Mgomo wa walimu kuanza july 07,2012.

Hivi mbona wabunge hawagomi???

Ni mbunge mmoja tu mwenye ujasiri wa kugoma,mh.zitto kabwe peke yake hawa kina mbowe,mnyika,juma nkamia na wengine ni wachumia tumbo na waunga mkono posho za kukaa kitako tu ambazo badala ya kutumika kama mishahara ya walimu wanaosimama wima kutwa na chaki mkononi wanazichukua wao kwa kukaa kitako tu tena wengine kwenye kiti cha mbele kabisa pale karibu na waziri mkuu wakibadilisha tu mikao ya ukaaji wa kusubiri posho.
 
Kwani wana umuhimu gani waalimu? Mbona ni takataka tu kwa JK na serikali yake. Kama katumia siasa kuwakandamiza Dr's itakuwa hawa washika chaki? Tena hakuna hata anayekufa? Na mkumbuke kauli moja ya serikali (ya aliyekuwa naibi waziri wa elimu Mwantum Mahiza) pale songea alipata kusema "nani aliwalazimisha kuja kuwa walimu? Si mgechagua kazi zingine!". Yaani salama ya walimu ni kusubiri 2015 wasaidie ukombozi kwa kihamasisha wapiga kura

Kama umenukuu sehemu,
basi Aliyeitoa Ni 'Mkoswakoswa'
ila Kama unayatamka mwenyewe kwa kivuli cha U-nukuu utakuwa Mjinga Mmoja kati ya Mia wasiothamini Waalimu.
 
Kama umenukuu sehemu,
basi Aliyeitoa Ni 'Mkoswakoswa'
ila Kama unayatamka mwenyewe kwa kivuli cha U-nukuu utakuwa Mjinga Mmoja kati ya Mia wasiothamini Waalimu.
Hii ni habari ya kweli, wala si uongo. Na mbona media ziliandika sana.
 
Walimu wamejaribu mara mingi wakashindwa, hawawezi kugoma.
 
Kwani wana umuhimu gani waalimu? Mbona ni takataka tu kwa JK na serikali yake. Kama katumia siasa kuwakandamiza Dr's itakuwa hawa washika chaki? Tena hakuna hata anayekufa? Na mkumbuke kauli moja ya serikali (ya aliyekuwa naibi waziri wa elimu Mwantum Mahiza) pale songea alipata kusema "nani aliwalazimisha kuja kuwa walimu? Si mgechagua kazi zingine!". Yaani salama ya walimu ni kusubiri 2015 wasaidie ukombozi kwa kihamasisha wapiga kura

ni kweli kabisa! Walimu waandae kizazi kitakachoiangamiza CCM ndipo kilio chao kitakoma. Vinginevyo wajue serikali ya JK ni hatari sana kwa maisha ya walio wengi.
 
Kwa ufahamu wangu mgomo wa Waalim uko siku nyingi, ila nadhani bado tu kutangaza kwa vinywa vyao au maandamano. Tofauti ya mgomo wa Madaktari na Waalim ni immediate impact ya mgomo, Madaktari wakigoma basi wagonjwa hufa ndani ya masaa 24 au baadaye kidogo tu, lakini walimu wakigoma basi impact yake utaikuta katika matokeo ya form four. Kwa takwimu za Wizara husika kwa miaka miwili iliyopita matokeo ya form four kwa division I-III imekuwa ni asilimia chini ya 15% ya watahiniwa wote na hawa ndiyo tunawategemea waende form five na hatimaye vyuo vikuu na division iv-O ni zaidi ya 84% ya watahiniwa wote! Kwa sisi waelewa wa tasnia ya elimu hiyo asilimia 84 ambao hawana uwezo wa kuendelea na shule na hata vyuo wakati mwingine hilo ni bomu litakalo lipuka wakati wowote.
 
Msiwe wabishi!! walimu hawawezi kugoma hata wakithubutu watagoma dakika 2 then wanaingia kazini kama kawa.
 
Back
Top Bottom