Determinant
Member
- Nov 14, 2011
- 10
- 4
Rais tumia busara ili ushughulikie madai yao, kadri siku zinavyokwenda ndivyo hali inazidi kuwa mbaya itafikia kipindi itashindikana hata kufanya suluhu na madaktar.
hivi ni nani mnampa huo ushauri?
miaka 6 bado hamjajua mnaongozwa na kiongozi wa namna ipi?
mimi nashauri tukae kimya maana muamuzi wetu atakuwa Mungu tu.