mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Wakuu hali ikoje mpaka sasa kufuatia mgomo uliotangazwa na chama cha madereva wa malori Tanzania (Chamamata)? Kwa mujibu wa mwenyekiti wa chama hicho Bwana Rocket Matogolo based in Tunduma,, ilikuwa waanze leo wakishinikiza mikataba yenye kujali maslahi yao, kama kulipwa posho kwa Dollar inapotokea dereva anasafiri nje ya nchi ama pesa ya nchi anayoenda, pia kushinikiza kima cha chini cha mshahara kisiwe pungufu ya Laki Tano