Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Mahakama Kuu kitengo cha kazi imezuia kufanyika kwa mgomo wa walimu uliopangwa kuanzi Jumatano. Amri hiyo ilitolewa kutokana na kesi iliyofunguliwa na serikali leo asubuhi, ikiitaka mahakama kuuzuia mgomo huo kwa kuwa si halali.
Aidha, Chama Cha Walimu kimetakiwa na mahakama kutoa matangazo kwenye vyombo vya habari kesho kuwatangazia walimu kuwa mgomo haupo.
Inanikumbusha sakata la mgomo wa NMB
Aidha, Chama Cha Walimu kimetakiwa na mahakama kutoa matangazo kwenye vyombo vya habari kesho kuwatangazia walimu kuwa mgomo haupo.
Inanikumbusha sakata la mgomo wa NMB