Mgomo wa wahadhiri UDOM wanukia

Viongozi wa UDOM ninawaelewa na nawajua vizuri sana, nimewahi kufanya kazi nao UDSM. Ukweli kabisa, viongozi wa UDOM hawana udini wala ukabila. Suala la udini halipo UDOM, bali labda kuna watu wanapenda masilahi yao binafsi na ndoto zao za kutajirika kwa haraka, ambazo hazijawafikia kwa kiutaratibu ndio maana wanaimba udini ili viongozi wasafi watolewe na waje wa kuwafanya wepate mwanya wa kuiba.

Mimi niliwahi kufanya kazi na Prof. Mlacha UDSM, ni kiongozi mzuri sana. Prof. Kikula naye ndio kabisaa hana udini kabisa. Dr. Ame ndio anapenda watu bila ubaguzi wowote. Jamani hizi kuna sheria inayosema Wazanzibar hawatakiwi au hawaruhusiwi kufanya kazi UDOM au Tanzania Bara?.

Ni chuo gani cha Umma hapa Tanzania kinachowasafirisha wafanyakazi wake bure?. Au UDSM wafanyakazi wana safirishwa na Chuo?. Mbona mnasema daladala kwanini msizitumie nasikia zipo dala dala za UDOM nyingi tu. Kwani sera zinasemaje kuhusu kupewa Nyumba? Nchi inafuata utaratibu wa kutibiwa kwa bima, au ndio ninyi wa UDOM tu mnataka kutibiwa bure jamani?. Kama kweli Dept. ya fedha ni waisilimu watupu basi nawapongeza. Maana ndio hao hao ambao waliowafanyia mipango mizuri ya kuishi vizuri, kwani nasikia ni Chuo Kikubwa na kizuri sana. Kwa hiyo Bursar wenu na timu yake inafanya kazi vizuri hadi kufikia kuongeza idadi ya wanafunzi na walimu. Mafanikio bwana ni mipango mizuri ya hawa mabwana.

Jichunguzeni, Bunge lilianza Jana. Au wakuu wa Chadema waliwafikia na kuwapandikiza kitu na ndipo mmeanza?.

Eti walimu wanaacha kazi n... kwani waliopo hapo walipotoka si waliacha kazi kwingine na kuja UDOM. Huyo Nowe si aliacha Chuo sijui SUA na kuja UDOM?. Mbona hamuwasemi walioacha huko India, Urusi, Kenya, Uganda, Rwanda na wengine toka humu humu wamehamia UDOM siku chache tu zilizopita. Nasikia, walimu wanaojiunga na UDOM ni wengi sana, soma Prospectus zenu na machapisho mengine ujionee.

Mwacheni Prof. Mlacha na timu yake ambayo hadi sasa dunia nzima inashangaa Tanzania kuwa na maendeleo ya haraka na ya viwango. Angalia wanafunzi nasikia wengine wanatoka Msumbiji, Sweden... wanakimbilia UDOM. Acheni migomo fanyeni kazi, umoja wa waalimu ni kwa masuala ya ualimu na sio migomo isiyo ya kitaaluma.

Naungana nawe baadhi ya mambo ila ukweli haujui maana umekiri kuwa huwa unasikia. Wala CHADEMA hakihusiki kwa namna yeyote, tunataka mabadiliko.
 
u have no even the singlest of idea of what's hapenin in udom..acha kuongea kwa hisia na kutoa mifano ambayo ni irrelevant..mimi nimesoma udom tangu mwaka 2009 xo najua nini kinachotokea na brother mwamola pia ni mmoja wa mwanajumuiya wa udom..sisi ndo tunajua kinachoendelea udom,....hayo madai ya ma'lecturer yote yana justification na yana'make sense....kuna mama anaitwa madam aziza yeye ni assistant dean of students hapo udom..ukisikia vitu anavyowafanyia wanafunzi ambao kwa bahat mbaya wakakutwa na makosa halafu ni wakristo utasikitika mwenyewe...and the President has played a major role kuendeleza udini udom and faida ya haya mambo atayaona badaye...ni hayo 2
 
Tatizo nchi hii watu wamezoea vibaya pete avae askofu ya bahati akivaa shekh ina mapepo. Hivi ebu tuangalie muundo wa uongozi udsm, mwl nyerere, muce, duce, mashirika ya umma, makampuni hacheni hizo mbona alipokuwa mkapa hamkusema mambo ya udin na ukabila kwani yameanza leo? Waislam wakilalamika mnawabeza lkn jueni watu wameamka sasa hvi hawataki tena historia
 
Ukishawaingiza hawa jamaa ujue umeharibu. Angalia jamaa zao wa Muslim University of Morogoro...Kikwete ndiyo architect wa haya mambo yote yashut up pal.dont mention this university(Muslim university of morogoro)the great source who fought to prent this university is your fellow kaffir mkapa.you have to go and condemn that catholic freemanson guy.THE VICTORY OF ISLAM COME FROM YOUR HANDS BUT MOST OF YOU DONT KNOW U WIL KNOW SOON.GO TO HELL.
 
u have no even the singlest of idea of what's hapenin in udom..acha kuongea kwa hisia na kutoa mifano ambayo ni irrelevant..mimI suport koz mkuki kwa nguruwe(Waislamu)kwa binadamu(wakiristo)mchungu.nyerere amewazuilia waislamu kuenda elimu ya juu na alikua neno kufeli halitumii mwenzetu alikua anaakili waliochaguliwa(wakiristo)na waliokua hawakuchaguliwa(waislamu)ni hawa.waislamu wameonewa sana mdogo wangu muda huu zamu yenu koz kutesa kwa zamu.miaka 3 ilobaki inatutosha kujipanga.
 
Wasomi wenzangu, je hamjui namna ya kufuatilia matatizo yenu kwa njia sahihi? Kwani migomo ndio inayotatua?. Mbona ni suala dogo tu?. Kama mnashida fulani mfano ya kifedha inavyoonekana sehemu kubwa ya mada yenu ya mgomo, ni vema mkatuma wawakilishi kuanzia ngazi ya idara kama mnayo and then faculty na baadae ngazi ya chuo na ikishindikana sehemu husika mfano hazina kama mnavyosema na sio kwa Mh. Pinda au sijui kuilaumu CCM sijui na kulaumu mtu binafsi kama Misilamu au Mkristo fulani au Mzanzibar ???????.

Tatizo hujasoma unakurupuka kucomment, umeambiwa uongozi wa chuo hautaki na umekataa katu kukutana na wahadhiri, sasa wakianzia ngazi za idara watafika wapi!!! Na kwa taarifa yako hata ukifika Hazina utaambiwa tunahitaji uongozi wa chuo uje kutuletea haya malalamiko! Ndugu yangu hii nchi mambo huwa hayaendi kirahisi hivyo!!
 
Tatizo nchi hii watu wamezoea vibaya pete avae askofu ya bahati akivaa shekh ina mapepo. Hivi ebu tuangalie muundo wa uongozi udsm, mwl nyerere, muce, duce, mashirika ya umma, makampuni hacheni hizo mbona alipokuwa mkapa hamkusema mambo ya udin na ukabila kwani yameanza leo? Waislam wakilalamika mnawabeza lkn jueni watu wameamka sasa hvi hawataki tena historia

Kitu ya udini ndugu yangu imepandikizwa na Brother wa magogoni, kabla ya hapo hakukuwepo na hii hali!! Hivi unataka kuniambia pale UDOM hakuna MKristo aliekuw na sifa alieomba kazi finance department!! Haiingii akilini, chuo kingekuwa Zanzibar sawa ila kipo Bara!!
 
mkuu wa shule na timu yake ya uongozi wanachochea udini na ukabila na kupelekea mgogoro mkubwa baina ya wanafunzi hali iliyopelekea baadhi ya wanafunzi kugoma kwa muda wa wiki mbili sasa
 
Kuna vitu vingi sana chini kwa chini UDOM vinaendelea na malalamiko haya yalikuapo muda mrefu sana sio ya kupuuzia na yalianza kwa wanafunzi na sasa yanakuja kwa walimu
 
Mwanzo tulianza na NSSF, watu wakapandwa jazba sana ila ndio ukweli wenyewe,
Now ni Udom,kiukweli chuo hicho kina udini sana angalia mawarden vilaza kutoka zanzibar wamejazana pale
bila hata qualification za maana!!Njoo kwenye depart ya finance My God utaimba haleluyah,kajaza ofisi nzima
masheikh!!Huyu prof uchwala mlacha ajiandae kwenda mahakama ya hague few years to come lol!!

Kwa hiyo hao waislam wote katika hiyo idara ya finance hawana qualification zinazo takiwa, au amewatoa madrasa??
 
Hii taarifa inanichanganya kidogo! hawa waislam wengi UDOM wanatoka wapi, ilihali tunajua kwamba waislam na hasa
wazanzibari hawajaenda shule kabisa, wao ni ubwabwa na madrasa tuu! nahisi taarifa sio za kweli!!:confused:
 
Hii taarifa inanichanganya kidogo! hawa waislam wengi UDOM wanatoka wapi, ilihali tunajua kwamba waislam na hasa
wazanzibari hawajaenda shule kabisa, wao ni ubwabwa na madrasa tuu! nahisi taarifa sio za kweli!!:confused:

Waambie hao wenzako waelewe.wanaposema waislamu wa zanzibar hawakusoma wanajiona wanapatia kumbe ni kelele za mlango nenda UDSM,UDOM,DUCE,SUA,MUM,E.T.C.NENDA KAMA UTAMKOSA MPEMBA.
 
Naomba nitumie Prospectus ya UDOM ya 2011-12 kuna safu kama ifuatavyo:
  1. Chancellor - Mkristo
  2. Chairman of Council - Msilamu
  3. VC - Msilamu
  4. DVC ARC - Mkiristo
  5. DVC PFA - Msilamu
  6. College Principals
    1. Education- Mkristo
    2. Humanities and Social Sciences - Mkristo
    3. Informatics and Virtual Education - Mkristo
    4. Natural Sciences and Mathematics - Mkristo
    5. Health Sciences - Mkristo (msabato)
    6. Earth Sciences - Mkristo
  7. Deans wapo kwenye schools 13 kati ya hao ni wawili tu ni waislamu nao ni Dr. S. Vuai ambaye ni Mzanzibar wa pili kati ya wawili tu walio kwenye madaraka UDOM (kwa ufafanuzi Mzanzibari mwingine ni DR. Ame ambaye ni Mkurugenzi wa Graduate Studies)
  8. Dean of Students wote ni wakristo
  9. Directors wapo 6 wakristo ni 4 na waisilamu ni 2
  10. Secretary to Council ni Mkristo
  11. Chief Internal Auditor ni Mkristo
  12. Estate Manager ni Mkristo
Nimechunguza pia ofisi ya Bursar wakristo ni wengi tu.

Kwa kuhitimisha nashauri TUSIANGALIE IDADI YA UKRISTO NA USLAMU BALI TUPENDANE NA TUUNGANE KUJENGA NCHI YETU KWA KUTOA ELIMU BORA NA SIO MALUMBANO YASIYO NA MSINGI.

Kwa kufuata list hapo juu inaonyesha mada hii haina ukweli ya kuwa kuna udini.

Tukishajua idadi ya Waislamu au Wakristo walio kwenye nafasi mbalimbali inatusaidia nini? Hili suala litatufikisha pabaya. Kwanini tunaanza kuwatazama watu kwa jicho la dini?
 
chancelor siyo mtendaji, na dvc academic hausiki hata kidogo na ajira kazi yake kubwa ni taaluma ambayo ni engine ya taasisi yoyote ya elimu ya juu ! ajira ambalo ndio bomu kubwa udom anahusika dvc wa utawala na fedha naomba pitia tena vizuri kwenye RED haupo sawa hata kidogo!

huyo wa Administration huwa anaajiri sawa ila approval ya mwalimu anayeajiriwa inaanzia kwa DVC academic. please check
 
Naomba nitumie Prospectus ya UDOM ya 2011-12 kuna safu kama ifuatavyo:
  1. Chancellor - Mkristo
  2. Chairman of Council - Msilamu
  3. VC - Msilamu
  4. DVC ARC - Mkiristo
  5. DVC PFA - Msilamu
  6. College Principals
    1. Education- Mkristo
    2. Humanities and Social Sciences - Mkristo
    3. Informatics and Virtual Education - Mkristo
    4. Natural Sciences and Mathematics - Mkristo
    5. Health Sciences - Mkristo (msabato)
    6. Earth Sciences - Mkristo
  7. Deans wapo kwenye schools 13 kati ya hao ni wawili tu ni waislamu nao ni Dr. S. Vuai ambaye ni Mzanzibar wa pili kati ya wawili tu walio kwenye madaraka UDOM (kwa ufafanuzi Mzanzibari mwingine ni DR. Ame ambaye ni Mkurugenzi wa Graduate Studies)
  8. Dean of Students wote ni wakristo
  9. Directors wapo 6 wakristo ni 4 na waisilamu ni 2
  10. Secretary to Council ni Mkristo
  11. Chief Internal Auditor ni Mkristo
  12. Estate Manager ni Mkristo
Nimechunguza pia ofisi ya Bursar wakristo ni wengi tu.

Kwa kuhitimisha nashauri TUSIANGALIE IDADI YA UKRISTO NA USLAMU BALI TUPENDANE NA TUUNGANE KUJENGA NCHI YETU KWA KUTOA ELIMU BORA NA SIO MALUMBANO YASIYO NA MSINGI.

Kwa kufuata list hapo juu inaonyesha mada hii haina ukweli ya kuwa kuna udini.

naunga mkono post yako 200%
 
Naomba nitumie Prospectus ya UDOM ya 2011-12 kuna safu kama ifuatavyo:
  1. Chancellor - Mkristo
  2. Chairman of Council - Msilamu
  3. VC - Msilamu
  4. DVC ARC - Mkiristo
  5. DVC PFA - Msilamu
  6. College Principals
    1. Education- Mkristo
    2. Humanities and Social Sciences - Mkristo
    3. Informatics and Virtual Education - Mkristo
    4. Natural Sciences and Mathematics - Mkristo
    5. Health Sciences - Mkristo (msabato)
    6. Earth Sciences - Mkristo
  7. Deans wapo kwenye schools 13 kati ya hao ni wawili tu ni waislamu nao ni Dr. S. Vuai ambaye ni Mzanzibar wa pili kati ya wawili tu walio kwenye madaraka UDOM (kwa ufafanuzi Mzanzibari mwingine ni DR. Ame ambaye ni Mkurugenzi wa Graduate Studies)
  8. Dean of Students wote ni wakristo
  9. Directors wapo 6 wakristo ni 4 na waisilamu ni 2
  10. Secretary to Council ni Mkristo
  11. Chief Internal Auditor ni Mkristo
  12. Estate Manager ni Mkristo
Nimechunguza pia ofisi ya Bursar wakristo ni wengi tu.Kwa kuhitimisha nashauri TUSIANGALIE IDADI YA UKRISTO NA USLAMU BALI TUPENDANE NA TUUNGANE KUJENGA NCHI YETU KWA KUTOA ELIMU BORA NA SIO MALUMBANO YASIYO NA MSINGI. Kwa kufuata list hapo juu inaonyesha mada hii haina ukweli ya kuwa kuna udini.
Ingekuwa na mantiki zaidi kama ungetuwekea na CV zao.
 
Jana wahadhiri Chuo Kikuu cha Dodoma walifanya mkutano mkuu wa mwaka (General Assembly), pamoja na mambo kadhaa wameazima kuanza mgomo kuanzia kesho alhamisi saa 2 asubuhi.

Tukio hili kwanza limechochewa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Balozi Mwapachu, wiki iliyopita kwenye baraza la chuo alimtukana Mwenyekiti wa jumuiya ya wahadhiri kwa kumuita Mugabe kwa sababu hataki kuitisha uchaguzi. Na akaamuru kikao kijacho asiingie kama uchaguzi hamna. [Tunaamini wana mpango wa kupandikiza mtu wao]

Kati ya mambo yaliyosababisha wahadhiri hao kubaki Chimwaga kwa ajili ya mgomo ni kama ifuatavyo:

1. Chuo kinadai serikali inawaletea hela kidogo sana, ambazo hazitoshelezi, hivyo wanataka kufanya cost cutting: Kuwanyanganya nyumba wahadhiri wote walio chini ya level ya udaktari,: kuanza kutozwa nauli kwenye mabasi, maarufu kama kitumbo au Zonda, kwa siku 2000, wakati nauli ya daladala kwenda na kurudi ni 600 tu.

Wafanyakazi wote kama huna bima ya afya unajigharamia matibabu. Mwalimu atakayeenda kusoma kukatwa mshahara wake. Pia imepiga marufuku walimu kwenda kusoma nje ya UDOM.

Hali ya kuwa chuo chenyewe hakina wahadhiri kabisa. (TA anafundisha shahada ya kwanza, wahadhiri ambao hata sio madaktari wanafundisha shahada ya uzamili, mtu amemaliza Masters anakwenda kufundisha masters).

Kibaya zaidi wahadhiri walikuwa wakilipwa kwa ajili ya kusimamia mitihani (Invigilation) 15,000 kwa kipindi, na kusahihisha (Marking allowance) 500 kwa script moja. Na hii hela inatokana na ada ya mtihani ambayo hulipwa na kila mwanafunzi tsh 20,000, malipo hayo nayo yamesimamishwa, wakati huo huo wanafunzi badala ya kulipa 20,000 wanatakiwa walipe 40,000 kwenye hiyo proposal mpya.

2. Kwenye baraza la chuo, walitangaziwa Prof. Shaban Mlacha ameongezewa miaka minne na Raisi Jakaya Kikwete. Wahadhiri wanahoji mgomo wa mwaka jana,wa walimu na wanafunzi,waziri Mkuu Mizengo Pinda aliahidi atarudi kuja kutoa ufafanuzi hatua zilizofikiwa na serikali, hajarudi, wala ripoti ya tume alizounda haijatolewa, manunguniko ya wafanyakazi, na wanafunzi hayajafanyiwa kazi kabisa.

Hili limesababisha wastani wa wafanyakazi watatu wakiwemo Prof. na madaktari huacha kazi kila mwezi. Kuanzia July 2011, hadi July 2012, jumla ya wafanyakazi 42 wameondoka chuo kwa sababu mbalimbali ikiwemo kuacha kazi (resignation). Mbaya zaidi kumekuwa na ulipizwaji kisasi wa hali ya juu. Wahadhiri wamefukuzwa sana kazi, na baadhi ya kesi zipo mahakamani.

Kibaya zaidi imethibitika kikwete kawaongezea muda viongozi wote wa chuo. Prof. Kikula alistaafu 15 December 2012, ameongezewa nae mkataba, pamoja na lawama zote. Hili wamelichukulia kama Serikali haiwajibiki na imeonyesha dharau kubwa sana, lakini kibaya zaidi hili limechukuliwa kwenye taswira ya Udini, ambao umekuwa ukikitafuna chuo, kufikia hatua ya kuunda kamati ya kushughulikia suala hilo, ambayo pia inasemekana *ilivunjika bila mafanikio kabla hata ya kuanza kazi.

3. Kumekuwa na maswala ya udini sana, na hili lawama zinaelekezwa kwa Mh. Rais namna ya uteuzi wake lakini na baadae ajira. Na hivyo waislamu kujiwekea territory. Mwenyekiti wa baraza, VC, DVC PFA, Bursar, Afisa Mwajiri Mkuu na baadae kundi kubwa sana la wazanzibari waliletwa kwa kupitia Mkurugenzi wa Stadi za elimu ya juu Dr. Ahmed Ame.

Huu ubaguzi umetutafuna hadi kwa wanafunzi, utauona dhahiri wakati wa uchaguzi, na mwaka jana ghasia hizo za kidini zilipelekea vurugu na wanafunzi kujeruhiwa na mpaka sasa kesi zipo mahakamani zinaendelea.

4. Uongozi wa chuo ulipandikiza watu waliojidai usalama wa taifa, na kuanza kupita kwa viongozi kwa ajili ya kuwatisha kuwaua akiwemo aliyekuwa kiongozi mahiri na machachari, Mwenyekiti wa Chama cha wafanyakazi, na Makamu wa Jumuiya ya wahadhiri  UDOM.

Kesi hiyo ipo Polisi na ilisharipotiwa Usalama wa Taifa Mkoa, pamoja na ushahidi wote kuwepo, inasemekana Dr. Shukuru Kawambwa alimuombea msamaha afisa huyo feki (Khalifa Kondo), ambaye mmoja wa ndugu yake inasemekana alitajwa kuhusika kwenye shambulio la Ulimboka (Angalia Mwanahalisi la mwisho). Tuhuma hizi pamoja na kufikishiwa viongozi mbalimbali wa Serikali hayajafanyiwa kazi.

5. Tatizo la mishahara kupunjwa na watu kutopanda madaraja kwa wakati limeendelea kuwa tatizo sugu. Ajira bado taratibu haziko wazi, inasemekana ili uajiriwe Finance Department lazima uwe muislamu. Sijui?? Fika UDOM upate takwimu (Bursar- Mohamed Mwandege, Msaidizi wake Rukia, wengine Chang a, Mwinyi, Athuman Chamosi na wengine watano wote waislamu), masuala haya ndiyo yanaleta mgogoro kwa kuwa hayana ufafanuzi.

6. Kikubwa uongozi wa chuo umekuwa ukikataa kukutana na wahadhiri, walikutana mara moja baada ya Waziri mkuu kuwaamrisha baada ya hapo, walijibu barua kali sana wakionya wasiitwe tena, barua hiyo ilitoka kwa Naibu Makamu Mkuu wa chuo  Taaluma, utafiti na ushauri), sasa hapa wameazimia hawatatoka chimwaga, ukumbi maarufu kwa ajili ya mapambano hadi viongozi hao waje, na Waziri Mkuu aje awaambie mbona hajawasaidia kutatua matatizo yao?

(Ufafanuzi zaidi: Paul Loisulie, Mwenyekiti Jumuiya ya walimu au Lameck mjumbe kamati ya utendaji, jumuiya ya walimu au Richard Alphone huyu anaweza kukupatia hata baadhi ya documents)

(Kwa upande wa uongozi wa chuo, taarifa hizi wanaweza kutolea ufafanuzi Makamu mkuu wa Chuo Prof. Idris Kikula, Mwenyekiti wa baraza la Chuo Balozi Juma Volter Mwapachu. Kuhusu usalama wa raia feki suala hili liko kwa Regional security Officer RSO)

Samahan DEC 15 2012 haijafika bado kuhusu kustaafu kwa KIKULA.
2. Acha habari za kidini HURIDHIKI TU? na nafasi nono WALIZOPEWA WATU WA DINI YAKO! Unataka MKABE HADI PENALT ACHA HIZO.Timiza wajibu wako.
 
Kwanza namshangaa mleta post kwa jambo moja, ameuunganisha mkutano wa UDOMASA uliofanyika jana na ajenda ambazo hazipo na wala hazikujadiliwa. Hakuna ajenda yoyote kuhusu ajira kuwa na upendeleo iliyojadiliwa, hakuna dini yoyote iliyotajwa kwenye kikao hicho, ni kibaya zaidi jana hoja nyingi zilizokuwa zikijadiliwa ni kuhusu UBOVU wa elimu ya UDOM ambayo inasababishia kiitwe CHUO CHA KATA au A WARD UNIVERSITY. Na malalamiko makubwa yalikuwa ni juu ya upungufu wa nyenzo za kufundishia, kiasi kwamba wanafunzi wanachangishana kununua betri kwa ajili ya Microphone. Hakuna mtu mwenye akili timamu asiyekubali kuwa UDOM kuna tatizo, mfano mgomo wa mwaka jana wa wahadhiri na wanafunzi ulionyesha hilo. Ni taasisi gani ya UMMA ambayo mtu anaajiriwa bila kupewa pesa ya kujikimu? Baada ya mgomo ule watumishi wote wa UDOM kuanzia messenger mpaka VC mwenyewe walipewa zile pesa, tena bila kujali DINI zao.

Ukweli ni kuwa, hakuna hata siku moja ambapo wahadhiri au wafanyakazi wa UDOM wamewai kulalamika kama jumuiya kuwa kuna DINI FULANI imejaza watumishi wa UDOM. Hii imekuwa ni maono ya wahadhiri au wafanyakazi mmoja mmoja na sio jumuiya. Na kwahiyo mleta post kaleta hoja hii kwa namna ambavyo imeongezewa mambo yasiyo ya jumuiya yaani UDOMASA isipokuwa ni mawazo yake binafsi. Ni wakati watanzania tukafahamu kuwa, hii nchi inaelekea pabaya, kinapoinuka kundi au jamii fulani kudai haki zao, ni lazima kitafutwe kitu cha kuua nguvu yao na umoja wao. Mfano; Waislamu walipoanza kudai haki zao wanazodhani kuwa ni muhimu, Serikali ilisema PONDA sio raia na anakikundi kinachoendesha vurugu. Madaktari na walimu waliambiwa ni wanasiasa ndio wanachochea. Huu ni uzandiki na ushetani mkubwa!!!!

Naomba mleta post uwe makini na hoja hii maana imeleta michango isiyokuwa sahihi na umewachafua wahadhiri wa UDOM kuwa ni wadini wakati si kweli. Katika AJENDA za kikao kile cha mwaka kulikuwa hakuna hoja yoyote inayohusiana na UDINI. Wala malalamiko ya UDINI, cha kushangaza aliyelalamikiwa sana jana ni DVC-ARC Prof. Kinabo ambaye ni MKRISTO tena MKATOLIKI kweli kweli. Maana yeye ndie mlezi wa WAHADHIRI lakini aonyeshi msaada wa kuboresha elimu ya UDOM.


WATANZANIA WOTE NI NDUGU, ILA KUNA WACHACHE WANATUCHANGANYA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU WABARIKI WAKRISTO KWA WAISLAMU.

Kawaida ya watu wanaoshindwa kwa hoja katika uongozi...Hawawezi jitathmini ni kwakiasi gani wameshindwa wanatafuta pa kuegemea kuficha madhaifu yao....Ndiyo maana viongozi wengine wanaamua kutumia nguvu....So sad. Lakini pia wakulaumiwa ni hao ambao wanakubali kugawanywa na kushindwa kuona ni jinsi gani wote wanaweza poteza maendeleo yao..Si hivyo tu bali viongozi wanaoongaza hivyo vikundi wanashindwa kuwa smart kuendelea kuwashawishi watu wao wawe wamoja. Ina reflect pia madhaifu ya hao viongozi pengine wao wenyewe wameshindwa kukonga nyoyo za wanaowaongoza katika kuonyesha uwezo wao wakuwaletea mabadiliko kundi wanaloongoza....
 
Back
Top Bottom