M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Kuna kila dalili kuwa wauza mafuta wamegoma tena kufuatia kushuka kwa bei ya Petrol na Diesel kwa mujibu wa bei elekezi iliyotolewa na EWURA kwa mwezi wa Octoba ambapo Petrol imeshuka hadi sh. 1991 kutoka 2300 ya mwezi uliopita.
Vituo vingi vya kuuza nishati hiyo vimekuwa haviuzi petrol toka mida ya saa nne asubuhi.
Vituo vingi vya kuuza nishati hiyo vimekuwa haviuzi petrol toka mida ya saa nne asubuhi.