Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Tusishabikie ,tutafute ufumbuzi jamani wagonjwa nao wana haki ya kutibiwa ipasavyo ikilinganisha serekali inatoa vitendea kazi na madaktari wanatumia pamoja na ujuzi walioupata darasani na uzoefu.
Hakuna ushabiki mgomo upo; serikali legelege inayoongozwa na rais dhaifu inatumia mikakati dhaifu kupambana na madaktari wa ukweli. Wananchi wanaumia lakini si kama wanavyoumizwa na serikali.
Ukisikia watu wanatumika kama ngao, ndiyo hiyo serikali ya kipuuzi inaweka binadamu wenye shida (wagonjwa) kujikinga na madai ya madaktari. Funguka wewe UKWELI UTAKUWEKA HURU DAIMA serikali yako dhaifu inaongozwa na watu dhaifu wanaowakilishwa na chama cha kipuuzi