KWETU PAZURI
Senior Member
- Oct 14, 2011
- 161
- 26
Hii ni kutokana na wanafunzi
kutokupewa bum la pili hadi
sasa na kuna wengine hilo la
kwanza bado, baadhi ya
wanafunzi wameskika
wakisema hawatajali uwepo
wa hati za viapo vya
kutokugoma. Ukienda ofisi za
bodi ya mikopo hapa kanda ya
kati, wao wanasema pesa ipo
chuoni, sasa wanafunzi
wanajiuliza nn kinasababisha
uchelewashaji huu.
Hakuna haki inapatikana bila
mgomo.
kutokupewa bum la pili hadi
sasa na kuna wengine hilo la
kwanza bado, baadhi ya
wanafunzi wameskika
wakisema hawatajali uwepo
wa hati za viapo vya
kutokugoma. Ukienda ofisi za
bodi ya mikopo hapa kanda ya
kati, wao wanasema pesa ipo
chuoni, sasa wanafunzi
wanajiuliza nn kinasababisha
uchelewashaji huu.
Hakuna haki inapatikana bila
mgomo.