kiroba
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 324
- 114
Nakushauri Mh Betty Machangu chukua fomu ugombee nafasi hiyo kwani una sifa na uwezo mkubwa sana kuliko aliyekuwepo sasa.
Nakufahamu vizuri sana utendaji wako tangu ukiwa kama mkuu wa wilaya ya Nzega.
Wanachama wa UWT kama kweli mnataka maendeleo ya jumuiya yenu basi huyu mama ndio suluhisho kwenu. Kweli huyu Mh Betty Machangu ana uwezo mkubwa sana. Anajua kupanga mikakati ya maendeleo.
Tafadhali sana mama Machangu nakuomba ufanyie kazi hili ombi la wengi. Jumuiya inakuhitaji sana katika kipindi hiki. Tunakuomba uchukue fomu na tutakuunga mkono na utashinda kwa kishindo.
Nakufahamu vizuri sana utendaji wako tangu ukiwa kama mkuu wa wilaya ya Nzega.
Wanachama wa UWT kama kweli mnataka maendeleo ya jumuiya yenu basi huyu mama ndio suluhisho kwenu. Kweli huyu Mh Betty Machangu ana uwezo mkubwa sana. Anajua kupanga mikakati ya maendeleo.
Tafadhali sana mama Machangu nakuomba ufanyie kazi hili ombi la wengi. Jumuiya inakuhitaji sana katika kipindi hiki. Tunakuomba uchukue fomu na tutakuunga mkono na utashinda kwa kishindo.