Sasa naanza kukubaliana na yule Kibajaji mbunge wa Mtera alipoliomba Bunge liwapime akili, nazani huyu jamaa alikuwa najua kabisa ndani ya chama chake si wazima wa akili! hahahaha, ukweli bana hata uufukie vipi ipo siku tu utaibuka, kwa nini wasimpeleke kabisa wodi za vichaa akambane na vichaa wenzake kuliko kufoji vyeti!