Mgomo wa madaktari: Mapendekezo ya utatuzi

Pesa za MoU zirudi kuwalipa madaktari huo ni ushauri wangu kwa Kikwete hayo mengine yako wewe, si yangu mimi.

Hivi serikali imejenga hospital ngapi kama siyo kusaidiwa na mashirika ya dini ya kikristo. Sasa kama unataka serkali ya JK iondolewe madarakani mshauri auvunje
 
FaizaFoxy, what a big suprise just to have come from none other than you!!! Keep it up BROTHER. A constructive criticism is the best way to go together for the good of our nation. Uwezo Tunao kufanya vizuri zaidi kama taifa.

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Kwa heshima na taadhima nakuomba timiza masharti yote waliokuwekea madaktari wa hospitali za Serikali.

Uwezo tunao, zirudishe zile pesa unazopeleka kwenye yale maelewanao na Hospitali za Kanisa (MoU), na zije kuwalipa na kuwahudumia madaktari walioajiriwa Serikalini. Ni wakati muafaka kwa Kanisa kujitegemea lenyewe na si kungoja ruzuku za Serikali.

Nawasilisha.

FaizaFoxy.

Na nyie wabunge mtaokwenda kuongelea haya kesho bungeni, msisahau hili. Mhakikishe hizi pesa zinaacha kupelekwa hospitali za makanisa na zinarudi kusaidia madaktari walioajiriwa Serikalini, wanazihitaji zaidi huku. Makanisa wataletewa zao kutoka Vatikan.
 
Waliogoma madaktari sio Hospitali, usipindishe maneno, waliogoma ni madaktari walioajiriwa na Serikali sio walioajiriwa na Kanisa. Tafadhali usipindishe ukweli kwa kuwa tu hujaupenda ushauri mzuri wa FF.

kwa mgomo wa walioajiriwa na serikali ni dhahiri kuwa kanisa lina uwezo wa kuajiri madaktari na kuwalipa ipasavyo kuliko serikali sio?
 
Waliogoma madaktari sio Hospitali, usipindishe maneno, waliogoma ni madaktari walioajiriwa na Serikali sio walioajiriwa na Kanisa. Tafadhali usipindishe ukweli kwa kuwa tu hujaupenda ushauri mzuri wa FF.
hospitali itayafanya kazi bila daktari?mbona una wenge sana we bibi?
 
nafikiri hii serikali ina matatizo mengi zaidi katika kila sekta shule ngapi za serikali zina kiwango cha shule za kanisa?issue sio pesa za mou nionavyo mimi issue ni maono/ vision na kufikiri kwa viongozi wa serikali i dont think they see beyond their nose, na kuna system inayomeza watu unakuta mtu kabla ya kuwa kiongozi alikuwa anafikiri sawasawa akishapata tu uongozi sijui ni kulewa au ni kuchanganyikiwa kufikiri kunatokomea.
 
Hayo yote yako wewe, mimi nasema Serikali wasipeleke zile pesa kanisani, zirudi kuwalipa Madaktari wa Serikali, kanisa halitegemei Serikali, kanisa lina tajiri anaewasaidia kuliko tajiri mwingine yoyote duniani, kuna tajiri zaidi ya Mungu?

jibu zuri sana hamna tajiri kama Mungu maana vitu vyote ni vyake including hizo hela za mou, kwa hiyo saa ya Mungu ikifika zitaondolewa kwa kanisa.
 
Safari ya DAVOS iligharimu Tsh. 300millon. Madaktrari waliogoma muhimbili ni chini ya 300. Ukiwaongeza mshahara wa laki moja kwa mwezi, utakuta kwamba, safari yako moja tu inatosha kuwaongeza mshahara kwa mwaka mzima. Kwahiyyo safari zako za mwaka mzima inawatosha wmadaktari tanzannia nzima pamoj na waalimu wote. Kwa hiyo mheshiwa rais, futa safari zote 2012 kwani hata huko DAVOS hakuna uliyoiletea taifa zaidi ya matusi na dhihaka kutoka mataifa mengine wakukuita majina yasiyostahili. Mh. Rais naomba uchukue kwa uzito maneno yangu, kwani yataitibu serikali yako ambayo imefika hali mbaya. hii tiba itakusaidia vinginevyo serikali ya ccm itakufa.. wameanza maktari, watakuja waalimu, wachimba madini, wakiingia machinga kariakoo umekwisha
 
Pesa za MoU sio za Mungu, hizo za Watanzania kuna Watanzania hawaamini Mungu.

sasa kanisa linaamini kuna Mungu na ndiye anayewapa kila hitaji lao kulingana na maombi na kanisa linaamini Mungu ndiye mmiliki wa dunia kwa hiyo kwa wale wanaoamini hizo pesa ni za Mungu kila mtu anapokea kulingana na Imani yake,
 
Waliogoma madaktari sio Hospitali, usipindishe maneno, waliogoma ni madaktari walioajiriwa na Serikali sio walioajiriwa na Kanisa. Tafadhali usipindishe ukweli kwa kuwa tu hujaupenda ushauri mzuri wa FF.

Mh Rais. Hatujui uhusiano wako na FF. ...lakini tunaamini wosia wa baba wa Taifa unaukumbuka. " hatutaki Raisi anayeshauriwa na mkewe" Kumbe yule mzee aliyajua haya. Kumbuka aliwaita hawa ni madaktari uchwara - sijui ulimsikiliza au ulimpuuza, kama ulimpuuza Ubarikiwe sana.
Leo kageuka eti timiza masharti yao. Heh! kawatambua lini kuwa ni madaktari wa kweli? Akili za mbayuwayu..........changanya na zako mheshimiwa!!
 
Siongelei shule hapa, naongelea madaktari.

nakuelewa lakini nataka nikuonyeshe kwamba kuna tatizo na serikali kwa sababu embu niambie ni nini ina uwezo wa kufanya vizuri maana madini yanaisha hospitali duni, shule ndio usiseme, matumizi ya fedha mabovu, embu wajitahidi hicho kidogo walichonacho kumanage kwanza ndio watafute ziada pengine
 
Yes zinafanya kazi bila daktari uchwara, uliona hospitali zimefungwa au umeona baadhi ya madaktari uchwara ndio waliogoma.

hospitali hazikafungwa je ,madaktari wanfanya kazi?je hizo hospotali zinazofanya kazi zinahudumiwa na madaktari wa india au madaktri uchwara?
 
Mimi nngekuwa JK nngejiuzulu niwapishe wenye upeo na hekima ya kuongoza, kwa vile napenda power of authority ningeitisha jopo la young intellectuals from universities in TZ wanishauri jinsi ya kutatua migomo. Nguvu sio suluhu! Kwa nin hatumii damu changa ya wasomo? Wazee watamkumbusha enz za Nyerere baada ya kwenda na wkt! Amka JK tafuta vjana wakushauri! B Wise baba!
 
Nyuzi yangu imechakachuliwa, wanafanya makusudi, wachangiaji wote samahani sana, tutakutana jukwaa lingine.

pole hata mimi najiuliza imekuwaje akafanya hvyo au hyo ni id yako nyingne?na kwa nn sioni yale maneno ya habari yako?something is seriously wrong somewhere n someone need to explain this,
 
Back
Top Bottom