figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Napenda kutumia huu mtandao mashuhuri nchini Tanzania wa jamii forums (JF) kufikisha malalamiko yangu kwenu.naamini kabisa hata wamiriki wa mtandao huu (JMCL) watanisaidia kuwafikishieni taarifa kama hamjapata mda wa kusoma hapa.
Mdongo wangu ameajiriwa TAESA hapa dar ambayo ipo chini yenu,na ameanza kazi tangu 7/2/2011.ametoka kanda ya ziwa,lakini tangu aanze kazi hajapewa hela aina yoyote ya kujikimu wala mshahara hadi sasa ninapo andika.jibu linalotolewa ni hajaingizwa kwenye system.naomba msaada.
Mdongo wangu ameajiriwa TAESA hapa dar ambayo ipo chini yenu,na ameanza kazi tangu 7/2/2011.ametoka kanda ya ziwa,lakini tangu aanze kazi hajapewa hela aina yoyote ya kujikimu wala mshahara hadi sasa ninapo andika.jibu linalotolewa ni hajaingizwa kwenye system.naomba msaada.