hakuna msiba alioomba kuhudhuria misiba yote yeye ndo anaomba kwenda basi afanye hivyo na songea hata salam tu tutajua yeye ni raisi wawatanzania.
hatukumubughudhi ilikua lazama itokee ukingazitia wakati huo kulikua na joto la posho za wabunge.sema labda amezoea shida kiasi kwamba imekua sehemu ya maisha yake.Mwacheni ajiliwaze si mlimbughudhi na migomo ya madaktari wakat wa likizo yake mbugani!
kwamba polisi hawajaua au fafanua
we dogo unampinga dongo ata prezidaaa wako?? Aya ngoja mi nichekecheke kijk te te thi thi thi... Aya nakojoa ili nikalale..je hizo picha za songea zitapendeza kama zile za misiba ya sehemu nyingine ambazo akipigwa anaweka nne ili travota yake ionekane?