SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Baada ya waziri wa ndani S. F. Nahoza na waziri wa elimu Kawambwa kuja udom na kuhaidi kutakuwa na mafunzo ya vitendo ila uongozi wa chuo umetoa taharifa kuwa hakutakuwa na mafunzo ya vitendo.Wanafunzi wanalaani kwa kitendo cha uyo waziri kuja na kutoa matamko ambayo ameshindwa kuyatimiza.TAMKO LA WANACHUO NI HAKUNA KWENDA MADARASANI MPAKA HAO MAWAZIRI WAREJEE KAULI ZAO ZA MWANZO.My take:kwa hali ilivyo udom ni tete kwani uongozi wa juu wa nchi una list ya majina ya wanafunzi wa social science and humanities, education ambao walitakiwa wafukunzwe kama wangewasupport wanafunzi wa informatic waliofukunzwa mwezi mmoja uliopita. Sijui kipi kitakachofuata.......nawasilisha