MWL MTZ
Member
- Aug 12, 2011
- 39
- 2
hivi chama cha walimu tz kutangaza mgomo wa walimu nchi nzima mwakani baada ya likizo utafanikiwa kweli, wamejipanga? maana nijuavyo mimi migomo mingi imeshindwa kuleta mabadiliko kutokana na tofauti kati ya walimu wenyewe pia hata walimu kutokuwa na imani na chama chao [cwt]. mfano mwaka jana chama kilitangaza mgomo nchi nzima alafu baadhi ya walimu waliendelea na kazi kama kawaida vijijini. je mwaka huu wamejipanga?