Mkomamanga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 815
- 189
Kanuni za uchumi zipo wazi, HAKUNA KUTOA BILA KUPATA, kwa hiyo sidhani kama akina Abood eti wanatoa kwa sababu ya kuwapenda watu. Kumbuka alivyokuwa amefulia akabaki na mabasi mawili tu machovu. Aliyemwokoa ni Mwinyi (kwa kumwamini na kufanya kampuni hii ya Abood kwa kuweka mtaji wake) wakazi wa Morogoro wanajua kama Abood anawafichia siri watu wakubwa serikalini. Scandinavia walishindwa kwa kuwa walikuwa wanakwepa ushuru sasa wamepotea wamejitokeza Green Star hatujui nani yu nyuma yao lakini nao ni walewale. Kwa uhakika usijitesa na kutafuta historia sijui ya Meya na watoto wa Abood bali jua tu kuwa Abood ni dalali wa wakubwa kwa upande wa mabasi na ili awatunzie siri ilibidi wamfanye mmoja wao.
Weka chama cha upinzani 2015 uone kitakachotokea kwa mabasi yale pamoja na vituo vya mafuta vya Camel na Lake Oil ndo utajua kuwa sisi si lolote ila upepo uvumao kuelekea tusikokujua.
Weka chama cha upinzani 2015 uone kitakachotokea kwa mabasi yale pamoja na vituo vya mafuta vya Camel na Lake Oil ndo utajua kuwa sisi si lolote ila upepo uvumao kuelekea tusikokujua.