Ni mara ya tatu sasa mgomo wa madaktari unatokea na mara zote uongozi wa nchi haonekani badala yake wanakuja kutusomea postmortem.
Hivi nini maana uongozi maana sio katika hili tu bali ni kwenye mambo mengi makubwa na madogo madogo ya nchi hii. Rais yuko wapi au baada ya watu kufa tusubiri mkutano wa wazee wa dar?
Hivi nini maana uongozi maana sio katika hili tu bali ni kwenye mambo mengi makubwa na madogo madogo ya nchi hii. Rais yuko wapi au baada ya watu kufa tusubiri mkutano wa wazee wa dar?