Najua mnashangaa, lakini jiulizeni; inawezekana vipi?
Nasema waalimu walianza mgomo zaidi ya miaka10 ilopita kwa kupima mambo yafuatayo;-
1. Pamoja na kuongezeka idadadi ya shule na wanafunzi, Idadi ya wasiojua kusoma na kuandika haijapungua!
2. Inawezekanaje, mwanafunzi anafaulu shule ya msingi na anafika sekondari, kidato cha 4, hajui kuandika hata jina lake?
Tumesoma magazetini, wazazi wanashangaa imekuwaje watoto wao wamefaulu kuingia sekondari wakati watoto hawajui hata kusoma!
Nasema waalimu walianza mgomo zaidi ya miaka10 ilopita kwa kupima mambo yafuatayo;-
1. Pamoja na kuongezeka idadadi ya shule na wanafunzi, Idadi ya wasiojua kusoma na kuandika haijapungua!
2. Inawezekanaje, mwanafunzi anafaulu shule ya msingi na anafika sekondari, kidato cha 4, hajui kuandika hata jina lake?
Tumesoma magazetini, wazazi wanashangaa imekuwaje watoto wao wamefaulu kuingia sekondari wakati watoto hawajui hata kusoma!