Tunajua unatupenda na hakikika nasi tunakupenda na kukuheshimu. Ahsante kwa mchango wako wa m4c leo hapa serena dar. Tumekukubali mkubwa. Wengine fuateni mkondo. Once again thank you very, very much. Peoples power. Salute.
Tunajua unatupenda na hakikika nasi tunakupenda na kukuheshimu. Ahsante kwa mchango wako wa m4c leo hapa serena dar. Tumekukubali mkubwa. Wengine fuateni mkondo. Once again thank you very, very much. Peoples power. Salute.
Habari ambazo hazijadhibitishwa ni kuwa Mukama na Nape wako kwenye kikao cha dharula kumjadili Deo na jinsi ya kuwazuia wabunge wengine wa Magamba 160 ambao Intelijensia ya CCM imegundua wako tayari kuchangia M4C.
(joke) tehe tehe tehe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.