Mgomo wa Madaktari (Leo): Kiburi cha Blandina Nyoni

Tumejichakachua kiasi kwamba hatuna tena hot cake professions. Kila kitu kinaonekana bure isipokuwa siasa tu. Maendeleo yatapatikana vipi? Madaktari wana hoja za msingi. Tukiwadharau hapa, wengine watawabeba halafu where would we go?????
 
Nakubaliana na wengine, Blandina Nyoni na mganga mkuu ni bora waondoke, maana wakati mwingine maamuzi yao ni ya kusikitisha kwa mustakabali wa taifa letu, na wanawashauri vibaya sana waziri na naibu waziri.

Ninavyosikia kwa sasa hata hapo wizarani kwao, hamisha hamisha ni kubwa sana, ukipishana na cmo tu, basi wewe nje, na pia CMO hataki kada nyingine, anataka kila kitu awe yeye, mfano, nasikia walipishana na chief nursing officer, kapiga zengwe, kamishwa hospitali ya muhimbili ambapo hana kazi maalumu, na kariku idara zote anataka ziwe zinaripoti kwake then ndio kwa blandina nyoni then waziri.

Pamoja na madai ya msingi ya madaktari, lakini bado kunatatizo la mfumo wa wizara, maana kada zingine haizithaminiki, hivyo ku-structure upya wizara ya afya ni muhimu sana. Tatizo lingine la madkatari ni la kisaikolojia, maana wanaamini they are the best, most educated, na ni wabinafsi sana sana.

Tukiangalia kiukweli, katika sekta ya umma, sekta ya afya inaongoza kwa mishahara mikubwa, maana daktari mweye digrii anayeanza leo kazi analipwa kuanzia 930,000 au zaidi, na kada zingine kama nursing degree au famasi nasikia ni kama 840,000, wakti mwalimu wa serikali anaanza na kama 450,000 au 550,000. Na hii yote ni mabadiliko baada ya mgomo wa mwaka 2005 na kikwete aliridhia mabadiliko haya.

Hivyo, pamoja na madai yao kuwa ya msingi, lakini nadhani itakuwa ngumu kuongezwa labda waje na scale mpya za kitaasisi kama MOI au Muhimbili ambapo nasikia nurse officer tu mwenye diploma naanzia na milioni moja na ushehe hivi.
 
Nyie si ndo mliopasua kichwa cha mgojwa kuunga mguu ulovunjika? Then mkachana mguu wa mgonjwa mwingine ili mumfanyie operation ya kichwa,hapo ingependeza wazir awe pombe magufuli au steven wasira ili washrikiane na mama nyoni kuwanyoosha,iweje mng'ang'anie kubaki muhimbili kwan huku mikoani tulipo kodi yetu haichangii kwenye mishahara yenu!!
Na wewe umedanganyika kuwa Magufuli ni mchapakazi? Huyo ni popularist tu
 
MwekezajiMzawa acha kuleta pumba na mzaha kwenye swala linalogusa mstakabali wa Taifa. Siyo lazima u comment, waweza soma na kupita tu

Jamaa yuko sahihi bana! madaktari wanajiona muhimu kuliko wana taaluma wengine simply because wanatibu watu ila wafahamu kwamba kila mtu katika nafasi yake ni muhimu!  hebu fikiria wazoa takataka wakigoma, waendesha maguta, madereva woote, makonda woote, mapolisi woote, manesi, wahudumu wa mochwari, waalimu, wakulima, wabebea mizigo etc. kila mmoja akigoma kutatokea nini? madaktari acheni hizo bana! sote tuna matatizo na matatizo yenu hayazidi ya wengine! kila kitu ni siasa za maji taka tupu kuna kijana mmoja kati ya wale wanafunzi alidai udaktari sii wito ni kazi kama zingine its true wale wanaoona udaktari haulipi waaache! wasituullie ndugu zetu kwa visingizio viingi
 
Nyie si ndo mliopasua kichwa cha mgojwa kuunga mguu ulovunjika? Then mkachana mguu wa mgonjwa mwingine ili mumfanyie operation ya kichwa,hapo ingependeza wazir awe pombe magufuli au steven wasira ili washrikiane na mama nyoni kuwanyoosha,iweje mng'ang'anie kubaki muhimbili kwan huku mikoani tulipo kodi yetu haichangii kwenye mishahara yenu!!

kwanini wahamishwe baada ya mgomo?
 
figo-1.jpg


Hivi kuna tatizo gani Blandina Nyoni kutumia lugha ya hekima kudeal na hawa ma daktari?

Hivi hii yote ni jeuri ya pesa alizotengeneza kuitapeli serikali alipoiuzia kwa bei ya kutisha ile software ya ASYCUDA?

Siku zote mimi nasema kuwa Rais Kikwete hana Mawaziri wanaoweza kuzimudu kazi zao kwa ufanisi unaotakiwa.Wengi wao ni wababaishaji na mazezeta. Mtu ukikaa na kufikiri unashindwa kuelewa walipewaje hizo nyazifa???

Angalia Wizara zote kuanzia Mawaziri, Manaibu Waziri na Makatibu Wakuu, wote ni MABOMU TUPU. Labda kidogo Pombe Magufuli.
Inasikitisha kuwa Waziri mzima anachukulia JAMBO LA MGOMO WA MADAKTARI kama vile ni mzaha na utani wa Yanga na Simba.
Anachofanya huyu mama ni UHUNI ambao haukubaliki asilan.

Mbona nchi za wenzetu mambo huwa yanakuwaga tofauti?? Kuna tatizo gani nchi hii ya Wadanganyika?? Juzi tumeshuhudia kule Nigeria baada ya Serikali kupandisha bei ya Mafuta ya magari/mitambo kwa kuondoa Ruzuku, nchi nzima watu wakagoma.

Kwa hekima,busara na taratibu za Nchi Rais wao Goodluck Jonathan akasikliza kilio cha WANA WA NIGERIA NA KURUDISHA HIYO RUZUKU na kila kitu kikawa shwari.

Sasa basdi huyu Blandinba Nyoni anashindwa nini kusikiliza madai ya Madaktari ambayo ni ya msingi kabisa??? Hivi yeye kama Kiongozi anafurahia nini kuona wagonjwa wanaendelea kufa kwa kukopsa huduma muhimu ya Madaktari walio kwenye mgomo?Badala ya Wizara ku-adress hili tatizo inabaki inalumbana na kupigana chenga na Madaktari.

Tunaomba Rais Kiwete aingile kati kwenye sakata hili ili aokoe maisha ya Watanzania wanaoendelea kufa kwa kukosa huduma kutokana na mgomo huu. Kufukuza madakatari siyo solution. Kiwete na Mawaziri wake wajue tu kuwa serikali imeshagharamia mamilioni ya pesa ya kodi za wananchi kuwasomesha hawa madaktari. Siyo busara hata kidogo kuwafukuza kwani wanachodai ni kidogo sana ukilinganisha na kile ambacho serikali ilishawagharamia kuwasomesha.

 
usije kuta hata yule mpendwa wetu sumari aliyetangulia mbele ya haki alikosa huduma nuhimu ya intern doctors waliofukuzwa pale muhimbili.just thinking aloud!!!
 
Bongo doctors have no moral support to Tanzanians, kama mimi ningekuwa mkuu hapo wizarani I could have f.....d them all these creatures, you are doing nothing at our hospitals. Tunawalipa hela yetu kwa kodi zetui hata hicho kidogo but once you get in their working environment utasikia mara doctor yupo wapi sijui mara njoo kesho, mwezi ujao mara....................wanapusua miguu badala ya vichwa...............mara tunawapa viongozi masaa sijui........hey! hata mtiacha kazi sawa tu hamna msaada better we die............nyie nani, what are you doing? better to pay good salaries those teachers down there than doing it to these creatures!

moral support ndio kitu gani,kazi ya daktari ni kutibu na sio kutoa moral support.
huna haja ya kutukana mkuu,wewe toa maoni yako utaeleweka.
unaposema hela yenu na kodi yenu una maana gani?kumbuka hata hao madaktari wanakatwa kodi kwa hiyo hela ni ya kwao pia.
usiwasemee watanzania eti better we die!!!kisa wewe unatibiwa india.hivi umewahi kusikia daktari anajiadvertise??kwa taarifa yako daktari hapendi kuona watu wakiumwa na kufika hospitalini.
kila fani ina umuhimu wake wa kipekee na tusipende kupotosha umma eti daktari anapodai haki yake anaonekana superior kuliko wengine yawezekana una inferiority complex.
 
Mkuu,

Labda ungesema hao ni ma surgeons wa Tanzania tu na hata hivyo bado nina mashaka na majibu yako.

Mfano yule Dr.Masau wa THI ni cardiosurgeon, sivyo? Kwahiyo Dr. Masau yeye hana shughuli nyingine,isipokuwa ni kupokea watoto ambao tayari wanakuwa diagnosed na heart defects na kuwafanyia upasuaji tu.Dr.Masau hajasomea kujua dalili wala kumfanyia uchunguzi mtoto aliyezaliwa na ugonjwa wa moyo na wala hapaswi kufanya hivyo maana yeye kazi yake ni kusoma file la mgonjwa na kupasua tu.

Dr.Masau akiletewa mtoto mwenye tatizo la moyo,hana sababu ya kuchukua historia na kumfanyia uchunguzi kwanza ili kujua tatizo hasa ni nini,isipokuwa yeye hukubaliana tu na report ya daktari aliyemu attend yule mtoto na ku recommend upasuaji wa moyo.

Sitaki kuamini kuwa hivi ndivyo wanavyofanya kazi ma surgeons wetu. Vinginevyo basi tuna tatizo, tena kubwa sana!
Ngumijiwe na Njiwa. Yule dokta anaitwa nani?
 
mimi mpaka leo huwa najiuliza maswali mengi na bado sipati majibu

Hivi Waheshimiwa Ma Raisi ni kweli huwahawaoni utendaji mbuvu unaofanywa na waliowateuwa?
ama labda sisi wananchi ndio wenye matatizo hatuoni utendaji mzuri unaofanywa na hawa wateuliwa wa Mh Raisi?

haya ndio maswali yanayoniumiza kichwa tangu nikiwa kijana hadi sasa nimezeeka
 
Everybody,

Unaweza ukawa sawa kuwa serikali haina pesa ya kuwalipa madaktari stahiki zao, ila ukumbuke kuwa ni serikali hiyo hiyo ambayo inawalipa wabunge kwa siku moja kiasi ambacho ni mara 20 ya kile anacholipwa daktari anapofanya kazi kwa masaa 24 huku akiwa amefanya operesheni zaidi ya 15 za akina mama wajawazito ndani ya masaa hayo, na tena wengi wao wakiwa na maambukizi ambayo yanaweza hamia kwa huyu daktari kiurahisi tu.

Tusishabikie mambo ambayo hatuyajui, kwa kuwa hujawahi fika hospitali ukaona hali ilivyo mbaya kwa hawa watumishi na unaishia kwenye key board tu ukiwa na conclussion yako. Sio lazima uchangie kila kitu, hususan yale usiyoyajua. Hawa watu wanafanya kazi ya hatari sana,..kazi ambayo haiwezi lipwa kwa kiasi chochote cha fedha,..ila tunawadhalilisha ikiwa tunashindwa kuwapa hata kile kidogo tu tulichowaahidi, yaani stahiki zao tena zilizopitishwa kisheria.

Ukumbuke kuwa kati ya mkono wa daktari na damu ya mgonjwa yenye VVU umetenganishwa na nylon nyembamba sana, tena akiwa ameshika kisu ama sindano ambayo mara nyingi tu humtoboa na kumsababishia maambukizi..wanakufa wengi tu, wanaambukizwa VVU kila siku watu hawa,..wengi wanatumia ARV kwa sababu ya maambukizi haya,..na hata risk allowance hamna..leo mnakuja kupiga kelele kuwa wanakosa wito..kweli are we being human?

...do we know what we are talking about..ama ni kisiasa tu kama tunavyobadili kila kitu..nausiated!!
mkuu hii serikali ni dhalimu sana, hivi wasipowapa ma Dk pesa zao wanadhani hawa Dr's watakula wapi?
 
Na nyinyi madaktari wa Tanzania mmezidi kuliialia kama tabia ya "kundi fulani" katika jamii yetu.

Hivi hamukuona wenzenu jirani zenu wa Kenya walifanya nini majuzi? Kama mnafikiri Serikali inaweza kuwapatie haki zenu kwenye kisahani cha dhahabu, mtasubiri hadi Masiya atarudi!

Action speaks louder than words, and that is the only lamguage the government of URT can understand.

I'm sorry for those innocent people who will die because of that action, but you need to break some eggs to make an omellete.

Lay down your tools collectively and that dude Blandina Nyoni believe me will come to the negotiating table.
 
Blandina alipokuwa Hazina kama Accountant General aliwahi kamata wezi (wahasibu wa wizara ya afya) waliokuwa wanaiba kwa kutumia cheques zilizokwisha tumika, wakawa wanaziandika na amounts mpya na majina mapya. Huyu mama aliwanasa wote wakaenda lupango. Kwa upande wangu nina-mu-admire. Ila alichosema kuhusu madokta, niwe mkweli sijasikia. Kwani alisemaje?
 
Nyie si ndo mliopasua kichwa cha mgojwa kuunga mguu ulovunjika? Then mkachana mguu wa mgonjwa mwingine ili mumfanyie operation ya kichwa,hapo ingependeza wazir awe pombe magufuli au steven wasira ili washrikiane na mama nyoni kuwanyoosha,iweje mng'ang'anie kubaki muhimbili kwan huku mikoani tulipo kodi yetu haichangii kwenye mishahara yenu!!

Hujaelewa mada,siku na wewe ukipasuliwa tumbo badala ya jicho utaelewa
 
Bongo doctors have no moral support to Tanzanians, kama mimi ningekuwa mkuu hapo wizarani I could have f.....d them all these creatures, you are doing nothing at our hospitals. Tunawalipa hela yetu kwa kodi zetui hata hicho kidogo but once you get in their working environment utasikia mara doctor yupo wapi sijui mara njoo kesho, mwezi ujao mara....................wanapusua miguu badala ya vichwa...............mara tunawapa viongozi masaa sijui........hey! hata mtiacha kazi sawa tu hamna msaada better we die............nyie nani, what are you doing? better to pay good salaries those teachers down there than doing it to these creatures!

Oh boy, what this cretinoid hiding behind the computer saying? Watu wengine bwana hawakupaswa kuumbwa.

Kati ya vitu ambavyo madaktari wamefanya sahihi this time around ni kugoma hasa. Na wasicompromise katika hili. Katika dunia yote watumishi wa umma wanaoongoza kwa maslahi ni maDaktari na wanapaswa kuwa hivyo. Ni Tanzania tu peke yake madaktari wanawekwa level moja na masekretari. Hela za posho za wabunge zinatoka wapi? Hela za trip za mkuu ughaibuni zinatoka wapi? Hela za kuonga wabunge ili budget ipite zinatoka wapi?
 
Oh boy, what this cretinoid hiding behind the computer saying? Watu wengine bwana hawakupaswa kuumbwa.

Kati ya vitu ambavyo madaktari wamefanya sahihi this time around ni kugoma hasa. Na wasicompromise katika hili. Katika dunia yote watumishi wa umma wanaoongoza kwa maslahi ni maDaktari na wanapaswa kuwa hivyo. Ni Tanzania tu peke yake madaktari wanawekwa level moja na masekretari. Hela za posho za wabunge zinatoka wapi? Hela za trip za mkuu ughaibuni zinatoka wapi? Hela za kuonga wabunge ili budget ipite zinatoka wapi?

Hapa ndipo madaktari wanapokosea kama mtizamo wao ndio huu wa Zimmerman. Hapa unachotafuta ni Daktari awe na mshahara mkubwa kuliko watumishi wengine wote au maslahi yaendane na kazi? Hebu mfikirie rubani anayeongoza ndege yenye abiria 480, there is no room for error, hakuna cha kusema ati nurse alimix mafaili, one mistake half a thousand people are dead! mfikirie mtu anayetreat maji tunayotumia dar es Salaam kutoka mto Ruvu, no room for errors, mix-up of chemicals my dear the whole city is dead! Kwa hiyo hiyo arragance uliyo/mliyonayo is a grave mistake. Nchi nyingine zilizoendelea unazozitolea mifano, mishahara iko very close hamna tofauti kubwa kati ya dereva wa basi hata na daktari, wote wanatoa huduma muhimu kwa jamii. Sema mishahara inakidhi mahitaji. Madaktari wanayo baadhi ya madai ya msingi kabisa, suala la posho ni la msingi.

Kwa upande wa pili, madaktari nao wana matatizo makubwa sana na ndio maana naona baadhi ya watu wanaandika kwa hisia hapa. Nadhani kila mmoja wetu ameshatendwa in one way or another na wafanyakazi wa sekta ya afya. Na hii kwa kiasi kikubwa inatokana na arrogance waliyonayo kuwa they are the best, most important professionals, which is not true at all, kila mtu na fani yake ana umuhimu kwa jamii, you need to look it from the system perspective na sio kama units. Fani ya udaktari imeoza, purely rotten, wengi wana majina ya udaktari but ni wababaishaji wakubwa, hakuna kitu, empty headed enjoying being called with all sweet prefixes in the street, Dr, Dr! Madaktari wa leo hawana ethics, na mwili wa binadamu wanauchukulia kama wa mnyama tu, they dont care at all. Nasema wengi ni wababaishaji, lakini wapo wazuri na makini, wanaopenda kazi yao.

Mwisho, system nzima ya afya inahitaji complete overhaul, haiwezekani mgonjwa atoke Amana anafikishwa Muhimbili ati anapokelewa na Intern, ni upuuzi mtupu huu. Hospitali ya Rufaa inageuka ya kujifunzia tena? mgonjwa aliyezidiwa anaonwaje na daktari mwanafunzi kama sio uwendawazimu huu! nchi gani inafanya huu upuuzi? Hospitali za rufaa zinatakiwa 24 hours zina specialists, za kwetu ati zina interns. Akili za wapi hizi? Wagonjwa wengi naamini zaidi ya nusu wanafariki sio kwa maradhi yanayowasumbua, hapana wanakuwa mismanaged. Hili linajulikana, mara intern mara mwanafunzi wa masters mara nurse mara huyu, mpaka mtu anakata roho anafanyiwa mizaha tu.
 
Jambo mislotaka kuelewa ni kwamba Katibu Mkuu ni Administrator (Hatibu wagonjwa pale wizarani) sasa mnataka mtu proffessional wa kazi gani? Namuunga mkono 100% Mama Blandina Nyoni haiwezekani Serikali iagizwe nini cha kufanya na hao madaktari. Ni lazima waitii serikali iliyopo mamlakani not otherwise. Big up Mama.
 
Back
Top Bottom