Mgomo wa madaktari - Updates

Matakwa yao yapi sasa? kuondolewa kwa waziri na naibu wake au yale madai yao ya awali?

Hakuna madai ya awali na madai mapya....mpaka sasa hakuna dai lolote jipya ambalo serikali (Waziri Mkuu) hakupewa February. Kujiuzulu au kuachishwa kqazi kwa Waziri wa Afya na Naibu wake yalikuwepo kata ya madai ambayo WM aliyatolea majibu, na jibu lake lilikuwa amemuachia Rais kutolea uamuzi. Rais aligusia mgomo wa awali kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi wa February, hakujibu chochote kuhusu uamuzi wake juu ya Waziri wa Afya na Naibu wake...
 
Madaktari wetu wanatumiwa na vyama vya siasa, mgomo huu ni wa kisiasa zaidi kuliko masilahi. Madaktari hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, kazi yao ni kutibu. Inanisikitisha sana kuona madaktari wetu wanafanya upuuzi kama huu.

Polee sana mkuu!maana hata ulisemalo haulitambui
 
Madaktari wengi wana tabia mbaya wanatoa huduma mbovu lakini leo wanasema wanahitaji vifaa kwa ajili yetu wagonjwa wakati hata huduma ya mdomo tu wanashindwa kwa wagonjwa. Mgomo ni wa kulilia maslahi yao si vifaa vya wagonjwa wangeanza na huduma bora.
sikulaumu kwani avatar yako inaeleza unafanya nini
 
Hakuna lalamiko jipya labda tu hujaelewa ni nini kilizungumzwa wakati wa mkutano wa madaktari na Pinda na kusimamishwa kazi katibu mkuu na mganga mkuu,pitia huko na utaona kuwa kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa na napenda ujue kuwa taaluma ya udaktari ni nyeti sana sio kila mtu anaweza kwenda kama ilivyo ualimu(siwashushii heshima walimu la hasha)

Umetushushia heshima walimu!!! Kututaka radhi haitoshi zaidi ya kusitisha mgomo wako wenye chembe lukuki za kisiasa na umimi!!! AFISA UHAMIAJI aliyefiwa na MTOTO wake na MZAZI wake unategemea siku unaenda kugonga PASSPORT yako kwenda BOTSWANA kwenye greener pasture naye akaleta MGOMO wa kibinafsi na wenye chembe za siasa utaenda wewe unakodai kuna maslahi bora? Kwa wakati huo kati ya daktari na afisa uhamiaji nani atakuwa na TAALUMA muhimu ambayo si kama madaktari ambao ndani pamewashinda wanataka torokea nje?.....! Tutumie vichwa kufikiri na si viungo vingine vya mwili!!!
 
Madaktari wetu wanatumiwa na vyama vya siasa, mgomo huu ni wa kisiasa zaidi kuliko masilahi. Madaktari hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, kazi yao ni kutibu. Inanisikitisha sana kuona madaktari wetu wanafanya upuuzi kama huu.

hebu kajitazame kwenye kioo, utakachokiona ndicho kitakuwa tatizo ulilonalo
 
Taarifa zilizonifikia kutoka vyanzo vya kuaminiaka bugando wamebandika tangazo likisomeka hivi

"KUTOKANA NA SERIKALI KUTOKUWA TAYARI KUSHUGHULIKIA MADAI YA MADAKTARI IPASAVYO SISI MADAKTARI TUMESIKITISHWA SANA. KUANZIA LEO TAREHE 7 MACHI 2012 SAA 2; 00 ASUBUHI,MADAKTARI WA HOSPITALI YA BUGANDO TUNASITISHA KUTOA HUDUMA ZOTE MPAKA HAPO SERIKALI ITAKAPOSHUGHULIKIA MADAI HAYO.
JUMUIYA YA MADAKTARI BUGANDO (INTERN,REGISTRARS,RESIDENTS)
NAKALA KWA WAKUU WA IDARA,UTAWALA BMC"

MUHIMBILI
EMD-KITENGO CHA WAGONJWA WA DHARURA KIMEFUGWA

OPD-WAGONJWA WAMEJAA LAKINI HAWAONI

THETRE HAZIFANYI KAZI NA MASPECIALIST WAPO RUSSIAN CULTURE TO PUT LAST NAIL IN THE COFFIN

AMANA
TOTAL TOOLS DOWN

MBEYA
WANAENDELEA PALE WALIPOISHI MAANA MGOMO KAMA KAWA

KCMC
MADAKTARI KUTOA TAMKO MUDA SI MREFU

Ikulu kuna mkutano mkubwa unaendelea nitato updates bdae

Kwenye red unapotosha umma kuwa makini na siasa za chama cha maandamano kuna mkono wao
 
....IzeGREAT think zat mayb its tm 4ze people hu wil b luzin zer belovd ones in zis strike2take action and stand up wiz ol ze Doctors ol ova ze Country and show our CCM-gavament zat ''..if citizens kept zem in zeir ofices,zen zei can remove zem frm zer..'',but since CCM-gavament along wiz zer preisednt knwz zat ...''no citizen kept zem zer but raza zer pawa of mchakachuo...'' zei ar NEVER GONA BACK DOWN,wiza pipo ar gona luz zeir relatives and frndz as long as AIRPORT STL WORKS SO ZEN ZEI CAN TRAVEL2INDIA ANY TIME ZEI GET FLUU...,bigest mistake was2even alow zem2go2ze IKULU in 2010..,kila m2anaishi kwa profesion yake,kazi za wito ndo zinazothaminiwa,kama huamini angalia viongozi wote wa dini jinsi wanavothaminiwa na waumini wao and see ze way zei live socially...,vp kwa Daktari asiye hata na glovz ktk chumba cha upasuaji,..nazani wanaojua ni magonjwa mangapi yanaambukizwa kwa blood na ambayo ni very deadly wananipata except kwa wale walio2mwa ha2kuwa sawa.....MAY GOD HAV MERCY UPON OL OF US B4WE FALL INTO PIECES....

Uandishi wa kisharobaro haukubaliki hapa JF, hii forum inasomwa na mpaka maprofesa wa chuo kikuu.
 
Madaktari wetu wanatumiwa na vyama vya siasa, mgomo huu ni wa kisiasa zaidi kuliko masilahi. Madaktari hawana uwezo wa kupanga baraza la mawaziri, kazi yao ni kutibu. Inanisikitisha sana kuona madaktari wetu wanafanya upuuzi kama huu.

Usilo lijua ni kama usiku wa giza.
Kesho utasikia Rais anaenda nje kwa mwaliko maalum na Obama
 
Na usishangae kesho ukasikia ameenda kukusanya net kwa Obama!

Wanatupa neti zenye matundu ambayo hata nzi anapita,alafu sisi tunawapa madini!bora hata wale waliochukua hizo neti na kufanyia uvuvi na ufugaji,maana angalau wanajiongezea kipato hata kama ni kidogo!
 
Umetushushia heshima walimu!!! Kututaka radhi haitoshi zaidi ya kusitisha mgomo wako wenye chembe lukuki za kisiasa na umimi!!! AFISA UHAMIAJI aliyefiwa na MTOTO wake na MZAZI wake unategemea siku unaenda kugonga PASSPORT yako kwenda BOTSWANA kwenye greener pasture naye akaleta MGOMO wa kibinafsi na wenye chembe za siasa utaenda wewe unakodai kuna maslahi bora? Kwa wakati huo kati ya daktari na afisa uhamiaji nani atakuwa na TAALUMA muhimu ambayo si kama madaktari ambao ndani pamewashinda wanataka torokea nje?.....! Tutumie vichwa kufikiri na si viungo vingine vya mwili!!!
Pumba Express!!
 
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.

Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.

hehehehheh unatania wewe!
Uliona wapi kazi ikalazimishiwa mtu?
Si walishawahi kutishiwa halafu ikawaje?
 
madaktari kupitia chama chao hawajawahi kutoa japo tamko moja tu kujutia vifo vya watanzania wenzetu waliopoteza maisha katika mgomo wa kwanza. Ni ishara kwamba vifo kwao ni jambo la kawaida. Hata kama ulikuwa ni mgomo lakini wangetoa tamko kwamba waliumizwa na hali iliyojitokeza ya wananchi kufa wakati wamegoma lakini hawakuwa na jinsi. Wauaji tu ndio kauli inayofaa.

Bilashaka wewe hujafatilia madai ya msingi ya hawa madaktari wetu. Wao wanapambana na serikali ili kuboresha huduma ya afya na kuweza kutatua tatizo la vifo vinavyohepukika. Sijui ulitaka watoe tamko gani, hayo ndiyo mambo ya kisiasa sasa. Mtaalamu amekwambia tukifanya hiki ambacho kipo ndani ya uwezo wetu tutahepuka madhara. Wewe unataka walete matamko hapa. Nao wamechoka kusimamia vifo visivyo vya lazima kutokana na dhamana/taaluma yao.
 
wafuasi wa chama cha maandamano wanafurahi sana kuona nchi inatikisika kwa mgomo huku watu wanakufa.
Wala haisaidii, utasema yote.,. Anaefurahia ni JK manake wanaokufa ni walalahoi wanaomfanya akose usingizi kila kukicha!
 
Back
Top Bottom