Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Ehh Mungu Mwenyezi, mwingi wa huruma epusha maskini wa nchi hii na vifo vitakavyotokana na kukosa huduma za madaktari. Kuna wachache wetu ambao ndio wenye maamuzi nini kifanyike bahato mbaya sana wao wana madaktari wao hivyo hawategemei huduma za afya za umma, hao wafanye waone tatizo lililoko mbele yetu na uwape hekima na busara ya kufanya maamuzi yenye maslahi kwa uhai wa maskini wa Tanzania..AMEN