Mgomo Wa Madaktari: Jee, Serikali Kuwafukuza Kazi Kwa Summary Dismissal kwa "Insubordination"?

Final Update.

ni kweli umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, lakini katika umoja huo tangulizeni maslahi ya taifa mbele,

!

Acha unafiki.
hayo maslahi ya taifa, sijui uzalendo waimbiwe madaktari tu?
Wabunge hawatakiwi kuwa wazalendo?
Kikwete na serikali yake na safari zao hawatakiwi kuwa wazalendo?
Kikwete na genge lake la mafisadi wako juu ya mstari wa uzalendo?
 
Final Update.
kivita inamaanisha mmekuwa 'ambushed'!. Vitani mkishakuwa ambushed, kila mtu anatafuta njia yake mahali wa kutokea na mnaretreat mpaka kwenye RV yenu, mnajipanga upya ndipo mna strike tena!.
Hakuna ambush yoyote.
Ni kwamba serikali bado inapita kwenye reli tuliyowatengenezea. Walikuwa na option chache na hilo la kufukuza kazi ndo lilikuwa tishio la mwisho.
Nashangaa we na usalama wako wa taifa hamkuweza kusikiliza vizuri mikutano ya madaktari walipokuwa wakitabiri matukio.
Wote walishajiandaa kufukuzwa kazi, hivyo hilo halikuwa tena tishio.
Ndo maana badala ya kutishika na kurudi kazini sasa wameweka CLINICALLY TOOLS DOWN hadi emergencies zimesititishwa.
mkiendelea kutunisha misuli ni kweli mtakuwa fired, kuna wengine wata loose na to be rendered jobless overnight!.

!
Hapo ndipo usalama wa taifa (ambao actually ni kulinda maslahi ya mafisadi) ilipokosea kumshauri Pinda.
Wako wapi Muhimbili?
Wako wapi MOI?
Wako wapi Dodoma Hosp?
Bugando, KCMC?
 
madocta.jpg

Madkatari walogoma kufanya kazi katika moja ya mikutano yao
 
Back
Top Bottom