Kwa bahati namsikiliza sana bi halima mdee. anapokuwa Mjengoni huongea na kupiga meza anavyotaka huku akiamini hakuna sheria inayoweza kumpeleka Mahakamani.
Ndani ya bunge, wabunge wote wanakinga ya kutosha.
Lakini nje ya bunge Bi halima huwa kama Paka alieroa. Hata jimboni kwake licha ya kero nyingi wakazi wake wanavyofanyiwa. lkn sikuwahi kumsikia akipiga kelele na kuilaumu CCM kama anavyofanya Lissu na Mnyika au hata Mama slaa.
Licha ya Chadema kuonekana ni Chama FUJO kwa viongozi wake, lakini mama huyu akiwa nje ya Bunge anajificha kabisa. na humalizia hasira zake bungeni sehemu ambayo ni salama kwake
lakini hata JF tuliambiwa atakuja na tukahidiwa na marketer. lkn pia ameingia mitini
JEE HUU NI WOGA WA KISIASA.
Ndani ya bunge, wabunge wote wanakinga ya kutosha.
Lakini nje ya bunge Bi halima huwa kama Paka alieroa. Hata jimboni kwake licha ya kero nyingi wakazi wake wanavyofanyiwa. lkn sikuwahi kumsikia akipiga kelele na kuilaumu CCM kama anavyofanya Lissu na Mnyika au hata Mama slaa.
Licha ya Chadema kuonekana ni Chama FUJO kwa viongozi wake, lakini mama huyu akiwa nje ya Bunge anajificha kabisa. na humalizia hasira zake bungeni sehemu ambayo ni salama kwake
lakini hata JF tuliambiwa atakuja na tukahidiwa na marketer. lkn pia ameingia mitini
JEE HUU NI WOGA WA KISIASA.