Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Kwenye ukurasa wake wa facebook amesema atatoa msimamo wake kesho,tusubir kesho
Huko ndiko mnakoona kunamfaa kwa kuwa kuna watu wasioitii serikali?????
Kwenye ukurasa wake wa facebook amesema atatoa msimamo wake kesho,tusubir kesho
Ameiba jina, hilo la Hamis Kigwangwala sio Jina lake; jina lake ni SAID BAGAILE
wabunge waccm badala ya kujiunga na kingwangala mnaleta majungu mmelogwa ninyi!Ni jambo la kusikitisha sana kumuona Mbunge, tena wa CCM kuchochea mgomo wa madaktari nchini. Binafsi naona ni mjinga tu asiyependa kuona watanzania wanaishi kwa amani...hii inaonyesha kwamba kutakuwa na ukweli kuwa huyu mbunge si raia.
Ni jambo la kusikitisha sana kumuona Mbunge, tena wa CCM kuchochea mgomo wa madaktari nchini. Binafsi naona ni mjinga tu asiyependa kuona watanzania wanaishi kwa amani...hii inaonyesha kwamba kutakuwa na ukweli kuwa huyu mbunge si raia.
nakuunga mkono mkuu asilimia 100% achana na hawa vibalaka hawaitakii mema nchi hii, nitamtetea yeyote anayetetea maslahi ya umma bila kujali yupo chama gani, Makamba na kingwangala wameonyesha kwa upande wa ccm!wewe ndio huitakii mema nchi hii,..for the record,.alianza kusemwa bashe sio raia baadae wakasema raia...kigwa anapinga wabunge kujiongezea posho bungeni na anaunga mkono madaktari..for me huyu ni mzalendo kuliko selasini wa chadema
Ni jambo la kusikitisha sana kumuona Mbunge, tena wa CCM kuchochea mgomo wa madaktari nchini. Binafsi naona ni mjinga tu asiyependa kuona watanzania wanaishi kwa amani...hii inaonyesha kwamba kutakuwa na ukweli kuwa huyu mbunge si raia.
Bora nionekana mbaya ndani ya chama changu lakini Lulu kwa wananchi nilioapa kuwatetea hii ni pamoja na Madaktari. Amueni mnachotaka lakini ukweli ni kwamba naunga mkono Mgomo wa Madaktari. " Hongera sana Mbunge kwa moyo wako uwa uzalendo"Ni jambo la kusikitisha sana kumuona Mbunge, tena wa CCM kuchochea mgomo wa madaktari nchini. Binafsi naona ni mjinga tu asiyependa kuona watanzania wanaishi kwa amani...hii inaonyesha kwamba kutakuwa na ukweli kuwa huyu mbunge si raia.
Ni jambo la kusikitisha sana kumuona Mbunge, tena wa CCM kuchochea mgomo wa madaktari nchini. Binafsi naona ni mjinga tu asiyependa kuona watanzania wanaishi kwa amani...hii inaonyesha kwamba kutakuwa na ukweli kuwa huyu mbunge si raia.
Wana JF naomba mtoe michango yenu katika suala la mgomo wa madaktari na maslahi anayoyapata DR.KIGWANGALA.
Kwa mtizamo wangu KIGWANGALA hayupo kwa maslahi ya Chama chochote cha siasa na wala hana maslahi na madaktari wanaogoma. Anachotaka ni kuona nchi hii inachafuka na kwa sasa anaona amefanikiwa.
Wapo baadhi ya wana JF ambao wamesema wazi katika threads zingine kwamba KIGWANGALA siyo raia na ukazi wake huko Nzega ni wa kutilia mashaka. Amejaribu mara nyingi hata kuvichonganisha vyombo vya dola huko Jimboni kwake na haikufahamika kama alikuwa anafanya hivyo kwa sababu gani.
Lazima tuhisi kwamba KIGWANGALA ni mtu asiyeitakia mema nchi hii na kama tutaendelea kumchekea tutapata hasara isiyotarajiwa.
My take: Watanzania tusikubali watu kama KIGWANGALA ambaye hata uraia wake ni wa mashaka alete vurugu zinazoweza kusababisha machafuko ndani ya nchi yetu.
Kusema kwamba hana maslahi na jambo hili ni kumwone tu.....Kwanza Kingwangwala yeye mwenyewe ni daktari lakini pia kama ilivyo kwa watu wengine (mimi na wee tukiwamo!) anaathirika na utaratibu/hali isioridhisha katika huduma za afya hapa Tanzania. Ni bahati tu katika nchi zetu hizi suala la uwajibikaji ni msamiati....lakini kwa namna wizara na baadae PM walivyoshughulikia suala hili so far....wangepaswa kuwa watu wa mwanzo kuwawajibishwa!Wana JF naomba mtoe michango yenu katika suala la mgomo wa madaktari na maslahi anayoyapata DR.KIGWANGALA.
Kwa mtizamo wangu KIGWANGALA hayupo kwa maslahi ya Chama chochote cha siasa na wala hana maslahi na madaktari wanaogoma. Anachotaka ni kuona nchi hii inachafuka na kwa sasa anaona amefanikiwa.
Wapo baadhi ya wana JF ambao wamesema wazi katika threads zingine kwamba KIGWANGALA siyo raia na ukazi wake huko Nzega ni wa kutilia mashaka. Amejaribu mara nyingi hata kuvichonganisha vyombo vya dola huko Jimboni kwake na haikufahamika kama alikuwa anafanya hivyo kwa sababu gani.
Lazima tuhisi kwamba KIGWANGALA ni mtu asiyeitakia mema nchi hii na kama tutaendelea kumchekea tutapata hasara isiyotarajiwa.
My take: Watanzania tusikubali watu kama KIGWANGALA ambaye hata uraia wake ni wa mashaka alete vurugu zinazoweza kusababisha machafuko ndani ya nchi yetu.