Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Nawatakia mgomo mwema ila msitumiwe kisiasa fuateni taratibu na madai yenu yawe clear, mwisho nawapa hongera kwa kufanya mgomo kipindi hiki cha likizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
my take!! huenda walimu safari hii wameamua???
Impossible for these people to strike! Mtu wa div 4 ya point 28 hawezi kugoma. These are the most uncoordinated people! These are the kind of people who can be hired and fired at will. Their labour power is tied!
Wana nguvu ya ajabu alkini hawawezi kuitumia maana hata viongozi wao, ni legelege! Just wait and see!
Waalimu wengi hawana qualifications za kukidhi kiwango! Kama walivyo askari, wengi wao walichagu fani hiyo baada ya kukosa options zingine zaidi ya hizo kutokana na viwango vyao duni vya ufaulu. hivyo basi ni kwamba serikali inawapa fadhila tu kuwalipa hata laki 3 kwa mwezi, otherwise hawakustahili hata kumi.
Hofu yangu tutasalitiana hasa wakati wa sensa na marking kisa pesa zisizotarajiwa.
Yote saba, lakini kwa nini wanataka kugoma wakati wa likizo? Mwezi wa sita walianza kusema wanataka kugoma lakini kilikuwa kipindi cha likizo. Mwezi wa nane kwa sababu ni wakati wa sensa, kuna likizo ya mwezi mzima inakuwaje wagome wakati wa likizo tu? Mgomo wa walimu haunekani kama ukifanyika wakati wa likizo. Hivyo wajipange vizuri.
Waalimu wengi hawana qualifications za kukidhi kiwango! Kama walivyo askari, wengi wao walichagu fani hiyo baada ya kukosa options zingine zaidi ya hizo kutokana na viwango vyao duni vya ufaulu. hivyo basi ni kwamba serikali inawapa fadhila tu kuwalipa hata laki 3 kwa mwezi, otherwise hawakustahili hata kumi.
TUSI hili....we kwenu huna ndugu mwalimu atiii?