Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Mkuu nahisi nadharia yako si ya kweli! Maana inavyooshesha huyu mama alikodi mkokoteni kubeba mizigo yake! kutokana kutokana na kutoweza kumudu spidi ya msukuma mkokoteni,akaamua naye awe mzigo ili wafike sambamba na msukuma mkokoteni!