William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
Hivyo anaanza kuchukizwa; kuchukizwa na watu wasio na shukrani, kuchukizwa na watu ambao hawamuelewi. Hiki kinamshangaza.
I like this one, yaani muungwana haelewi his own medicine inapomrudia, na yeye alipokuwa anafanya kampeni zake za siri za urais na kuwachafua wenziwe alitegema nini? Kwamba yeye ni untouchable? Alipokuwa anawalipa wabunge wasiulize maswali kwenye bajeti yake akiwa foreign na kuwalipa wabunge hao hao wamtese Sumaye, Kigoda, na Mwandosya kwenye bajeti zao alitegema nini? Kwamaba hawa wabuneg wakishalipwa hiyo ndio itakua basi huko mbele ya safari? Hakujua kuwa wataendeela kudai kulipwa na kwamba yeye asipowalipa tena atatokea Lowassa na Rostam kuwalipa kama kawaida?
Mifano yote iliyopo duniani kwamba ushirkia wa kutafuta political power huwa haudmu kwa muda mrefu kabla ya wenyewe kwa wenyewe kuanza kugeukana alifkiri haumgusi yeye na hawa mafisadi? Kwa sababu yeye ni nabii aliyelewta kutawala siasa na Mungu?
Kama alikua haelewi hili basi hata level yake ya kufikiri itakua ni ya wasi wasi basi, na hasa kama kweli inaweza kufikia kufikiri kama politician, hili amelikoroga mwenyewe, sasa ni zamu yake kulinywa tena likiwa la moto asitafute mchawi wala kusingizia mtu yoyote, ni lake yeye mwenyewe Muungwana, labda awatafute Mkapa na Abson wamsaidie kulinywa vizuri.