Mgomo wa Manesi Wote haukwepeki!

mkuu lazima manesi wajue adui yao mkuu ni viongozi wao ambao wameshidwa kuwatetea kwa miaka mingi na badala yake wanaishia kulipisha leseni na michango mengine ya ajabu ajabu!

Wakati sheria mpya Uuguzi na Ukunga inapitishwa na bunge nadhani 2010(naomba nisahihishwe) akaunti ya baraza la wauguzi ilikutwa hamna hata senti,michango ya leseni za wauguzi mil.300 tsh.zilikombwa zote na viongozi wa baraza lililovunjwa. Kibaya zaidi baadhi ya viongozi walirudishwa kwenye baraza jipya....wapo wanakula bata.
 
Wakati sheria mpya Uuguzi na Ukunga inapitishwa na bunge nadhani 2010(naomba nisahihishwe) akaunti ya baraza la wauguzi ilikutwa hamna hata senti,michango ya leseni za wauguzi mil.300 tsh.zilikombwa zote na viongozi wa baraza lililovunjwa. Kibaya zaidi baadhi ya viongozi walirudishwa kwenye baraza jipya....wapo wanakula bata.
sasa na hii unataka kulaumu madaktari au serikali?? sikiliza, manesi wana genuine reasons za kugoma

lakini usichanganye madesa... adui wa manesi ni hao wanaowachagua; vivyohivyo kwa wafamasia.... wanamalizana wenyewe
 
mkuu lazima manesi wajue adui yao mkuu ni viongozi wao ambao wameshidwa kuwatetea kwa miaka mingi na badala yake wanaishia kulipisha leseni na michango mengine ya ajabu ajabu!
Wahenga wanasema kuwa mtu akipiga uruzi sana, mwisho wake ni kuimba!
 
We utakuwa muuguzi nadhani....

Kila la heri..

Umepatia....hata hivyo huu mwaka wa kwanza nimeacha kazi hiyo nimerudi darasani muda si mrefu nitakuwa SUA. Sababu za kuacha kazi hii hizi hapa:

Nilichomwa na sindano kutoka kwa mgonjwa mwenye HIV kwasababu nilikuwa natoa huduma usiku nikitumia mwanga wa simu. Niliponea kwenye tundu la sindano baada ya kupewa huduma ya dhalura maarufu kama PEP. Hata hivyo tatizo lilijirudia niliporukiwa na damu machoni nikimhudumia mjanzito(msongamano wa wajawazito kwenye vyumba vya kuifungulia.

Kuombwa hongo na afisa utumishi ili anipandishe cheo. Miaka saba bila kupandishwa cheo...nilipotishia kumpeleka PCCB nikahamishwa kituo.

Nilikuta jina langu kwenye orodha ya watumishi waliohudhulia semina fulani,sahihi yangu ilitumika kukwapua milion 1.2.

Kuna watu hapo wizara ya afya ambao wanawalinda waganga wakuu na wauguzi wakuu wa mikoa na wilaya. Nesi mwenye digree anaongozwa na nesi mwenye cheti cha uuguzi.

Kampuni ya MEDA kutumia ubabe,dharau,nk kwa wauguzi kuwalazimisha wauguzi kuandika vocha za hati punguzo za vyandalua.

Kwa ufupi nilipoteza hobi na hari ya kazi niliyoipenda tangu nikiwa mdogo.

Nipo kitaa nalima mboga mboga na kufuga kuku wa kienyeji huku nasoma...kuanza upya si upumbavu. Wasiwasi wangu ni je,nikizeeka nani atanichoma sindano iwapo watu wataacha uuguzi kwa sababu ya ujinga wa viongozi wachache?
 
sasa na hii unataka kulaumu madaktari au serikali?? sikiliza, manesi wana genuine reasons za kugoma

lakini usichanganye madesa... adui wa manesi ni hao wanaowachagua; vivyohivyo kwa wafamasia.... wanamalizana wenyewe

Siwalaumu madaktari hata kidogo! Nahimiza wauguzi waamke huu sio wakati wa kusubiri madaktari wawatetee,matatizo ya wauguzi hayabebeki. Serikali inayoonzwa na comedians haiwezi kuona mchango wa Uuguzi.
 
Manesi wote huu ndo wakati wa ninyi pia kuunga tela maana vinginevyo mtaletewa wajeda mfanye nao kazi pale muhimbili.
Wajeda si mnawajua kazi zao bila nguvu hakuna kinachoenda
 
tumechoka kutumika kama kondomu, tunalipwa ration allowance laki moja kwa mwezi na tunafanya kazi za kuua kila siku, wao wanalala na kujipumulia kwa kutumia masabuli wanataka lakimbil kila mlalo mmoja, ku... nina naacha kazi natafuta poli naanzisha uasi hadi kieleweke. nshackoka mie
 
Umepatia....hata hivyo huu mwaka wa kwanza nimeacha kazi hiyo nimerudi darasani muda si mrefu nitakuwa SUA. Sababu za kuacha kazi hii hizi hapa:

Nilichomwa na sindano kutoka kwa mgonjwa mwenye HIV kwasababu nilikuwa natoa huduma usiku nikitumia mwanga wa simu. Niliponea kwenye tundu la sindano baada ya kupewa huduma ya dhalura maarufu kama PEP. Hata hivyo tatizo lilijirudia niliporukiwa na damu machoni nikimhudumia mjanzito(msongamano wa wajawazito kwenye vyumba vya kuifungulia.

Kuombwa hongo na afisa utumishi ili anipandishe cheo. Miaka saba bila kupandishwa cheo...nilipotishia kumpeleka PCCB nikahamishwa kituo.

Nilikuta jina langu kwenye orodha ya watumishi waliohudhulia semina fulani,sahihi yangu ilitumika kukwapua milion 1.2.

Kuna watu hapo wizara ya afya ambao wanawalinda waganga wakuu na wauguzi wakuu wa mikoa na wilaya. Nesi mwenye digree anaongozwa na nesi mwenye cheti cha uuguzi.

Kampuni ya MEDA kutumia ubabe,dharau,nk kwa wauguzi kuwalazimisha wauguzi kuandika vocha za hati punguzo za vyandalua.

Kwa ufupi nilipoteza hobi na hari ya kazi niliyoipenda tangu nikiwa mdogo.

Nipo kitaa nalima mboga mboga na kufuga kuku wa kienyeji huku nasoma...kuanza upya si upumbavu. Wasiwasi wangu ni je,nikizeeka nani atanichoma sindano iwapo watu wataacha uuguzi kwa sababu ya ujinga wa viongozi wachache?

What a socking story.......am so sorry 4 you ndugu yangu

By the way cadre ya shahada (degree) kwa manesi imeanza kutambuliwa na utumishi?

Poleni sana. Umoja, nguvu na determination is the only weapon you have ktk kurudisha heshima ya taaluma/profession ya unesi Tanzania. Kukimbilia na kubaadili fani siyo solution. Kila mtu apiganie kwake
 
i wish wauguzi wote wangesoma na kuelewa hili. WAUGUZI NI MWENDO WA MGOMO TU NDIO UTAKAO WAKOMBOA,UNGANENI NA MADR,KUMBUKENI 'UMOJA NI NGUVU, NA NYIE MKIGOMA HATA HUYO ANAYEJIFANYA HASIKII NA KUONA(MZEE WA SAFARI) ATASIKIA NA KUONA
 
nautamani mgomo wa jeshi kweli maana nimechoka kupelekwapelekwa hovyo!!
 
Ni kweli nawashangaa hawa watumishi wengine wa afya wanavyosubiri kudandia mgongoni mwa madaktari....

wamedandia hoja aafu wanataka kuja kusema madaktari wanawabagua. Wametaka kutumiwa na mafisadi wa wizara. Wametuma mamluki kwenye mkutano ili kuvuruga majadiliano. Tunawapenda sana manesi wetu ila kwa huu usaliti wanaotaka kuufanya bila kujua ndoa yetu itakuwa hatarini!
 
Kweli bana hao manesi nao wagome wadai chao waache kusubiri ma dr wawagomee, polis nao wagome wanamaisha ya shida kuliko kawaida
 
Wakati ndio huu,jumatano hakuna kutoa huduma,hakuna sababu tena ya kuwategemea madaktari watetee maslahi yenu.

Mbona matatizo yenu ni makubwa mno? Nyie ndio kada pekee katika sekta ya afya ambao mnakaa karibu na mgojwa zaidi ya saa 8 kwa siku, nyie ndio mnaongoza kwa wingi katika watumishi wa afya, watumishi wanaoambukizwa kwa wingi magonjwa kama TB, ukimwi nk ni wauguzi kwasababu ya ukosefu wa vifaa vya kujikinga, lishe duni itokanayo na mishahara duni.

Kwanini ni nyie tu mnaolipia leseni ya kutoa huduma elfu hamsini, kisa eti ni sheria iliyopitishwa na bunge, sheria kandamizi na ya kinyonyaji?

Nesi wa Tanzani ana kipato gani cha kulipia leseni?

Manesi kuwa na sauti moja, hivyo vyama vyenu vya TANA, PRINMAT, nk ni wezi tu, malengo yao na perdm za vikao vinavyofanyika kwenye mahoteli makubwa, mtetezi wa muuguzi ni muuguzi mwenyewe na sio TANA.

WAKATI WA KUONYESHA MSHIKAMANO NI HUU!

Mbona unawafundisha? Hawawezi wao ni kama sissi walimu. Kazi yetu ni ya wito japo katika huo wito ni lazima tumkamue mgonjwa ili tuishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom