Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Uchaguzi huu utaibua mambo mengi sana lakini hatma ya mbunge wao ipo chini ya wananchi.
I have never ranked Tendwa high! Mimi ninajiuliza hata huo U-JUDGE aliupataje? au ndiyo ainadhirisha ule msemo kwamba CCM is a mental disease? Once you're a CCM zealot your thinking and reasoning capacity approaches ZERO!!.
Yaani "Wazee" wanapanga kufanya JINAI, tena JINAI ya kutoa ROHO ya mtu, mbele ya Kiongozi Mkubwa, Msajili wa vyama vya SIASA, tena mwenye Cheo cha U-JUDGE (Kama kweli ni judge, maana wajita kila mtu ni JUDGE), badala ya kwenda kutoa report POLICE ili kuzuia hiyo JINAI isitendeke JUDGE mzima na k.o.r.o.n.d.a.n.i zake anakwenda kuropoka kwenye vyombo vya habari? Hivi kweli huyu anayejiita JUDGE alipass hata hiyo LLB 101? Au ndiyo wale ma-JUDGE wa Kijita?! YEGO JAJI
Kama ma-Judge tulionao nchi hii ni wa aina ya akina Tendwa no wonder mahakama zetu zimeshindwa kutenda HAKI. Huyu Tendwa kama angeletewa kesi yaina I suspect angetoa SUMMARY DISMISSAL kwamba Lema ameuawa kwa KIHEREHERE chake kwasababu alionywa hakusikia.
Ruling za aina hii is ONLY POSSIBLE IN TANZANIA.
Napenda kumwambia lema akiuawa atawaonesha wauaji mana anawajua
Mkuu hebu nikumbushe hii avatar yako huyu mzee asiye na elimu alikamatwaga wapi vile
Kila chaguzi CCM wanaingia na WRONG tactics ambazo huacha makovu makubwa sana kwa wananchi baada ya uchaguzi. Tendwa katumwa na CCM lakini anajikuta akiwagawa wana Arumeru... Ndio madhara ya kuwa na viongozi legelege
Kwani uwezo wako ni wa kiwango gani?Napata wasiwasi na uwezo wako wakuchambua mambo, ni mdogo mno kuzidi hata punje ya mchanga !