VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,800
Taratibu ila wenye madhara makubwa.Madaktari wanagoma kwa aina ya kipekee.Muhimbili,Bugando,KCMC na kwingineko ni balaa.Huduma zimedorora.Watu wanataabika.Serikali yalazimisha mijadala isiyo na faida.
Mgomo huu wa Madaktari wetu naufananisha na penati ya tatu ya timu ya Taifa ya Italia jana iliyopigwa na Andrea Pirlo.Mgomo umepangwa kiufundi.Hauna mshindo mkuu ila unatekelezeka.Unapoteza kabisa Serikali maboya.Serikali haijui namna ya kuuzuia.Pirlo alimpoteza Joe Hart jana,Madaktari wakioongozwa na Ulimboka wanaipoteza maboya Serikali...
Mgomo huu wa Madaktari wetu naufananisha na penati ya tatu ya timu ya Taifa ya Italia jana iliyopigwa na Andrea Pirlo.Mgomo umepangwa kiufundi.Hauna mshindo mkuu ila unatekelezeka.Unapoteza kabisa Serikali maboya.Serikali haijui namna ya kuuzuia.Pirlo alimpoteza Joe Hart jana,Madaktari wakioongozwa na Ulimboka wanaipoteza maboya Serikali...