Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Nina hamu nayo sana hii kitu,lkn kwa jinsi nilivyo na madereva wa daladala na ninapomkumbuka Marehemu Brother Dito(RIP) naona bora ni'vutevute subira kwanza.
hao wa daladala hata mimi wangenipa kesi tu, na wale madereva wanaowasha full light usiku utadhani wanawinda.