Ungana
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 357
- 74
juzi kwenye habari za channel ten Lowasa ameoneshwa anatoa Mchango wa shiling milion 65
Ulitaka asitoe?
juzi kwenye habari za channel ten Lowasa ameoneshwa anatoa Mchango wa shiling milion 65
Jamii01, fuatilia thread za Lowassa humu utaziona mpaka mali zake zimeorodheshwa!. Lowassa ni tajiri wa ukweli aliyepata mali zake zote kihalali na ndio maana amezisajili zote kwa jina lake na la mkewe Rejina!.
Ila hakuna ubishi CCM imegubikwa na ufisadi hali inayopelekea kila yeyete mwenye chochote kitu kuonekana fisadi.
Lowassa ni miongoni mwa wanaitwa mafisadi wakuu kufuatia kukubali kulibeba lile zigo kubwa la Richmond ili kumnusuru best wake na chama chake na aibu ya mwaka, hivyo yeye kuchafuka kwa kukubali kujitwisha msalaba wa ukombozi na salama ya CCM!.
Anachokifanya huko makanisani na kwenye michango mbalimbali ni kuonyesha uwezo wake kwenye kitu kinachoitwa mass mobilization kwa ajili ya kujiletea maendeleo, kitu ambacho JK ameshindwa kabisa!.
Hilo la kuandikwa magazetini, na kwenye vyombo vya habari, ni kufuatia EL kuwa na mvuto wa ajabu uliotoka kwa Mungu. Kila asemalo linamantik kwa hali ilivyo sasa!. Lowassa ni photo genic!, akipigwa picha anapendezea!, akiongea anavutia kumsikiliza!, na kikubwa zaidi yeye sio mtu wa maneno maneno na vitendo sifuri kama JK, yeye ni mtu wa maneno mafupi na vitendo virefu.
Wakuu wengi waliopo wakisikia JK atatembelea mahali, huandaa taarifa safi, mkuu akifika, akishasomewa taarifa, hupiga makofi na kuendelea na ziara!. Enzi za Lowassa akishasomewa taarifa huipokea na kuelekea physically kuyaangalia hayo yaliyozungumziwa!. Hivyo watu wakisikia JK anakuja, hukaa miguu juu, ila wakisikia ni Lowassa!, kijasho huwa kinawatoka maana jamaa hakubali kabisa longo longo yoyote!.
Ni kufuatia utendaji huu ndio maana mimi na wenzangu wachache humu jukwaani, tumeamua kujitolea kumsafisha Lowassa na ule uchafu wa Richmond, tunamtaka alitue hilo zigo amkabidhi mwenyewe, na yeye ndie ateuliwe kuwa mgombea wa CCM tumpigie debe, aingie Ikulu!.
Lowassa ni Tajiri sana hata kabla hajawa waziri mkubwa. Nitashangaa kama tajiri anaulizwa kuwa pesa anatoa wapi. Tatizo la Lowassa na baadhi ya viongozi wengine matajiri ni pale wanaposhindwa ku declare interests zao in time. EL anamiliki ma estate nyingi hapa Arusha, ana Shares kubwa kwenye makampuni ya utalii kama vile Leopard nk.
MTOA MADA akili za kuambiwa changanya na zako usiishie hapo ikibidi ongeza na za BABA YAKO......
jiulize kirahisi tu speach gani ya EL ina mvuto........
Kidatu, there you are!. Urais 2015 ni vita!. Watanzania tuna haki na utajiri wa mali asili zetu tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu ambazo hawa manyang'au waliopo wamezitoa sadaka kwa wanaojiita wawekezaji, huku wakikomba kila kitu na kutuacha beggera!. Tanzania sio masikini kihivyo!. Kwa vile Tanzania yenye utajiri na neema ni haki yetu, na haki hiyo hatutaletewa kwenye kisahani cha chai, ni lazima tuipiganie, haki hailetwi, bali inadaiwa na ikibidi inapiganiwa na ndipo inapatikana!.Pasco, kuwa mwizi si kuiba tu bali hata kushirikiana na mwizi pia ni wizi.
Lowasa ndiyo ni mtendaji mzuri sana na pia ni mfuatiliaji wa karibu wa mambo. Lakini katika hili skendo la Richmond hakuwa na sababu ya yeye kukubali kubebe zigo la wezi kama yeye si mwizi, lakini kwa sababu alikubali kubeba zigo la wezi kwa lengo la kuwalinda wezi hao basi na yeye ni mwizi unless proved otherwise. Na Tanzania hatuko tayari kuongozwa na wezi tena kwani tumeshaibiwa vya kutosha. Unasema kwamba ndani ya CCM wote wezi ila Lowasa ana unafuu kidogo, basi tuiweke CCM yote kando kwani si lazima nchi iongozwe na CCM.
Kama Lowassa ni msafi
1.Kwa nini alifukuzwa ukurugenzi wa AICC kwa kujilimbikizia mali ?,alifukuzwa na Juliasi Nyerere.
2.Kwa nini alijiuzulu kwa sakata la Richmond ambalo nyie mnadai hakuhusika,na kwa nini ameendelea kuficha ukweli hadi sasa kama ni mtu anayetakia mema taifa hili? mbaya zaidi kwa unafiki wake alidai anajiuzulu kwa sababu watu wanautaka uwaziri mkuu wake.
3.Atakuwaje mkombozi wa pili na wakati amekuwapo kwenye serikali kwa miaka mingi sana na hatujaona "something so special" from him?.Afadhali hata magufuli tunaona impact kila sehemu anayoenda.
4.Ni maamuzi magumu gani ambayo mnasema Lowassa ameyafanya? Usitaje kujiuzulu kwa sababu hayo pia ni maamuzi magumu kama ya jambazi anayeenda kuvunja nyumba ya mtu.Amejiuzulu ili kuendelea kulindana na aidha wezi wenzake au wazembe wenzake
Until unijibu maswali haya kiufasaha,ntahamia rasmi kwenye kambi ya Lowassa.
Kama Lowassa ni msafi
1.Kwa nini alifukuzwa ukurugenzi wa AICC kwa kujilimbikizia mali ?,alifukuzwa na Juliasi Nyerere.
2.Kwa nini alijiuzulu kwa sakata la Richmond ambalo nyie mnadai hakuhusika,na kwa nini ameendelea kuficha ukweli hadi sasa kama ni mtu anayetakia mema taifa hili? mbaya zaidi kwa unafiki wake alidai anajiuzulu kwa sababu watu wanautaka uwaziri mkuu wake.
3.Atakuwaje mkombozi wa pili na wakati amekuwapo kwenye serikali kwa miaka mingi sana na hatujaona "something so special" from him?.Afadhali hata magufuli tunaona impact kila sehemu anayoenda.
4.Ni maamuzi magumu gani ambayo mnasema Lowassa ameyafanya? Usitaje kujiuzulu kwa sababu hayo pia ni maamuzi magumu kama ya jambazi anayeenda kuvunja nyumba ya mtu.Amejiuzulu ili kuendelea kulindana na aidha wezi wenzake au wazembe wenzake
Until unijibu maswali haya kiufasaha,ntahamia rasmi kwenye kambi ya Lowassa.
Kidatu, there you are!. Urais 2015 ni vita!. Watanzania tuna haki na utajiri wa mali asili zetu tulizojaaliwa na Mwenyezi Mungu ambazo hawa manyang'au waliopo wamezitoa sadaka kwa wanaojiita wawekezaji, huku wakikomba kila kitu na kutuacha beggera!. Tanzania sio masikini kihivyo!. Kwa vile Tanzania yenye utajiri na neema ni haki yetu, na haki hiyo hatutaletewa kwenye kisahani cha chai, ni lazima tuipiganie, haki hailetwi, bali inadaiwa na ikibidi inapiganiwa na ndipo inapatikana!.
Wengi wa wanaotamani ukombozi wa kweli, wanautamani wakiamini siku moja ukombozi huo utashushwa toka mbinguni na sisi kutunukiwa kama ile mikate ya mana enzi za Nabii Mussa!. Mimi nasema, haki hiyo lazima itafutwe, idaiwe, ipiganiwe na hata ikibidi damu za watu zimwagike ili ipatikane!.
Kwa wale tunaokubaliana kuwa urais 2015 ni vita, na ili ushinde vita lazima umjue adai yako, kwenye vita hivi vya ukombozi wa pili, adui yetu number moja ni CCM!. Sasa wale wote wanaodhania serikali ya CCM itaotoa utawala kwa wapinzani kama zawadi!, they are wrong!, CCM would wish to consolidate power ili itawale milele!. Kwa vile CCM does exist, mimi ni muumini wa falsafa ya Baba wa Taifa kuwa ukombozi wa kweli wa nchi hii utatokana na upinzani wa kweli ambao utatoka CCM!.
Mimi na wenzangu wachache humu jukwaani, we can see a light on Lowassa, huyu ndie mtu pekee anaweza kuleta ukombozi wa kweli!. Hivyo tunampigania kwa nguvu zetu zote!.
Kitendo cha Lowassa kukubali kubeba zambi za wengine ili CCM iokoke ni uthibitisho wa ushajaa mkubwa alionao ambao mimi naufananisha na Bwana Wetu Yesu Kristu kukubali kubeba dhambi za ulimwengu ili sisi tuokoke!.
Wale mnaosema kwa Lowassa kubeba zambi za wezi, hivyo na yeye ni mwizi!, jee Yesu alivyokubali kubeba zambi za ulimwengu, jee na yeye ni mzambi!. Wajameni tusihukumu tusije tukahukumiwa!.
Naendelea kusisitiza, wale wote mnaoniaminia mimi Pasco wa jf, nawaombeni sana lets bank on Lowassa as the one and only anaweza kuleta mabadiliko ya kweli na tukapata 'ukombozi wa pili'!
Wale wote mnaonibeza na kuamini nimelipwa, nimenunuliwa, najikomba etc, endeleeni kuamini hivyo, kwa kuwasaidia tuu,
kwa wasionijua, tangu enzi za utotoni, pale Msasani kwa Mwalimu ilikuwa ni playing ground yetu!, sekondari nimesoma na mtoto wa kwa Mwalimu, nimesoma darasa moja na mtoto wa Ben, wakati huo mtoto wa Mwinyi akiwa A-Level, Chuo Kikuu nimekutana na mtoto wa JK, hivyo ile access ya one to one na Nyerere (RIP), Mwinyi, Mkapa na JK has/is always there, hivyo kama ni lobbyst ya kujipatia kijipost chochote, basi ningeshalobby zamani na labda saa hizi ningekuwa kivulini!.
Lowassa ni sikio la kufa, sasa nijikombe kwa Lowassa ili nipate nini?. Naombeni mniaminie, kuna type ya watu ambao wao ni masikini na wanaridhika na umasikini wao, hawa wanaitwa "masikini jeuri" na mimi niko kwenye kundi hilo!. Sijalipwa senti tano na yoyote kumpigania Lowassa!.
Namalizia kwa msisitizo, Lowassa ni chaguo la Mungu, lile ambalo kwa binaadamu haliwezekani, kwa Mungu linawezekana!. Subirini mshuhudie "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!".
sijui ni kwanini Nyerere alihoji kuhusu mali za Lowassa japo wakati huo kulikuwa na wana-ccm wengi tu waliokuwa na mali zisizo na maelezo, pia kuna waliofisadi zikaishia kwenye zip na matumbo hao hakuhojipasco una mahaba na lowassa,lowassa alishindwa kumwambia nyerere alivyopata mali zake!na huoni kumiliki hayo makampuni akiwa kiongozi mwandamizi serikalini kuna conflict of interest au undue influence?
Okada, utakuwa umechanganya mambo bila kujijua, JK alikuwa ni chaguo la mungu, Lowassa yeye ni chaguo la Mungu!.Hakuna kipya unachongelea ambacho watz hatukijui. Huo usemi wa CHAGUO LA MUNGU NDIO UNAOTUTOKEA PUANI. BADILISHA STRATEGIES....
acha unafiki,atutoe hapa atupeleke wapi? labda shimoni! lowasa hafai kwa kuchovya wala kwa kulumangia kama rafiki yake. ukweli ni kwamba hawa jamaa ni mafisadi hata shetani anajua hilo.najua kuelekea 2015 wengi wenu mtanunuliwa naye na wengine tayari kama askofu fulani hivi wa kanisa lililoko pale postaUnajua ktk hili sakata la richmond, lowasa alifanya kosa sana kubeba mzigo ambao si wake. Hapa alikuwa anapaswa kutumia falsafa ya kila mtu atabeba msalaba wake. Binafsi namlaumu sana lowasa kwa hilo. Ona sasa tunamuhitaji atutoe hapa lakini ndo anakutana na vikwazo ambavyo vinamchafulia. Hapa yapaswa huyu jamaa tumsamehe ili tumtumie atuvushe hapa tulipo. Lowasa usivunjike moyo kwa kuwa wewe unaweza ukawa mtu sahihi wa kututoa hapa tulipo.
Nina maswali matatu tu kwa pro EL;
1. Kwani ndani ya CCM hakuna mtu mwingine zaidi ya EL?
2. Kwa nini EL anautaka SANA urais?
3. Kama anataka kuwasidia wa TZ, hawezi kusaidia kwenye capacity nyingine?
Nitafurahi nikijibiwa ili niweze pima kina cha maji!