Kapige nalo pichaaaa khaaa...Ameiba jina, hilo la Hamis Kigwangwala sio Jina lake; jina lake ni SAID BAGAILE
Wanabodi, hii imetoka jikoni kabisa:
Baada yake alikuja Mhe. Hawa Ghasia ambaye alimtukana Kingwangallah kuwa ni mbishi, jeuri na hakufunzwa na wazazi wake na kwamba CCM hawatomuweza.................
yeye Dr alisema nini baada ya kushambuliwa?