Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Magazeti ya leo yanaripoti kuwa Kamanda Lema mbunge wa Chadema jana alipopolewa kwa mawe katika mji mdogo wa Sirari. Lema alikuwa katika harakati zake za kuchochea maandamano kwa wafiwa ndipo wananchi hao wenye hasira walipo mpa kisago hicho.
===========
Kutoka kwa Lema:
Hakuna kitu kama hicho, ni uzushi mtupu na wala sipo Mara bali nipo Arusha kwenye harusi ya mdogo wangu ambayo naisimamia leo. Watanzania msiamini habari hizi
=============
Kutoka kwa Anonymous Source:
Mh. Lema umeshafika Arusha? Unataka kusema wewe haukuwa Sirari?
===========
Kutoka kwa Lema:
Hakuna kitu kama hicho, ni uzushi mtupu na wala sipo Mara bali nipo Arusha kwenye harusi ya mdogo wangu ambayo naisimamia leo. Watanzania msiamini habari hizi
=============
Kutoka kwa Anonymous Source:
Mh. Lema umeshafika Arusha? Unataka kusema wewe haukuwa Sirari?