Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 457
Aliempa mimba atatwambia ukweli. Machungu ya kupotelewa na swit hat usipimeeee.
ni uongo na uzushi mtupu...
Kwanini unakurupuka kujibu hovyo hovyo bila kufikiri kidogo?...Hii ni tuhuma tu ambayo inagusa maisha ya watu kwa namna moja ama nyingine...ni heri iwe ni uzushi,lakini km kweli yalitokea tunahitaji mamlaka zenye dhamana zitoe tamko na hatua stahiki zilizochukuliwa....mliopo Dodoma tupeni vithibitisho zaidi tulie na hawa watu waliofanya udhalimu huu...kuna utaratibu wa kutangaza na kubandika matukio makubwa as well as madogo yanayowagusa wanachuo as well as utawala,nadhani tutajua ukweli tu soon..[/QUOTE]
SIPO DODOMA LAKINI NILIOWASILIANA NAO HUKO DODOMA WANASEMA HAKUNA KITU KAMA HICHO. NI UZUSHI TU. HAKUNA MWANAFUNZI WA UDOM ALIYEKUFA MWEZI HUU. WALIOFIKISHWA HOSPITALI YA MKOA WALIKUWA NA MAJERAHA MADOGO MADOGO TU NA KURUHUSIWA. HABARI ZA KUBAKWA MWANAFUNZI AU WANAFUNZI WA UDOM HAZIPO KABISA TENA WANASHANGAA. HUYO ANAYESEMA KUNA VITU KAMA HIVYO NI BORA AKATOA NA USHAHIDI
aliempa mimba atatwambia ukweli. Machungu ya kupotelewa na swit hat usipimeeee.
kumaliza utata tunamuomba mtu yeyote ambae yupo karibu na kubenea au ulimwengu watie timu udom kupata ukweli then mambo yawe hadharani.
Nipo UDOM, Kimsingi kuna haya madai kutoka kwa baadhi ya wanafunzi lakini ukijaribu kuwahoji mipasavyo kila mmoja anasema amesikia lakini hana uhakika. Ninahitimisha kwa kusema kwamba hakuna mtu aliyeuawa kwani kwa jinsi ninavyowafahamu wanafunzi lingekuwa limetokea pangechimbika