Kuna dalili za kiushabiki na kuteteana kwenye Bunge letu Mh Shekilindo anaongea tofauti na wengine ,katibu wa bunge naye anaongea luwake ,spika anongea vingine pia unashindwa kuelewa nani yuko sahihi ,Shelukindo anadai posho rais kazikataa ,spika anakubali zimepitishwa,katibu anaeleza wanasubiri mchakato wa kusaini kutoka kwa Rais huku posho hizo zimesha ingizwa kwenye account za wabunge tumwamini nani kama si, wametugeukia na kigeugeu cha nini na hawa wabunge wanajua kabisa utekelezaji wa budget za serikali unakwama kwa ajili ya ukosefu wa hela au upungufu wa hela mpaka msubiri wafadhili waweze kubust budget sasa hizi za kujiongezea kimyakimya zinatoka wapi ,na hasa ni kwa ajili ya luxury si dhani Mh yuko kwa ajili ya wananchi ambao wanaishi china ya $ 1 usd kwa siku, akigubikwa na huduma mbovu za Afya,elimu,usafiri,maji,chakula na malazi je mmeshasahau watu waliowachagua wako kwenye hali gani?na hasa anakotoka Mh SHELUKINDO hawa ndio maskini wa kutupwa huko alikotoka,Spika ndio usiseme na asingepaswa kusahau mapema kiasi hicho.