Mgomo wa Madaktari: KCMC kufungwa kesho

Kimsingi madaktari wanapaswa kuangaliwa stahili zao ili wawatumikie watz kwa moyo mmoja,ila kwasasa nachelea kusema wengi tunaochangia humu ndani inaonesha wazi hatuna wagonjwa mahospitalini ndo maana tunawaambia waendelee kugoma,imagine umepata ajali then unapelekwa hosptal unaambiwa dokta kagoma,how wil u feel?jaman kuna haja na $madokta wenyewe kuwa na sympathy,halafu hawa madokta wanawahudumia watz na sio serikali,walisoma bure(grant)kodi za watz,sasa wanawakomoa watz wakidhan wanawakomoa serikali.
 
Maazimio ya kikao hayajatoka unatoa hitimisho la kikao kinachoendelea hakika hizi ni siasa zilizopenyezwe kwenye sekta ya tiba
 
Kimsingi madaktari wanapaswa kuangaliwa stahili zao ili wawatumikie watz kwa moyo mmoja,ila kwasasa nachelea kusema wengi tunaochangia humu ndani inaonesha wazi hatuna wagonjwa mahospitalini ndo maana tunawaambia waendelee kugoma,imagine umepata ajali then unapelekwa hosptal unaambiwa dokta kagoma,how wil u feel?jaman kuna haja na $madokta wenyewe kuwa na sympathy,halafu hawa madokta wanawahudumia watz na sio serikali,walisoma bure(grant)kodi za watz,sasa wanawakomoa watz wakidhan wanawakomoa serikali.

madaktari wamesomeshwa na kodi za wa wazazi wao,wajomba zao,bibi zao,kaka zao,dada zao,wajomba zao,shangazi zao,shemeji zao na rafiki zao.wana haki ya kudai maslahi bora na pia wana haki ya kudai mazingira bora ya huduma za hospitali kwa maslahi ya watanzania.usipotoshe.
 
Mheshimiwa pinda apeleke wale madaktari wake alosema. awakonsalti wale washauri wake waliomwambia awakejeli madaktari wamshauri ni nini cha kufanya baada ya haya mambo kutokea. lakini ni mda ambao viongozi wetu kujua kwamba wakati wa kuishi kwa kutisiana umeshapitwa na wakati.Serikali imalizane na madaktari halafu waliamu watafuata kisha wahandisi na kada nyingine.
 
walisoma bure(grant)kodi za watz,sasa wanawakomoa watz wakidhan wanawakomoa serikali.[?
/QUOTE]ndugu yangu kamshahara kadogo tunakopata kanakatwa hiyo hela unayosema tulipewa bure 80%mpaka senti ya mwisho hakuna hata doctor aliyesoma bure lazima ujue kabla ya kusema
halafu madaktari ni watu wenye familia ,majukumu kama wewe lakini pia ni binadamu.

 
sioni umuhimu wa kusubiri kamati ya bunge kuendelea kukusanya taarifa wakati watu wanakufa,mwisho wa siku mwenye maamuzi ni serikali kwa nini uamuzi huo usifanywe sasa?fire all those who are responsible!
Makinda anasema kushughulikia suala hili kunahitaji utulivu,mimi nasema linahitaji uharaka na dharura kwa serikali kutoa maamuzi.

Very very true. Maoni yako ni yana mashiko natamani kama mama makinda angeusoma..
 
chadema at work

"Walipokuja kwa ajili ya Wayahudi, sikufanya chochote kwa kuwa niliona mimi siyo myahudi, walipokuja wa ajili ya viongozi wa vyama vya wafanyakazi, sikufanya lolote kwa kuwa niliona mimi siyo mwanachama wa vyama hivyo, walipokuja kwa ajili ya wanaharakati wa haki za binadamu, sikufanya chochote kwa kuwa niliona mimi siyo mwanaharakati, lakini mwisho walipokuja kwa ajili yangu, hahuhuwa na aliebakia kufanya chochote"

Haiingiii akilini kuona mtu hadi leo anaona madokta kugoma ni CHADEMA wamesababisha.

"Enyi Wagalatia ni nani aliyewaloga?"
 
Mheshimiwa pinda apeleke wale madaktari wake alosema. awakonsalti wale washauri wake waliomwambia awakejeli madaktari wamshauri ni nini cha kufanya baada ya haya mambo kutokea. lakini ni mda ambao viongozi wetu kujua kwamba wakati wa kuishi kwa kutisiana umeshapitwa na wakati.Serikali imalizane na madaktari halafu waliamu watafuata kisha wahandisi na kada nyingine.

Walimu!!!!!!! hawawezi kwani huenda wengi wao wameforge vyeti vya kiacademic so wanahisi wakigoma uchunguzi ukianza itakula kwao
 
wabongo tumelogwaaaaa? jamani twendeni barabarani!!!!!!!!!!!!!!

Na wana JF tuwe front aiseee,naona uzi humu mkuu Mkono wa Paka kampoteza anti yake jioni hii sababu ya huu mgomo,tz yangu where are u heading?!!!
 
...sasa wodi tufugie kuku!
Hali ni mbaya, serikali badala ya kutumia akili wanatumia nguvu. Kweli alieshiba hamjui mwenye njaa.

Mimi naombea ije vita ili tuone nani atawatibu hao askari wataoumia vitani. Pinda na ****** walidhani madoc ni kama walimu! Bravo docs moto chini hadi kieleweke ili wasije waletea huo ufukunyuku wao walozoea wafanyia walimu
 
Mheshimiwa pinda apeleke wale madaktari wake alosema. awakonsalti wale washauri wake waliomwambia awakejeli madaktari wamshauri ni nini cha kufanya baada ya haya mambo kutokea. lakini ni mda ambao viongozi wetu kujua kwamba wakati wa kuishi kwa kutisiana umeshapitwa na wakati.Serikali imalizane na madaktari halafu waliamu watafuata kisha wahandisi na kada nyingine.

Uko sawa mkuu. alidhani madaktari ni kama Mgaya na wenzake alowatishia kuwafukuza kazi wakarudi kazini. moto umewaka kuuzima ni gharama. sio lazima wakili kukosea lakini watimize madaktari wanachotaka.
 
Hivi mzee Pinda si ulisema hawa wakiendelea na mgomo watakuwa wamejifuta kazi? au ulikuwa unatania tu??? Maana kama ulikuwa serious tunataka taarifa ya serkali ikitoa idadi ya madaktari ambao hadi sasa wamepoteza ajira serkalini.
 
hata kama ni grant si kwasababu nilifaulu mbona hamna daladala na maduka kwa ajili madokta mbona madokta hawapewi punguzo akiwa na watoto anawapeleka shule. Daktari anapata wapi pesa zakuendesha maisha yake?
 
Nawasapoti madaktari 100%. Hakuna kurudi nyuma wakiwatisha tena tu na sisi wa fani zingine tunaweka tools chini.
 
chadema at work

hahaa yaani we huna tofauti na mwanamke malaya kabisa..sasa ndio nini kubadilishabadilisha id..!mara king xvi, mara malaria sugu..na sasa pipi jojo..ili mradi tu ionekane msiotaka mageuzi bado ni wengi..utapasuka njia ya haja kubwa mdogo wangu..oho
 
Bora mi natumia mti shamba kujitibu. Mungu amuongeze babu wa samunge aweze kutibu tena
 
Back
Top Bottom