Membensamba
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 157
- 10
Habari za ndani udom zinasema kuwa kuna wanafunzi wawili waliuawa kwenye maandamano, mmoja wao akiwa ni mja mzito. Lakini hili linafunikwa ili skendo hii isiwe isijulikane.
Yuko na mwanafunzi mwingine aliyebakwa na ffu hao hao. Waulizeni wanafunzi udom watawaambia vyema mambo haya. Hii ni dalili ya hatari sana na inapaswa kuundiwa kamati ya uchunguzi ili haki itendeke. Kama jeshi la polisi likianza kutuulia na kubaka watoto wetu basi kinachobaki ni kuwa wakimbizi nchini mwetu. Utamaduni huu ukiachwa ujijenge ni hatari.
Yuko na mwanafunzi mwingine aliyebakwa na ffu hao hao. Waulizeni wanafunzi udom watawaambia vyema mambo haya. Hii ni dalili ya hatari sana na inapaswa kuundiwa kamati ya uchunguzi ili haki itendeke. Kama jeshi la polisi likianza kutuulia na kubaka watoto wetu basi kinachobaki ni kuwa wakimbizi nchini mwetu. Utamaduni huu ukiachwa ujijenge ni hatari.