Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
pinda aunganishwe kwenye list ya kina nkya!!
Na JK mwenyewe?
pinda aunganishwe kwenye list ya kina nkya!!
natamani lowassa angekuwa pm . Sijui kungekuwa na mgomo au ? Najiuliza sana.
hawa madaktari ni wajinga wanataka kuanzisha mchezo mbaya leo wao shinikizo lao likipitshwa kesho walimu pia watakuja na shinikizo lao sasa serikali gani? Mwisho utasikia na rais asipojiuzulu tunagoma bora wawapotezee tu
hapa ni kuvunja baraza zima ndilo suluhisho! Na selikali imeamua kugoma!pinda + j.k wanajua kabisa kuwa 99.9% ya mawaziri ni wabovu na hawafai so wanajua wakikubali shinikizo la madaktari la kuwafukuza Nkya na Mponda bas na mawaziri wengine watakua kwenye wakati mgumu sana kwani kila mfanyakazi na mwanaichi atagoma kushinikiza waziri husika ajiuzulu.
Awasikilize hao Madaktari.Kiuhalisia pia ni vyema hao Mawaziri wakajiuzuru kwani lazima kuna jambo na madhara ya mgomo uliopita tuliyaona hivyo ni vyema wakajiuzulu na hapo hapo serikali itimize ahadi zake kwa hao madaktari.Madaktari sio walimu jamani
total shut down mkuu!!
Kuna kila dalili hii nchi kuja kuingia kwenye mgogoro mkubwa sana kwa sakata ili,nafikiri hawa watawala hawajuhi wananchi walivyochoka na kukata tamaha huku uraiani,wawe makini ili jambo ndio linaweza kua chanzo ya kuiingiza nchi kwenye mgogoro kwa ajili ya kuwakingia kifua Nkya na Mponda,hawatokuja kuamini!
total shut down mkuu!!
kuna tetesi serikali imeomba madakitari 350 kutoka india na 300 kutoka china wanaweza wakaingia muda wowote kuanzia kesho.
Na JK mwenyewe?
pinda aunganishwe kwenye list ya kina nkya!!
Then tunasema kwamba nchi hii ni maskini?
Jino kwa jino bwana, kama mbwai ni mbwai!
hawa madaktari ni wajinga wanataka kuanzisha mchezo mbaya leo wao shinikizo lao likipitshwa kesho walimu pia watakuja na shinikizo lao sasa serikali gani? Mwisho utasikia na rais asipojiuzulu tunagoma bora wawapotezee tuLeo wapiga ngumi ukuta mmechachamaa!
halafu watalipwa masaburi?kuna tetesi serikali imeomba madakitari 350 kutoka india na 300 kutoka china wanaweza wakaingia muda wowote kuanzia kesho.
Huu mgomo nahisi 85% hautafanikiwa.
wanajeshi au?halafu watalipwa masaburi?