Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Yule mgonjwa wangu wa Kansa niliyekuja kuomba ushauri humu ndani kama kuna tiba ya Kansa ya Ubongo hapa Tanzania, Amefariki dunia saa saba usiku wa kuamkia leo.
Kuugua kwake kumenifanya niamini sisi watanzania sasa tunatakiwa kuujua ugonjwa huu kwa undani kwani jamaa kwa miaka yote kumi ya kuugua kwake hakuna hata Daktari mmoja aliyewahi kumwambia kama ana dalili za ugonjwa wa Kansa mpaka pale alipozidiwa!!
Kuugua kwake kumenifanya niamini sisi watanzania sasa tunatakiwa kuujua ugonjwa huu kwa undani kwani jamaa kwa miaka yote kumi ya kuugua kwake hakuna hata Daktari mmoja aliyewahi kumwambia kama ana dalili za ugonjwa wa Kansa mpaka pale alipozidiwa!!