Unafki na uwoga miongon mwa walimu,kupata suluhu itakua ni ndoto,mmeambiwa msiende kwenye vituo vya kaz,mnakwenda,na kura ya kuunga mgomo mlipiga bila shuruti...je kwa namna hii tutafika kwel??
Wanaweza kuwa na msimamo mmoja but serikali ina vibaraka wake miongoni mwa walimu wenyewe..kimsingi mfumo wa serikali yetu ndio kikwazo cha watu kudai haki zao....ili kufika yatupasa tujitolee..ili kizazi kijacho kisikute matatizo haya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.