Mh Beatrice Shellkindo amekodi Mganga wa Kienye jimboni kwenda kukamata Wachawi!

Hata kikwete amepeleka waganga mtwara kwa ajili ya kusafisha uchawi! hii ni baada ya mama salma kufanya ziara huko.. wakati amelala kwenye hotel aliyofikia wachawi wakamtoa nje na kumnyoa nywele zake za ........ , asubuhi alipoamka akajikuta nje!
so mkuu wa kaya akaamua kupeleka wataalamu kule na kazi inaendelea
Source: mmoja wa washirikina ambaye ni jirani yangu!

Na Rhobi Chacha
HABARI zilizotua juu ya dawati la Risasi Jumatano wiki hii zinadai kuwa msako mkali unaendelea mkoani Mtwara, waganga wa kienyeji wanaingia nyumba hadi nyumba kunasa wachawi, aya zinazofuata zinaachia kila kitu.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, waganga hao walifika hadi kwenye kijiji alichozaliwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mheshimiwa Hawa Abdurahman Ghasia.
NI NYUMBA KWA NYUMBA
Inadaiwa waganga hao wamo mkoani humo kwa operesheni maalum kufuatia agizo ambalo mpaka sasa haijajulikana nani alilitoa.
Habari zaidi zinasema kuwa zoezi hilo kwa sasa limeshamiri na kuingia kata kwa kata na nyumba hadi nyumba.
Chanzo kikaendelea kudai kuwa baada ya amri ya kuwepo kwa zoezi hilo, nyumba kadhaa zimekumbwa na kashikashi hiyo ya kushangaza.
Kijiji alichozaliwa Waziri Ghasia ni Naumbu, Kata ya Mikindani, Mtwara Vijijini ambapo habari zinadai karibu wakazi wake wote ni ndugu na wanaishi kwa umoja.
Chanzo: “Lakini ndani ya baadhi ya nyumba walikuta vitu vya ajabu, nyingine hawakukuta vitu.”
Kikaendelea kudai: “Katika safari hiyo, wakafika kwenye nyumba ya bibi mmoja (jina halikupatikana mara moja), humo inadaiwa walinasa vitu lakini haikujulikana kama ni vya uchawi au la!”

WAANDISHI WAMBANA MBUNGE
Naye Ripota Wetu wa Mtwara, Sijawa Omary anasema kuwa baada ya waganga kupekua nyumba mbalimbali za eneo hilo, waandishi wa habari mkoani humo walimwita Waziri Ghasia ambaye pia ni Mbunge wa Mtwara Vijijini na kuzungumza naye wakimtaka aeleze alichonacho kuhusu zoezi la ‘wasakaji’ hao.
Waziri huyo, pamoja na mambo mengine hakuonesha uhalali wa kuwepo kwa operesheni hiyo na hivyo kutotolea ufafanuzi wa kutosha.

VIGOGO WAUMBUKA
Naye mwenyekiti wa kijiji kimoja mkoani humo ambaye aliomba majina yake na ya kijiji yasitiriwe, alisema zoezi hilo limeumbua watu mkoani Mtwara, lakini pia amejifunza kuwa, wapo binadamu ambao kwa macho ni wazuri, lakini usiku wana mambo yao ya hatari.
“Zoezi linaendelea lakini ukweli ni kwamba kuna vigogo wameumbuka. Kumbe unaweza kumwona mtu mchana ukaamini ni mwema, usiku ni adui, hii ni hatari,” alisema mwenyekiti huyo.

Risasi Jumatano juzi Jumatatu lilimtafuta Waziri Ghasia ili azungumzie sakata hilo na alipopatikana alisema: “Ni kweli waganga hao walifika katika kijiji chetu na kufanya upekuzi kuhusiana na masuala ya ushirikina.
“Walifanya hivyo katika nyumba mbalimbali lakini kwenye nyumba yangu na ya wazazi wangu hawakupekua.”
Global Publishers
 
Mmh tangu lini mchawi akamtoa mchawi mwenzie hapo hamna kitu dawa ni kuokoka tu kwani YESU anawapenda na ndio njia pekee tuliyopewa ya kwenda mbinguni na kushinda nguvu zote za kishirikina. YES JESUS ONLY
Beatrice ni Mlokole aina ya Nabii Josephat Mwingira!
 
Na Rhobi Chacha
HABARI zilizotua juu ya dawati la Risasi Jumatano wiki hii zinadai kuwa msako mkali unaendelea mkoani Mtwara, waganga wa kienyeji wanaingia nyumba hadi nyumba kunasa wachawi, aya zinazofuata zinaachia kila kitu.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, waganga hao walifika hadi kwenye kijiji alichozaliwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mheshimiwa Hawa Abdurahman Ghasia.
NI NYUMBA KWA NYUMBA
Inadaiwa waganga hao wamo mkoani humo kwa operesheni maalum kufuatia agizo ambalo mpaka sasa haijajulikana nani alilitoa.
Habari zaidi zinasema kuwa zoezi hilo kwa sasa limeshamiri na kuingia kata kwa kata na nyumba hadi nyumba.
Chanzo kikaendelea kudai kuwa baada ya amri ya kuwepo kwa zoezi hilo, nyumba kadhaa zimekumbwa na kashikashi hiyo ya kushangaza.
Kijiji alichozaliwa Waziri Ghasia ni Naumbu, Kata ya Mikindani, Mtwara Vijijini ambapo habari zinadai karibu wakazi wake wote ni ndugu na wanaishi kwa umoja.
Chanzo: Lakini ndani ya baadhi ya nyumba walikuta vitu vya ajabu, nyingine hawakukuta vitu.
Kikaendelea kudai: Katika safari hiyo, wakafika kwenye nyumba ya bibi mmoja (jina halikupatikana mara moja), humo inadaiwa walinasa vitu lakini haikujulikana kama ni vya uchawi au la!

WAANDISHI WAMBANA MBUNGE
Naye Ripota Wetu wa Mtwara, Sijawa Omary anasema kuwa baada ya waganga kupekua nyumba mbalimbali za eneo hilo, waandishi wa habari mkoani humo walimwita Waziri Ghasia ambaye pia ni Mbunge wa Mtwara Vijijini na kuzungumza naye wakimtaka aeleze alichonacho kuhusu zoezi la wasakaji hao.
Waziri huyo, pamoja na mambo mengine hakuonesha uhalali wa kuwepo kwa operesheni hiyo na hivyo kutotolea ufafanuzi wa kutosha.

VIGOGO WAUMBUKA
Naye mwenyekiti wa kijiji kimoja mkoani humo ambaye aliomba majina yake na ya kijiji yasitiriwe, alisema zoezi hilo limeumbua watu mkoani Mtwara, lakini pia amejifunza kuwa, wapo binadamu ambao kwa macho ni wazuri, lakini usiku wana mambo yao ya hatari.
Zoezi linaendelea lakini ukweli ni kwamba kuna vigogo wameumbuka. Kumbe unaweza kumwona mtu mchana ukaamini ni mwema, usiku ni adui, hii ni hatari, alisema mwenyekiti huyo.

Risasi Jumatano juzi Jumatatu lilimtafuta Waziri Ghasia ili azungumzie sakata hilo na alipopatikana alisema: Ni kweli waganga hao walifika katika kijiji chetu na kufanya upekuzi kuhusiana na masuala ya ushirikina.
Walifanya hivyo katika nyumba mbalimbali lakini kwenye nyumba yangu na ya wazazi wangu hawakupekua.
Global Publishers
Ndio maana serikali yote ya Kikwete walikwenda Loliondo
 
Katumwa na nabii alimwambia EL atakuwa Rais wa TZ anamwandalia njia yule Nabii akimtembelea.
 
Beatrice Shelkindo ameingia mgogoro na Mkuu wa wilaya baada ya kumugharimia mganga wa kienyeji aliyepewa jukumu la kupekuwa,nyumba za watu,makanisa na misikiti kwa lengo la kukamata wachawi na matunguli yao.Zoezi hilo limepingwa vikali na Mashehe jimboni humo kiasi cha kuleta mgogoro mkubwa.source Majira ya leo na vyanzo kutoka Tanga

tupe mshindo nyuma wa zoezi hili maana ni kitambo sasa tangu utupe dondoo za mwanzo.
 
Back
Top Bottom