Kwa kuwa fedha za nyongeza ya wabunge laki mbili thelathini elfu zimekwisha tengwa na zipo,basi serikali ikubaliane na wabunge kuwa badala ya wao kupewa posho fedha hizo na nyongeza kidogo wapewe madaktari na wauguzi kama ongezeko kwenye mishahara yao.kwa mfano tuseme laki nne au tano hivi kwenye mishahara yao bila kujali vyeo vyao.
nadhani madaktari/wauguzi hili linaweza kujadilika,tuwaombe madaktari wasivute sana tunadhani wao pia wana simanzi na roho hawapendi hali ilipofikia.Cha msingi Serikali iwe wazi kwao kuhusu uwezo wake wa kifedha na siyo kwa kutumia lugha ya kimabavu.Tukumbuke madaktari wanaishi katika jamii na wasingependa kudharauliwa na jamii.
Hali inasikitisha sana,Tumwogope Mungu jamani.Watoto wetu wasio na hatia yoyote wanaendelea kufa.Chonde Chonde wakuu,tuuweke ubinadam na utu mbele maslahi nyuma.Tusaidianeni kutatua jambo hili:A S embarassed:
nadhani madaktari/wauguzi hili linaweza kujadilika,tuwaombe madaktari wasivute sana tunadhani wao pia wana simanzi na roho hawapendi hali ilipofikia.Cha msingi Serikali iwe wazi kwao kuhusu uwezo wake wa kifedha na siyo kwa kutumia lugha ya kimabavu.Tukumbuke madaktari wanaishi katika jamii na wasingependa kudharauliwa na jamii.
Hali inasikitisha sana,Tumwogope Mungu jamani.Watoto wetu wasio na hatia yoyote wanaendelea kufa.Chonde Chonde wakuu,tuuweke ubinadam na utu mbele maslahi nyuma.Tusaidianeni kutatua jambo hili:A S embarassed: