Kwa mfano kama engine ya gari ni kubwa na bonet ni ndogo unatarajia nini ? Utakuta mwanamke amefungasha nyuma kama vile anahama sasa kama fulana aliyovaa ni ndogo wee acha tu.
teh teh humu JF saa nyengine bwana....ni nani umemuona anafanya hivyo?lol
Tumezoea vitop na viblauzi vidogo dogo, fulana nyingi huwa ni ndefu na kubwa kwahiyo tunaona kama zimetuvaa badala ya kuzivaa.