Na gazeti dada la uhuru "habari leo".Uhuru ndiyo imeripoti hii habari
Hivi Jambo Leo ni la ****n' yupi?Ongezea JAMBA LEO hapo!
Si ndo majini menzake yanapoishi!! Au we ulidhani haka kakiumbe kalikuwa kabinadamu kamili!!??Mwili wake tangu jana umehifadhiwa msikitini badala ya monchwari, sasa sijui siku hizi kuna postmotam inafanyika msikitini?
Uliangalia kwenye runinga? au kwenye magazeti? mbona kwny tbc1 habari haikuripotiwa au waliogopa hawakuwa na picha?Kijana nipo sana, nashangazwa na hizo double standards zenu! Mbona alipopigwa Nyangwine mliamini bila kuhoji na hamku-suspect foul play? Kuweni wapole ndio siasa hizo!
Na gazeti dada la uhuru "habari leo".Uhuru ndiyo imeripoti hii habari
Source?
Otherwise, this is CrAp!
Source?
Otherwise, this is CrAp!
Nasikitika sana kifo cha mnajimu wa nyota mimi nilimuuta mwizi wa nyota kitawaathiri wengi. Wale wote tuliowaona angalau wana akili kidogo sasa tutawaona wakitapatapa baada ya nyota za watu walizowekewa kurudi kwa wenyewe kwa kukosa mlinzi.hua nafurahi sana kumuona zitto humu,au kiongozi yeyote akiwa ndani ya jukwaa kujibu
hoja yoyote au uongo kama huu,sijui kwanini wabunge wengi wa chadema hawamo JF.
Au ndo wanatumia majina bandia kama sisi?
Lema yuko wapiiiiiii!