasa ulivyo,ni wenyewe kwa wenyewe wanapeana,haya nishambulieni wafuasi nliowagusa,
 
Kuipigia kelele CCM?

Is this the best an opposition MP is required to do?
 
Halima Mdee kama mwanasiasa kijana na tena mwanamke tunayeamini ni moja ya bora zama hizi tulipaswa kusoma na kusikia mipango yake,akishiriki ktk mijadala mbalimbali hata humu JF ili tuone mawazo yake kama kiongozi kama akina wewe,
Zitto,Mnyika,Dr Slaa n.k ktk matukio mengi utajua msimamo na mawazo ya hao niliowataja lakini mwanamama tunayemtegemea Halima Mdee kimya kabisaaa! Nafikiri Halima abadilike kidogo afanye siasa kweli kweli! Tunataka tuone maono yake kwa njia mbalimbali yanayohusu muelekeo wa Taifa letu! Halima Mdee yuko vizuri lakini asipobadilika na kuamua kufanya siasa kwelikweli jimbo la Kawe 2015 linarudi CCM!! Watanzania wanataka wakusikie kama Zitto,Magufuli,Dr Slaa,Mbowe n.k na Halima ndivyo alivyo lakini amebadilika sana!

Noted,anapitia nyanja hizi,atakusoma.
 
Back
Top Bottom