Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Hizi huduma zinafaa kuanzishwa pale Muhimbili. Madaktari huwaga mnapitia humu?
Hizi huduma zinafaa kuanzishwa pale Muhimbili. Madaktari huwaga mnapitia humu?
Huyu mgonjwa inaonesha yuko ICU, unconcious, glassglow coma scale, siwezi ku-estimate, hivyo hasikii kitu. Na hao jamaa kama ni Drs, basi wako kwenye mgomo. Mkikumbuka mgomo wa madaktari 2006 Drs walileta tarumbeta pale mui2 manesi wakacheza, wagonjwa wakaburudishwa, weeeeeeeeeeeeeee! mlipiga kelele.