Mgomo wa madaktari kama walimu

Hivi nyie madaktari mnaowasaliti wenzenu mna nini. hebu acheni kujipendekeza ina maana nyie mmeshiba eti eeh.
 
kweli wanaboa,na watakoma.Ndo mana wanadharaulika had kwa viongoz wao,wanaonekana elimu yao si kitu matokeo wanafanywa wa kufanya uchunguz wa awali then matibabu india,na km wangekuwa na umoja ht hili la kwenda india kwa magonjwa wanayoweza kutibu,wangegoma ila wametulia tuli kama maji mtungini.kama wangekuwa na umoja,huu mgomo ungekuwa hot sn manake kwa asimilia kubwa wananch wangewasupport.
 
kwa msingi huu, nafikiri hawana haki tena ya kusema serikali inawanyanyasa, wanajinyanyasa wenyewe.
 
Si wajasiriamali,coz mjasiriamali always ni risk teka!ACHA WANASIASA WATAMBE,WAKITAKA BETA lyf waingie kwenye sihasa
 
nashukuru kwa hilo kwani tumejua kuwa hakika hata mwehu akipitishwa na kamati kuu ya ccm lazima atatawala milele....................mmeni disappoint kabisa ndio maana mkuu wa kaya ameondoka kwenda ughaibuni ameona nyie wehu tu
 
Hizi sasa stori! Unajua majuzi madaktari wa Kenya walifanya nini? We are not organised pamoja na shule zetu tunazidiwa hata na watu wa daladala!!
...unamaana watu wa daladala na madereva wa malori wanajua haki zao kuliko hawa (wasomi)madaktari na walimu?...hapana bhana tuwape muda labad hao wanaoendelea na kazi
hawajapata taharifa za mgomo au wameridhika na hii hali ya kudhulumiwa haki zao...
 
hivi jamani madaktari wakigoma nchi nzima mnajua madhara yake? au mnataka wote wagome kwa vile nyie pamoja na ndugu zenu mna uwezo wa kwenda kutibiwa private?

siku zote madaktari huwa hawagomi wote ila migomo huwa inalengwa zaidi ktk hospitali za rufaa ambako kwa muda mfupi tu madhara huonekana na mortuary huwa zinajaa na serikali huwa haiwezi kuvumilia.mi naamini wakigoma wa hapa dar wanatosha kufikisha ujumbe mzito.
 
hivi jamani madaktari wakigoma nchi nzima mnajua madhara yake? au mnataka wote wagome kwa vile nyie pamoja na ndugu zenu mna uwezo wa kwenda kutibiwa private?

siku zote madaktari huwa hawagomi wote ila migomo huwa inalengwa zaidi ktk hospitali za rufaa ambako kwa muda mfupi tu madhara huonekana na mortuary huwa zinajaa na serikali huwa haiwezi kuvumilia.mi naamini wakigoma wa hapa dar wanatosha kufikisha ujumbe mzito.
Acha tu Ndugu yangu yaani hata siamini watu wanavyoshabikia mgomo hapa, msifananishe mgomo wa walimu na madaktari jamani? yaani mie kama jana wangegoma wa huku kwetu sa hivi ningekua naongea mengine? msishabikie kitu amabacho hakajawai kukuta!
 
hii heading ya thread hii inachanganya!? Nimesikia kwenye habari Radio One wanasema Ocean Rd wamesimamisha kupokea wagonjwa sasabu ya mgomo.
Mleta thread tafahali fanya uchunguzi kabla ya kuandika hapa maana jf kwa sasa inategemewa na watu wengi kwa mambo ya msingi na sio propaganda
hivi jamani madaktari wakigoma nchi nzima mnajua madhara yake? au mnataka wote wagome kwa vile nyie pamoja na ndugu zenu mna uwezo wa kwenda kutibiwa private?

siku zote madaktari huwa hawagomi wote ila migomo huwa inalengwa zaidi ktk hospitali za rufaa ambako kwa muda mfupi tu madhara huonekana na mortuary huwa zinajaa na serikali huwa haiwezi kuvumilia.mi naamini wakigoma wa hapa dar wanatosha kufikisha ujumbe mzito.
 
Bora hata walimu walikukuruka kidogo! Waganga wakuu wa wilaya na mkoa ni mafisadi wakubwa hawawezi kugoma.mngejipanga hata Dar tu!

Hao sio wakutegemea wanakula kwenye bakuli la madiwani....posho vikao vya bajeti,zabuni nk. Marupurupu kibao.
 
Ukirejea kutofanyika kwa ule mgomo mkubwa wa walimu nchi nzima & kusuasua kwa madakitari, ni mtu gani mwenye akili timamu anaweza simama na kudriki kupinga kauli ya kuwa "hakuna nchi rahisi hapa duniani kuiongoza kama Tanzania!" endapo mtu msomi anashindwa kusimama kidete na kwa umoja kudai haki zake za msingi na zakikatiba, je asiyeenda shule sasa atafanyaje?!! Eeeh, hizi ndizo fikira na akili za wasomi wetu tunaowatarajia watuonyeshe njia ya kuleta mabadiliko nchini mwetu ktk nyaja mbalimbali!
 
Hivi nyie madaktari mnaowasaliti wenzenu mna nini. hebu acheni kujipendekeza ina maana nyie mmeshiba eti eeh.
...kitu kibaya zaidi mkuu ukichunguza vizuri,ni hawa hawa wasaliti ndo kutwa utawakuta wanalalama...oh maisha magumu...oh mishahara haitoshi...oh hii kazi hailipi afadhali nikalime au nifanye biashara nk,wakiambiwa "haya-basi sasa tudai haki zetu",wanaufyata mkia kama mbwa koko...Cha-ajabu ikatokea hao{madaktari mashujaa} waliojitoa muhanga kupigania haki za madaktari wote wakafanikiwa,utawaona tena hawa hawa wanaowasaliti wenzao leo ndo watakuwa tena wakwanza kesho kupokea hicho walichoshindwa kukipigania..."yaani mijitu kama hii!?"...khaa!*****ebu ngoja nijizuie nisije kutoa maneno yasiyofaa coz mi-mtu ya aina hii inaweza ata ikakuaribia siku kwa unafki wao..."KILA MAPINDUZI HUTENGEZA MASHUJAA NA WASALITI WAKE"...
 
Avatar umenikuna kabisa sio miscommunication ila ni woga,kukata tamaa na ufisadi.Madaktari wengi seniors ni mafisadi tiyari na hawafanyi kazi ila wana shughuli binafsi.Sasa vijana wanaoumia wakigoma wao hujitokeza kufanya kazi lakini hii ni nguvu ya soda kwani itawalazimu kufunga shughuli zao za pembeni.Imagine daktari analipwa 10,000 shs kwa kufanya kazi 24 hrs na inakatwa kodi tena na kumbuka hana off
 
kipi ni bora jamani,WAKUTIBU wakiwa wanamsongo wa mawazo kuhusu malipo yao hivyo wanaweza kuchangaya mambo(mguu badala ya kichwa,mkojo badala damu,).WAKUTIBU wakiwa makini na hawana msongo wa maisha kama wanaoupata sasa
 
media propaganda, we are firm, united and determined more than any time. Mgomo kama kawa wakuu, kote mbeya, bugando, kcmc, muhimbili, dodoma unaendelea......
 
Back
Top Bottom