Mgomo Wa Madaktari: Jee, Serikali Kuwafukuza Kazi Kwa Summary Dismissal kwa "Insubordination"?

Jibu langu la haraka ni kuwa serikali haiwezi kufanya hivyo, haiwezi kuombea iweze kufanya hivyo na ikidhania kuwa inaweza kufanya hivyo haitoweza kufanya hivyo kwa sababu ikifanya hivyo itakuwa imepoteza uhalali wa kuwa serikali! Unless wafukuze madaktari wote, wauguzi wote! na wakiweza wafunge na mahospitali yote!

Ila kwa vile naamaini naweza kuwa nimekosea naombea serikali ifanye hivyo mapema zaidi kutangaza kuwa madaktari wote waliogoma wamefukuzwa kazi!!!

MM - Serikali ya Tanzania inaendesha nchi kwa style ya who's masculine. Wanaweza kufanya hivyo halafu watangaze kazi upya na kuwataka wanaoajiriwa wasaini mkataba wa kutogoma. Sababu kubwa ya kufanya hivyo wanajua kuwa wao watatibiwa India. Ila wakifanya hivyo itakuwa ni sawa na kuwakorofisha watu wanaolinda ghala la baruti unawanyanya na kuwarusha kulinda ghala, you know what next?, watavutia sigala ndani ya ghala la baruti kuondoa msongo wa mawazo.

Ma daktari always have upper hand kwani wao wanaijua miili yetu kama ambavyo mkaanga kuku anavyovijua viungo vya kuku. Wanaweza wakaacha mgomo na kuonekana wapo kazini lakini suala la kuwafanya watumie ujuzi wao kuokoa maisha ya watu unabakia vichwani mwao 'You can lead a horse to water, but you can't make it drink'.

Anaweza kuepelekwa mheshimiwa anaumwa kidole-tumbo (appendicitis) wakamfanyia opasuaji na ku-inject cancer cells kwenye ini, nani atakuwa amepoteza?. Kwangu mimi madaktari ni muhimu zaidi ya Military ambayo serikali ipo ladhi wananchi wote wale nyasi ila jeshi lisilalamike. Askari anaweza kukuwinda na silaha ukajificha ila daktari unepelekwa ukiwa huwezi kukimbia na tena unasaini hati ya kifo wewe mwenyewe (Authortising operation be ready to bear consequences). Tusiwachezee madaktari jamani tunatakiwa kuwafanya wawe na moyo wa kutumia kila wawezalo kutusaidia katika maisha si kuwafanya waingie theatre huku wana - mawazo. Matokeo yake vifo havipungui.
 
Mkuu August, soma mwanzo wa thread hii ni opinionated questions!.

Maswali nimeyaunda mwenyewe na kusuggest posible answers. Jana nilisema watalazimishwa kurejea kazini na watakao kataa will face the music. Nilifikiri Iron Lady ataitia kiburi serikali isiwafate madaktari mahali walipo, jana serikali imewapigia magoti kupitia mawaziri wake 3!. Madaktari wakagoma wanamtaja Pinda!. Sasa leo Pinda watampata na atawaambia yale yale ya jana "madai yenu ni genuine, serikali imeyapokea na kwa vile yanahusu sekta mtambuka, uwezo wa nchi kulipa/ hazina ya taifa/ wizara ya fedha/wizara ya Afya/ Wizara ya Utumishi etc etc, its obvious it will take time". Mtoto wa Mkulima atatoa chozi kidogo kuwalilia wagonjwa waliokufa jana na wale wanaokufa leo, atakuwa pia ameshika magazeti kuonyesha ripoti za mateso Watanzania walala hoi wanavyoteseka, then atamalizia " Chonde Chonde ndugu zangu madakitari, nawaombeni sana muwaonee huruma Watanzania wenzetu wanaoteseka na msiba huu!. Nawaombeni sana mrejee kazini wakati serikali ikishughulikia madai yenu". Mimi na serikali yangu, tuko chini ya miguu yenu!".

Pia Mtoto wa Mkulima atawapa madakitari hao salaam zao kutoka Davos!.

Kama na leo wataendelea kugoma, yale masaa 48 yanamalizika Jumatatu asubuhi!. Sikilizieni kitakachofuatia.



Hivi kati ya madaktari na serikali, nani anasababisha mateso na vifo kwa wagonjwa??
 
MM - Serikali ya Tanzania inaendesha nchi kwa style ya who's masculine. Wanaweza kufanya hivyo halafu watangaze kazi upya na kuwataka wanaoajiriwa wasaini mkataba wa kutogoma. Sababu kubwa ya kufanya hivyo wanajua kuwa wao watatibiwa India. Ila wakifanya hivyo itakuwa ni sawa na kuwakorofisha watu wanaolinda ghala la baruti unawanyanya na kuwarusha kulinda ghala, you know what next?, watavutia sigala ndani ya ghala la baruti kuondoa msongo wa mawazo.

Ma daktari always have upper hand kwani wao wanaijua miili yetu kama ambavyo mkaanga kuku anavyovijua viungo vya kuku. Wanaweza wakaacha mgomo na kuonekana wapo kazini lakini suala la kuwafanya watumie ujuzi wao kuokoa maisha ya watu unabakia vichwani mwao 'You can lead a horse to water, but you can't make it drink'.

Anaweza kuepelekwa mheshimiwa anaumwa kidole-tumbo (appendicitis) wakamfanyia opasuaji na ku-inject cancer cells kwenye ini, nani atakuwa amepoteza?. Kwangu mimi madaktari ni muhimu zaidi ya Military ambayo serikali ipo ladhi wananchi wote wale nyasi ila jeshi lisilalamike. Askari anaweza kukuwinda na silaha ukajificha ila daktari unepelekwa ukiwa huwezi kukimbia na tena unasaini hati ya kifo wewe mwenyewe (Authortising operation be ready to bear consequences). Tusiwachezee madaktari jamani tunatakiwa kuwafanya wawe na moyo wa kutumia kila wawezalo kutusaidia katika maisha si kuwafanya waingie theatre huku wana - mawazo. Matokeo yake vifo havipungui.


Hii serikali yetu huwa haijifunzi hata siku moja,

Ultimatum ya kuwa kazini J3 siyo issue kubwa....Wamesahau kuwa wanafunzi wa vyuo wamewahi kuwaachezea sana katika jambo kama hili...Wanafunzi anajua kuwa ukikaa nje ya darasa siku 3 umejifukuzisha shule, basi wakati mwingine waligoma siku 2 na kurudi darasani kwa siku moja au mbili kabla ya kuendelea kuwa zana chini (kugoma)!!

Na kadri serikali inavyojitahidi kutumia hila na nguvu, ndivyo itakavyosababisha madhara zaidi. Kama wangetulia na kwa kutumia hekima na busara wakaongea na madaktari basi wangeshamaliza hili jambo siku nyingi!!
 
Hii serikali yetu huwa haijifunzi hata siku moja,

Ultimatum ya kuwa kazini J3 siyo issue kubwa....Wamesahau kuwa wanafunzi wa vyuo wamewahi kuwaachezea sana katika jambo kama hili...Wanafunzi anajua kuwa ukikaa nje ya darasa siku 3 umejifukuzisha shule, basi wakati mwingine waligoma siku 2 na kurudi darasani kwa siku moja au mbili kabla ya kuendelea kuwa zana chini (kugoma)!!

Na kadri serikali inavyojitahidi kutumia hila na nguvu, ndivyo itakavyosababisha madhara zaidi. Kama wangetulia na kwa kutumia hekima na busara wakaongea na madaktari basi wangeshamaliza hili jambo siku nyingi!!


Mkuu DC;

Hiyo busara unayoisema wewe ndiyo serikali inawashinda kuifuata. Kuna washauri fulani wa mambo ya utawala huwa wana theory moja kuhusu busara hiyo. Uki-give in kwenye kundi moja la wagomaji basi uanakuwa ume-create precedence kwa makundi mengine.

Unaweza jikuta kuwa leo umekubalia madaktari kesho walimu wanaanza, keshokutwa linakuja jeshi, na next week wanakuja wanafunzi then Wananchi wanaingia kati. Unakuwa umepoteza legitimacy ya kuongoza na hivyo unakuwa umeiangusha serikali. Ushauri kama huu ndiyo unaowatisha watawala kukubaliana na matakwa ya wagomaji. Govt always want to take the winning side na hicho ndicho kinachoitafuna nchi.
 
Mkuu DC;

Hiyo busara unayoisema wewe ndiyo serikali inawashinda kuifuata. Kuna washauri fulani wa mambo ya utawala huwa wana theory moja kuhusu busara hiyo. Uki-give in kwenye kundi moja la wagomaji basi uanakuwa ume-create precedence kwa makundi mengine.

Unaweza jikuta kuwa leo umekubalia madaktari kesho walimu wanaanza, keshokutwa linakuja jeshi, na next week wanakuja wanafunzi then Wananchi wanaingia kati. Unakuwa umepoteza legitimacy ya kuongoza na hivyo unakuwa umeiangusha serikali. Ushauri kama huu ndiyo unaowatisha watawala kukubaliana na matakwa ya wagomaji. Govt always want to take the winning side na hicho ndicho kinachoitafuna nchi.

Nakuelewa sana kaka,

Tatizo hili linasababishwa na hao washauri ambao wako compromised na wana moral decay...wanahangaikia matumbo yao na wakubwa wao badala ya kutumikia umma..

Kama wangekuwa wanafanya kazi yao vizuri, usingekuta mkuu wa taasisi ya umma kama TRA anakomba 20mil per month wakati professor analipwa 4mil. Yaani huyo jamaa wa TRA anavalue sawa na maprofessor 4....!!

Ngoja waendelee na misimamo yao tuone itawafikisha wapi!
 
Mkuu Mkandara, ni kwa maslahi ya nani kwa madaktari kurudi na kufanya kazi katika mazingira yaleyale yaliyowafikisha hapa?
Mkuu wangu kulingana na madai yao hawana matatizo makubwa bali sisi wananchi wagonjwa na tunaopelekwa pale Hospitalini. Jukumu la kulalamikia madawa na hali mbaya ni letu sote wananchi pamoja na madaktari wenyewe, hivyo maadam wapo wagonjwa ambao wanatakiwa kutibiwa ktk hali mbaya sana watibiwe. Nadhani uliona hata Libya wakati wa Vita wagonjwa waliendelea kutibiwa pamoja na kwamba madaktari hawakujua watalipwa vipi mishahara yao na ktk mazingira mabaya zaidi.

Na pengine niseme red cross na baadhi ya NGO hujitolea kuja nchi zenye matatizo kutokana na moyo wa Uzalendo unaojengwa na profession hiyo. Kwa maana kwamba ukikubali kuwa Daktari basi unawajibika kama rais au waziri aliyeomba kuwatumikia wananchi kuwa rais au waziri..JK anawajibika kivyake kwa wananchi kama anavyowajibika daktari na yeyote baina yao anapovunja ahadi ya Uzalendo wake kwa wananchi tunatakiwa umlaani..

Tunawalaumu viongozi wetu toka JK, Pinda mawaziri wa AFYA, watumishi wa serikali na ngazi zote zinazohusika na janga hili lakini kugoma kwa madaktari hakutupunguzii wananchi madhara bali kunatuongezea. Na nimezisema njia zote bora ikiwa vita ni baina ya madaktari na viongozi. Hawa viongozi ni binadamu, pia wanaumwa kila siku ya Mungu kutafuta madaktari wazuri.. Hivyo kupitia chombo chao wakubaliane akija kiongozi na malaria au homa hapewi dawa wamwambie akaonane na mwenyekiti au aende India, kisha watatia akili ya kuhakikisha Hospital zetu zinapewa vipaumbele.

Kugoma kwao hakutawasaidia lolote na amini maneno yangu kama wewe ungekuwa ktk nafasi ya rais au waziri usingekubali kabisa kusalimu amri kwa waajiriwa wako hasa pale wanapowaumiza wananchi. Wao waliweka saini kukubali mikataba ktk hali waliyoikuta na kama kumepungua hali hiyo wanaweza peleka malalamiko yako hasa pale yanapohusu usalama na malipo yao lakini sii kutumia POSHO kama kigezo cha mgomo.. This is too low!..

Hayo maswal mengine wameyaweka tu ili wapate support ya wananchi lakini najua fika sio sababu wala kigezo cha Daktari kugoma maana walipoajiriwa walizikuta Hospital hizo zina hali mbaya zaidi kuliko wanavyofanya kazi leo. Na kuhusu malipo madaktari wanalipwa vizuri sana na nakuhakikishia hakuna Daktari ktk hadhi ya middleclass ya Kitanzania, wote ni matajiri wana majumba, magari na kuishi maisha mazuri hata kama ni Daktari wa Ukerewe.
 
Ozzie kwa level ya Tanzania mpaka nesi ndio daktari mkuu wa kijiji itakuwa hao AMO?. Ma RMO ndio wamekuwa wakiendesha hospitali zetu miaka nenda rudi leo ndio washindwe nini?.
Subirieni baada ya mkutano wa Pinda leo muone kitakachotokea Jumatatu asubuhi!.
with due respect nashindwa kuelewa kuona mpaka leo hii kuna wa tanzania wenye akili au exposure ya kufika british legion lakini fikra zao zipo duni, bado wapo kwa rural medical officer ambao hawa ni kwa ajili ya kichwa jinauma, malaria na kuhara sasa sijui wanaokwenda muhimbili tatizo lao ni hilo? au mimi mwenyewe ninapo sema nahara , watu wananiambia kunywa maji ya chumvi au kunya coma quine na kuendelea ndio hao wataalamu wetu wa muhimbili
 
Mkuu August, soma mwanzo wa thread hii ni opinionated questions!.

Maswali nimeyaunda mwenyewe na kusuggest posible answers. Jana nilisema watalazimishwa kurejea kazini na watakao kataa will face the music. Nilifikiri Iron Lady ataitia kiburi serikali isiwafate madaktari mahali walipo, jana serikali imewapigia magoti kupitia mawaziri wake 3!. Madaktari wakagoma wanamtaja Pinda!. Sasa leo Pinda watampata na atawaambia yale yale ya jana "madai yenu ni genuine, serikali imeyapokea na kwa vile yanahusu sekta mtambuka, uwezo wa nchi kulipa/ hazina ya taifa/ wizara ya fedha/wizara ya Afya/ Wizara ya Utumishi etc etc, its obvious it will take time". Mtoto wa Mkulima atatoa chozi kidogo kuwalilia wagonjwa waliokufa jana na wale wanaokufa leo, atakuwa pia ameshika magazeti kuonyesha ripoti za mateso Watanzania walala hoi wanavyoteseka, then atamalizia " Chonde Chonde ndugu zangu madakitari, nawaombeni sana muwaonee huruma Watanzania wenzetu wanaoteseka na msiba huu!. Nawaombeni sana mrejee kazini wakati serikali ikishughulikia madai yenu". Mimi na serikali yangu, tuko chini ya miguu yenu!".

Pia Mtoto wa Mkulima atawapa madakitari hao salaam zao kutoka Davos!.

Kama na leo wataendelea kugoma, yale masaa 48 yanamalizika Jumatatu asubuhi!. Sikilizieni kitakachofuatia.

unajua wewe kiingereza chako ni kizuri na chenye mtiririko mzuri kuliko wangu na unajua mambo ya reported speech, sasa kwa uelewa wangu mdogo nimekuona unatumia ngeli/structure ya reported speech.
 
Hivi kati ya madaktari na serikali, nani anasababisha mateso na vifo kwa wagonjwa??
Mgonjwa haponeshwi na serikali wala waziri, mgonjwa anaponyeshwa na daktari hivyo jibu lipo wazi kabisa.. Mgogoro baina ya madaktari na viongozi unaweza kuwa mkosa ni serikali, lakini anayesababisha mateso na vifo ni Daktari aliyegoma kumtibu mgonjwa.

Ukigombana na mkeo na akaamua kutowapikia watoto chakula akijua bwana hujui kupika sidhani kama ni busara kumlalamikia bwana kwa kutokubaliana na mke. Mwanamke anatakiwa kujali kwanza maisha ya mtoto wake maswala ya mume pembeni na zipo njia za deal naye.
 
Mgonjwa haponeshwi na serikali wala waziri, mgonjwa anaponyeshwa na daktari hivyo jibu lipo wazi kabisa.. Mgogoro baina ya madaktari na viongozi unaweza kuwa mkosa ni serikali, lakini anayesababisha mateso na vifo ni Daktari aliyegoma kumtibu mgonjwa.

Ukigombana na mkeo na akaamua kutowapikia watoto chakula akijua bwana hujui kupika sidhani kama ni busara kumlalamikia bwana kwa kutokubaliana na mke. Mwanamke anatakiwa kujali kwanza maisha ya mtoto wake maswala ya mume pembeni na zipo njia za deal naye.

Kuna mahali nimesema kuwa hakuna daktari anayekula kiapo cha kulinda watanzania na mali zao. Waliokula kiapo hicho ndio wenye jukumu la kuhakikisha wanafanya kila lililo katika uwezo wao kuhakikisha kwamba hakuna hata mtanzania mmoja anapoteza maisha kama kweli vifo hivyo vingeweza kuepukika. Wanafanya hivyo??

Una maana mtu akishakuwa daktari anasahau maisha yake na familia yake na kuweka mbele maisha ya mgonjwa??

Kwa mfano huo huo, kama bwana hataki kuleta chakula nyumbani na badala yake anakwenda kula magengeni, mama atafanya nini???
 
Mkuu Mkandara, mimi naunga mkono madai ya madakitari ni genuine ila mgomo sio halali na hilo la kutunisha misuli kupitiliza linaninatatiza kidogo!. Lets hope hiyo deadlock itaisha leo!.
Swali langu lipo aya ya mwisho
Mkandara;3225496]Kwa maana kwamba ukikubali kuwa Daktari basi unawajibika kama rais au waziri aliyeomba kuwatumikia wananchi kuwa rais au waziri..JK anawajibika kivyake kwa wananchi kama anavyowajibika daktari na yeyote baina yao anapovunja ahadi ya Uzalendo wake kwa wananchi tunatakiwa umlaani
Wakuu naomba kusahihishwa kama nitakosea. Rais ndiye mtumishi namba moja wa umma. Ndiye msimamizi mkuu wa watumishi wa umma kupitia katibu kiongozi. Rais anawajibika kwa wananchi ikiwa ni pamoja na Madaktari. Rais hawajibiki kwa watu waliopatwa na mafuriko tu, au madaraja yalivyovunjika, anawajibika pia kwa kuhakikisha wale wote wanaofanya kazi katika serikali yake wanawajibishwa au wanapewa stahiki zao kwa mujibu wa mkataba kati yao na mwajiri wao ambaye ni serikali inayoundwa na Rais.

Madaktari wanawajibika kwa mwajiri wao ambaye ni serikali, na Rais ameajiriwa na wananchi. Linapotokea tatizo kati ya madaktari na serikali, ni wajibu wa wananchi kumuuliza mwajiriwa wao Rais kimetokea nini na si wananchi kuwauliza madaktari.
Hakuna uwajibikaji wa madaktari kwa wananchi bali mahusiano ya madktari na wananchi kikazi yanayotafsiriwa kama uwajibikaji.
Kwa sababu hizo serikali iliyoajiri madaktari inaongea na waajiriwa wa serikali madaktari. Mwananchi naye aoongee na mtumishi wake serikali kujua nini kimetokea

Sisi wananchi tuna wajibu wa kumbana mtumishi wetu tuliyemwajiri Rais atuambie kimetokea nini
Tunawalaumu viongozi wetu toka JK, Pinda mawaziri wa AFYA, watumishi wa serikali na ngazi zote zinazohusika na janga hili lakini kugoma kwa madaktari hakutupunguzii wananchi madhara bali kunatuongezea. Na nimezisema njia zote bora ikiwa vita ni baina ya madaktari na viongozi. Hawa viongozi ni binadamu, pia wanaumwa kila siku ya Mungu kutafuta madaktari wazuri.. Hivyo kupitia chombo chao wakubaliane akija kiongozi na malaria au homa hapewi dawa wamwambie akaonane na mwenyekiti au aende India, kisha watatia akili ya kuhakikisha Hospital zetu zinapewa vipaumbele
Hapa mkuu unaji contardict kwasababu kama umeshasema kazi ya daktari na kiapo chake ni kumhudumia binadamu na kwa hakika nakubali hilo. Usisahau kuwa kiapo cha udaktari kinasema 'nitamhudumia mtu kama mgonjwa bila kujali rangi, wadhifa, imani n.k' . Haiwezekani chombo cha madaktari kikabagua viongozi kwani kwa kufanya hivyo watakiuka kiapo. Siku zote daktari hamtibu mtu bila kujali jambo lolote linalohusiana na mtu huo. Ndiyo maana Red cross wakiwa katika uwanja wa vita hutibu majeruhi bila kujali ni wa upande gani.

Pili, hata kama kwa kukiuka kiapo chao madaktari wataamua kutowatibu hao viongozi, kwa nchi kama Tanzania ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Wao hawatibiwi hapa wanatibiwa India, South Africa, London na New york. Ni sababu hizo ndizo zinafanya wasijali kunatokea nini katika hospitali zetu. Wake zao wanajifungulia Cape Town , kiongozi huyo atajuaje kuwa wazazi wanalala chini Temeke
Kugoma kwao hakutawasaidia lolote na amini maneno yangu kama wewe ungekuwa ktk nafasi ya rais au waziri usingekubali kabisa kusalimu amri kwa waajiriwa wako hasa pale wanapowaumiza wananchi. Wao waliweka saini kukubali mikataba ktk hali waliyoikuta na kama kumepungua hali hiyo wanaweza peleka malalamiko yako hasa pale yanapohusu usalama na malipo yao lakini sii kutumia POSHO kama kigezo cha mgomo.. This is too low!..
Mkuu, anayeumiza wananchi ni serikali. Lau kana kwa kipindi cha mwaka mmoja wangekuwa wamepewa jibu linalotokana na madai yao tusingefika hapa tulipo.

Tukumbuke kuwa moja ya taratibu za mkataba wao ni kupewa nyumba na kama hakuna wapewe kiaisi cha kufidia. Kipengele hicho kimeondolewa pasi wao kujulishwa kama sehemu ya mkataba wao unavyosema. Sasa hapa wakiuliza wanakuwa wamekosea nini. Na wameuliza zaidi ya mwaka hakuna anayejishughulisha nao. Kwanini mkuu uangalie mkataba pale wanapotakiwa wawajibike na si mkataba hata pale wanapotakiwa wapewe haki zao!

Kuna madaktari ambao huhitaji kwa zamu na wengine katika hospitali kama Muhimbili wana kachumba kakusubiri dharura. Hii ni sehemu ya kazi yao ambapo laiti wangekuwa na makazi karibu wasingefikia hatua ya kulala na wagojwa katika kijichumba. Kinachoudhi ni pale ambapo hata kidogo kinachomuwezesha kuhudumia taifa kimeondolewa na yeye amebaki kuzurura katika korido akisubiri kuitwa kama ipo haja. Hili ni hali hatarishi kama alivyodai mkuu Mkandara na hakuna anayeonekana kujali.

Swali langu kwa mkuu Mkandara na Pasco ni hili. Endapo wamefikisha malalamiko yako kwa njia za amani na za taratibu za kazi zao kwa miaka na hakuna anayejali, je kuna njia gani mbadala ambayo wangeitumia ili kuepeusha madhara kwa wagonjwa na wakati huo huo wakishinikiza kupata haki na stahiki zao.
 
Mkuu Nguruvi3, hebu kwanza pitia hii haoafu unipe maoni yako ndipo tuendelee.
g
Nimejaribu kukaa kimya lakini nafsi yangu inanisuta. Siwezi kuendelea kukaa kimya. My opinion is unpopular, lakini nitasema.

Nitagusa hoja moja baada ya nyingine kama zilivyotolewa na "jumuiya ya madaktari".

Kuongezwa mshahara: Jumuiya imetoa tarakimu zisizo sahihi kuwa mshahara wa daktari ni sh. laki 7. Hii imeandikwa katika ripoti waliyoipeleka kwa waziri mkuu. Hii inadhihirisha kuwa jumuiya hii haiko serious katika hili swala. Lakini tuangalie uhalisia - jumuiya inataka mshahara uongezwe toka hiyo laki 7 (ambayo si sahihi) mpaka miil. 3.5 with immediate effect. Hivi kweli is it reasonable kudai ongezeko la asilimia 500 la mshahara na uongezwe mara moja la sivyo unagoma? Katika historia, swala hili madaktari hawajafanya jitihada za kujadiliana na serikali kidiplomasia. Ulipotokea mgogoro wa interns wa muhimbili kuhamishwa vituo, basi madaktari wakaibuka na kutaka mshahara wa 3.5 mil na kugoma. Mambo hayafanyiki hivi! Tukiwaambia madaktari waonyeshe barua waliyokwishawahi kuiandikia serikalli kuomba mshahara huo, hakuna atakayetoa barua au ushahidi wowote kwa sababu madaktari wameanza na mgomo moja kwa moja. Siungi mkono mgomo wa namna hii.

Madaktari kupewa nyumba: Mara nyingi adui wa daktari huwa daktari mwenzake. Hili swala la nyumba lilishajadiliwa huko nyuma. Nini kilitokea? Baada ya madaktari wa muhimbili kuthibitishiwwa kuwa wao watalipwa sh laki 4 kila mwezi basi chama cha madaktari ambacho viongozi wake wengi ni madaktari wa muhimbili wakapoteza interest ya kubargain na serikali ili posho hiyo wapate madaktari wa nchi nzima. Chama hicho kilikataa kabisa mara kadhaa kuitisha vikao vya kujadili posho za nyumba huku wakitoa sababu za kuepusha migomo. Sasa hivi inakuja "jumuiya ya madaktari" na kuilazimisha serikali kutoa posho hizo with immediate effect. Siku zote madaktari walikuwa wapi? Je walikuwa wanangoja interns wafukuzwe muhimbili ndio wakumbuke kuwa wanahitaji nyumba? Standing orders za mwaka 1994 zinaeleza kinaga ubaga kuwa daktari anastahili kupewa nyumba, standing orders za mwaka 2009 hazimtaji daktari katika watumishi wanaostahili kupewa nyumba. Maafisa utumishi wote wanatafsiri kuwa standing orders za mwaka 2009 zimemtoa daktari kwenye kundi la watakaopewa nyumba. Ni lini madaktari walienda kujadili hili na wizara ya utumishi? je ni sahihi kuanza na mgomo? Ili madaktari warudishiwe stahili hiyo ni LAZIMA kifungu kwenye standing orders za mwaka 2009 kifanyiwe marekebisho. Je, hilo linaweza kufanyika with immediate effect? Madaktari wamekuwa wavivu kufuatilia mambo yanayowahusu na siwezi kuunga mkono mgomo wa kundi la wavivu wa kubargain na kulobby.

Call allowance: "Jumuiya ya madaktari" inataka call allowance ilipwe kwa half per diem. This is very simple! Kwa nini mnagoma kwenda kazini during working hours? Ni kweli kuwa daktari anastahili kulipwa angalau sh. elfu 40 kwa call lakini solution yake ni rahisi kuliko zote. Madaktari waingie kazini, muda wa kazi ukiisha madaktari warudi nyumbani kama watumishi wengine. Wasikae call mpaka watakapokubaliwa kulipwa kiasi hicho. Kugoma kwenda kazini asubuhi kwa sababu ya malipo madogo ya zamu ya usiku doesn't make sense. lakini again, jitihada gani zimefanyika awali kuhakikisha call inaongezwa? Can doctors provide evidence of their effeorts? HAKUNA.

Mazingira duni ya kazi: Swala la mazingira duni ya kazi ikiwemo wagonjwa kulala chini sio la kulalamikiwa na madaktari. Hili swala waachieni wananchi wenyewe. Daktari unachotakiwa kujua ni capacity ya hospitali yako, beyond that usipokee mgonjwa. Ukishampokea basi unalea ubovu. MV Bukoba, MV spice zilizama kwa sababu ya kubebeshwa mzigo mkubwa kuliko uwezo wake. MV Muhimbili nayo inaingia kwenye hili kundi. Nani alaumiwe? Nahodha lazima awe miongoni mwa watu wa kulaumiwa. Kama madaktarri wataendelea kupekea wagonjwa wengi kuliko idadi ya vitanda it is obvious kuwa wengine watalala chini. hata Ulaya wangekubali kupokea wagonjwa wengi kulikoi uwezo kungekuwa na wagonjwa wanaolala chini. Ila Ulaya swala hilo halipo. Nafasi zikijaa zimejaa, mgonjwa apelekwe wapi, sio swala la daktari. Hata hiyo hospitali unayofanya kazi hujaijenga wewe daktari, ilijengwa kwa sababu mahitaji yalikuwepo. Ukiendelea kupokea wagonjwa wengi kuliko uwezo unaonyesha kuwa mahitaji sio urgent. Wagonjwa wakikosa pa kulazwa ndipo wananchi watashinikiza viongozi wao wawahakikshie facilities za kutosha.

Interns kuhamishiwa hospitali nyingine: Sababu iliyotolewa kuwa hospitali nyingine hazina vifaa inakosa uzito kwa sababu kuna madaktari ambao wapo huko kwenye hizo hospitali nyingine wanafanya intern. Hata hivyo hili swala ni so benign, haliwezi kusababisha mgomo nchi nzima.

Huduma huuzwa na kununuliwa. Bei ya huduma uamuliwa na nguvu za mahitaji na upatikanaji wa huduma. Hakuna daktari aliyelazimishwa kufanya kazi serikali. Kwanini madaktari wanakimbilia kufanya kazi serikalini? Madaktari wawe wakweli na watuambie faida zilizopo serikalini. kwanini madaktari wasitoe notice ya kuacha kazi serikali na kwenda kufanya kazi sehemu bora zaidi. Tanzania kuna soko huria. Kama watu walitumia mamilioni kwenda Loliondo basi hata daktari wanayeamini huduma zake watamfuata popote alipo. Madaktari mnangoja nini kutambua hili?

Mwisho: Mgomo ni risasi ya mwisho. Si sahihi kwa wasomi kutatua changamoto wanazokutana nazo kwa kuanzia na mgomo. Tanzania ni nchi masikini, ili umasikini huo uondoke ni LAZIMA tushirikiane WOTE kuutoa. Ewe daktari, jiulize ni mara ngapi umeingia kazini kwa muda unaostahili na ukafanya kazi mpaka muda wa kazi kuisha? Je, tabia yako ya kila siku kazini inachangia kuondoa umasikini wa nchi yetu? Kila mtu aweke jibu lake moyoni na kujiuliza tena, je mgomo unaoendelea hivi sasa unapaswa kuungwa mkono? Je, kwa siku hizi mlizogoma mshahara mnauchukua wote bila aibu?

Also: Am just curious, nani analipia gharama za kukodi ukumbi wa mikutano wa Starlight Hotel ambao madaktari wamekuwa wakikutania kwa siku kadhaa?!

Mungu Ibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Mkuu Pasco,
Nashukuru sana, hayo ni maoni ya ZeMarcopolo ambayo tunayaheshimu. Maoni hayo sio lazima yawe facts lakini yanaweza kuwa na facts ndani yake.Nakuhakikishia kuwa suala la majadiliano lilikuwepo na nyaraka za mawasiliano zipo. Ni makosa kusema ..... (Hakuna) kwasababu tu hatujaona barua au uthibitisho wa mawasiliano kati yao katika vyombo vya habari.

Kama anayosema ZeMarcopolo ni sahihi basi wizara isingehaika au PM asingehangaika kwasababu hayo ni majibu tosha, kinachowasumbua ni ukweli ambao ukifumuka utawaweka mahali pa gumu.

Sasa nijibu baadhi ya hoja za ZeMarcopolo:

1. Marcopolo hakusema kuwa hao Interns walikuwa hawajalipwa mishahara yao kwa miezi 3. Ni hadi pale walipoanza mgomo serikali ikawahakikishia kuwa watalipwa. Hakuna barua ya mawasiliano iliyoonekana kati ya serikali na wao lakini ukweli wa tamko la serikali kuhusiana na madai yao upo. ZeMarcopolo pengine kwa hisia anasahau hoja zinazogusa maisha ya watu kama mishahara
Kuongezwa mshahara: Jumuiya imetoa tarakimu zisizo sahihi kuwa mshahara wa daktari ni sh. laki 7. Hii imeandikwa katika ripoti waliyoipeleka kwa waziri mkuu. Hii inadhihirisha kuwa jumuiya hii haiko serious katika hili swala.jumuiya inataka mshahara uongezwe toka hiyo laki 7 (ambayo si sahihi) mpaka miil. Hivi kweli is it reasonable kudai ongezeko la asilimia 500 la mshahara na uongezwe mara moja la sivyo unagoma? Ulipotokea mgogoro wa interns wa muhimbili kuhamishwa vituo, basi madaktari wakaibuka na kutaka mshahara wa 3.5 mil na kugoma.Tukiwaambia madaktari waonyeshe barua waliyokwishawahi kuiandikia serikalli kuomba mshahara huo, hakuna .
Mkuu ZeMarcopolo, Hujatuambia mshahara sahihi wa Dakatari ni kiasi gani. Kama laki 7 si sahihi tunaomba utubainishie vinginevyo umewahukumu ukiwa huna ushahidi.

Nakubaliana na hoja kuwa sio reasonable kwa uhalisia. Kinachoisuta nafsi yangu ni kuwa mbona Wabunge walidai posho(sio mshahara) wa onezeko la asilimia 200. Hapa kulikuwa na rationale gani na kwanini hiyo rationale isionekane unreasonable.

Wabunge kulipwa posho ya kukaa katika kiti chake siku moja ni kubwa kuliko mshahara wa mtu wa mwezi, kuna tofauti gani na mtu anayeomba mshahara 500% ili ufikie 3.5 M ambazo ni sawa na posho ya mbunge kukalia kiti chake siku 17!! Kwanini tunakuwa na makengeza inapofikia hapo
Call allowance: "Jumuiya ya madaktari" inataka call allowance ilipwe kwa half per diem. This is very simple! Kwa nini mnagoma kwenda kazini during working hours?. Madaktari waingie kazini, muda wa kazi ukiisha warudi nyumbani kama watumishi wengine. Wasikae call mpaka watakapokubaliwa kulipwa kiasi hicho. Kugoma kwenda kazini asubuhi kwa sababu ya malipo madogo ya zamu ya usiku doesn't make sense. lakini again, jitihada gani zimefanyika awali kuhakikisha call inaongezwa?
Unaposema malipo madogo ni dhahiri umeamua kuwadharau na pengine kuwa na chuki nao. Ni madogo ukilinganisha na 200,000 za mbunge lakini kwa mtu anayelipwa mshahara wa Tz hizo call ni kubwa. Pili unaposema hakuna ushahidi wa barua narejea kauli kuwa umeandika kwa hisia tu. Ungerudi nyuma ukaona kwanini call ilianzishwa maana haikuwepo ungefahamu. Ungehudhuria vikao vya MAT ungejua nini kimejadiliwa. Si vema kusema 'hakuna' kwa hisia tu

Unapokwenda kazini asubuhi halafu ukataa kwenda call ni kuwadanganya wananchi. Daktari akiwa call maana yake anahitajika kuokoa maisha. Sasa unapotibu mtu mwenye mafua halafu ukaacha aliyepata ajali usiku wa manane sijui inakuwaje.

Inawezekana hapa kuna upungufu wa kuelewa Dr On call maana yake nini. Nakuhakikishia kuwa call ni life and death, sasa unachoshauri ni kuwa madaktari wahudhurie asubuhi ili kuridhisha umma halafu usiku wamuache mama mjazito afariki.
Hiyo kwa wengine ina mantiki, kwa medical professionals it is unethical, inhumane and gross violation of values and principle of medicine.
Ni afadhali uwape watu taarifa wajue mbadala mapema kuliko kusubiri wafie reception usiku. Ni mawazo ya ZeMarcopolo ninayoyaheshimu lakini hayaaminishi ndio uhalisia na yamekosa vionjo muhimu
Mazingira duni ya kazi: Swala la mazingira duni ya kazi ikiwemo wagonjwa kulala chini sio la kulalamikiwa na madaktari. Hili swala waachieni wananchi wenyewe. Daktari unachotakiwa kujua ni capacity ya hospitali yako, beyond that usipokee mgonjwa. Ukishampokea basi unalea ubovu. MV Bukoba, MV spice zilizama kwa sababu ya kubebeshwa mzigo mkubwa kuliko uwezo wake. MV Muhimbili nayo inaingia kwenye hili kundi. Nani alaumiwe? Nahodha lazima awe miongoni mwa watu wa kulaumiwa. Kama madaktarri wataendelea kupekea wagonjwa wengi kuliko idadi ya vitanda it is obvious kuwa wengine watalala chini. hata Ulaya wangekubali kupokea wagonjwa wengi kulikoi uwezo kungekuwa na wagonjwa wanaolala chini. Ila Ulaya swala hilo halipo. Nafasi zikijaa zimejaa, mgonjwa apelekwe wapi, sio swala la daktari. Hata hiyo hospitali unayofanya kazi hujaijenga wewe daktari, ilijengwa kwa sababu mahitaji yalikuwepo. Ukiendelea kupokea wagonjwa wengi kuliko uwezo unaonyesha kuwa mahitaji sio urgent. Wagonjwa wakikosa pa kulazwa ndipo wananchi watashinikiza viongozi wao wawahakikshie facilities za kutosha
mkuu Pasco, kama hii ndiyo umeifanya reference naona kuna tatizo. Nianze kusema kuwa ZeMarco hafahamu taratibu za kazi na mipaka ya kazi za Dakatari. Nimkubushe kuwa kauli ya kuwa kama hospitali imejaa Daktari asipokee mgonjwa ina contradict hoja zake na ku dilute kile anachosimamia.

Usipopokea mgonjwa kwa maneno mengine ni sawa na kugoma, jambo lile lile analolilaani. Pili, Kazi ya Dr ni kutibu wagonjwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa mazingira ya matibabu yanajitosheleza na ni sahihi kwa viwango vya utaalamu. Kazi ya kupokea wagonjwa inafanywa na kada nyingine na kazi ya kujua hospitali ina wagonjwa wangapi ni ya uongozi wa Hospitali. Uongozi hauna maana Ma Dr, ingawa kuna Dr viongozi.

Kazi ya Dr akiwa wodini ni kuhakikisha kuwa, mathalani, mgonjwa wa operesheni yupo katika mazingira yasiyohatarisha maisha yake.
Ni kuhakikisha kuwa waginjwa hawaambukizani n.k na hapa ndipo hoja yao ya kuwa mazingira ni mabaya inapokuwa na mashiko.
Huwezi kufanya operesheni, kwa mfano, na kumuacha mgonjwa sakafuni akiwa na wagonjwa wengi wanaoweza kuathiri afya ya huyu mahututi kutokana na mazingira. Kwa hiyo ni sahihi Dr Kuongelea mazingira.

Anapokjichanganya ZeMarco ni pale anaposema kuwa 'wagonjwa kulala chini sio suala la Dr' halafu anasema 'Dr anatakiwa ajue capacity ya Hospitali yake'. Tafakari kama kauli hizo mbili zina mantiki na zinawiana
Interns kuhamishiwa hospitali nyingine: Sababu iliyotolewa inakosa uzito, hili swala ni so benign
Hapa ZeMarco anashindwa kuelewa kuwa Intern ni Dr anayechukua uzoefu kamili na anapaswa kuwa katika nafasi ya kuelewa mambo mengi. Wale wazooefu waliopo huko aliposema wanauzoefu tayari na si busara kumpa intern uzoefu mbaya. Sina uhakika kama mantiki imeeleweka. Suala hilo ni benign ukiliangalia juu juu, lakini siku utakapokatwa sehemu zako za siri kwasababu intern hakuweza kutumia vifaa kama inavyotakiwa inakuwa sio benign, inakuwa Fatal
Hakuna daktari aliyelazimishwa kufanya kazi serikali. Kwanini madaktari wanakimbilia kufanya kazi serikalini? Madaktari wawe wakweli na watuambie faida zilizopo serikalini. kwanini madaktari wasitoe notice ya kuacha kazi serikali na kwenda kufanya kazi sehemu bora zaidi. Madaktari mnangoja nini kutambua hili?
Kwa viwango vya WHO Dr mmoja wa Tanzania anahudumia watu 50,000 kinyume na inavyotakiwa. Kuna uhaba wa Dr katika Hospitali. Wale unao waona wengi ni Clinical Officer na AMO. Medical Officers hawajafikia viwango vya mikoa na huko wilayani usiseme. Kwahiyo unapo encourage watu wakimbie ni hoja dhaifu sana

Hata hivyo Dr wengi siku hizi wanafanya kazi zingine zenye malipo, na hiyo kuna wakati ilileta taabu sana MUHAS kupata watu wa ku specialize katika fani kama Medicine, Gyn na Pediatrics. Wengine bado wanatimka na wenzetu Botswana na kwingeneko wanafaidi matunda ya kazi na kodi zetu kwa sisi kutofikiri kidogo tu. Kuna Wa Cuba wanalipwa dollar 8,000 kwa mwezi kwa kazi ile ile anayofanya Dr wa kitanzinia. Wakwetu wakiondoka tutaleta Wa Cuba.

Mbona wabunge wanapodai posho na mishahara minene hatuwapi hiyo kauli. Kwani wao wameshikiwa bunduki wawe wabunge! si wanaweza kufanya kazi zingine kwanini tuone kwa Dr
Mwisho: Mgomo ni risasi ya mwisho. Si sahihi kwa wasomi kutatua changamoto wanazokutana nazo kwa kuanzia na mgomo. Tanzania ni nchi masikini, ili umasikini huo uondoke ni LAZIMA tushirikiane WOTE kuutoa
Haaa! hivi Tanzania ni masikini, kama ni masikini Wabunge wanaishi Tanzania ipi. Mbona wao hawashirikiani nasi kuutoa umasikini. Unaona hapa watu wanavoji changanya.

Nimewauliza Wakuu Pasco na Mkandara, hivi uzalendo unaanzia wapi unaishi wapi, na wewe ZeMarco nakuuliza hivi umasikini wa Tanzania unaondolewa na akina nani na akina nani wamesamehewa.

Nauliza wote, ni njia gani nzuri ingetumika kupata haki ikiwa tunajua haki haipatikani katika silver plate kwa serikali kama ya Tz.
 
Mkuu Pasco,
Nashukuru sana, na naomba uelewe kuwa hayo ni maoni ya ZeMarcopolo ambayo tunayaheshimu. Maoni hayo sio lazima yawe facts lakini yanaweza kuwa na facts ndani yake.

Nakuhakikishia kuwa suala la majadiliano lilikuwepo na nyaraka za mawasiliano zipo. Ni makosa kusema ..... (Hakuna) kwasababu tu hatujaona barua au uthibitisho wa mawasiliano kati yao katika vyombo vya habari.

Kama anayosema Mkuu ZeMarcopolo ni sahihi basi wizara isingehaika au PM asingehangaika kwasababu hayo ni majibu tosha. Kinachowasumbua wakubwa wa serikali ni ukweli ambao ukifumuka utawaweka mahali pa gumu.

Sasa nijibu baadhi ya hoja za ZeMarcopolo:
1. Marcopolo hakusema kuwa hao Interns walikuwa hawajalipwa mishahara yao kwa miezi 3. Ni hadi pale walipoanza mgomo serikali ikawahakikishia kuwa watalipwa. Hakauna barua ya mawasiliano iliyoonekana kati ya serikali na wao lakini ukweli wa tamko la serikali kuhusiana na madai yao upo. ZeMarcopolo pengine kwa hisia anasahau hoja zinazogusa maisha ya watu kama mishaharaMkuu ZeMarcopolo, Hujatuambia mshahara sahihi wa Dakatari ni kiasi gani. Kama wao wamesema laki 7 na si sahihi tunaomba utubainishie vinginevyo umewahukumu ukiwa huna ushahidi.

Nakubaliana na hoja kuwa sio reasonable kudai ongezeko hilo kwa uhalisia. Kinachoisuta nafsi yangu ni kuwa mbona Wabunge walidai posho(sio mshahara) wa onezeko la asilimia 200. Hapa kulikuwa na rationale gani na kwanini hiyo rationale isionekane unreasonable.
Kwa hali halisi ya nchi yetu hivi mtu kulipwa posho ya kukaa katika kiti chake siku moja ni kubwa kuliko mshahara wa mtu wa mwezi, kuna tofauti gani na mtu anayeomba mshahara 500% ili ufikie 3.5 M ambazo ni sawa na posho ya mbunge kukalia kiti chake siku 17!! Kwanini tunakuwa na makengeza inapofikia hapo

Unaposema malipo madogo ni dhahiri umeamua kuwadharau na pengine kuwa na chuki nao. Inaweza kuwa ni madogo lakini kwao ni makubwa. Ni madogo ukilinganisha na 200,000 za mbunge lakini kwa mtu anayelipwa mshahara wa Tz hizo call ni kubwa. Pili unaposema hakuna ushahidi wa barua narejea kauli kuwa umeandika kwa hisia tu. Ungerudi nyuma ukaona kwanini call ilianzishwa maana haikuwepo ungefahamu. Ungehudhuria vikao vya MAT ungejua nini kimejadiliwa. Si vema kusema hakuna maana ikiwepo hoja zako zote zitakosa mantiki na mashiko.

Unapokwenda kazini asubuhi halafu ukataa kwenda call ni kuwadanganya wananchi. Dakatari akiwa call maana yake anahitajika kuokoa maisha. Sasa unapotibu mtu mwenye mafua halafu ukaacha aliyepata ajali usiku wa manane sijui inakuwaje.
Inawezekana hapa kuna upungufu wa kuelewa Dr On call maana yake nini. Nakuhakikishia kuwa call ni life and death, sasa unachoshauri ni kuwa madaktari wahudhurie asubuhi ili kuridhisha umma halafu usiku wamuache mama mjazito afariki. Hiyo kwa wengine ina mantiki, kwa medical professionals it is unethical, inhumane and gross violation of values and principle of medicine.
Ni afadhali uwape watu taarifa wajue mbadala mapema kuliko kusubiri wafie reception usiku. Huko ni kuvizia ambako ni kubaya kuliko kuwa mkweli. Ndio maana nasema haya ni mawazo ya ZeMarcopolo ninayoyaheshimu lakini hayaaminishi ndio uhalisia na yamekosa vionjo muhimu


mkuu Pasco, kama hii ndiyo umeifanya reference naona kuna tatizo. Kwanza nianze kwa kusema kuwa ZeMarco hafahamu taratibu za kazi na mipaka ya kazi za Dakatari. Nianze kumkubusha kuwa kauli ya kuwa kama hospitali imejaa Daktari asipokee mgonjwa ina contradict hoja zake na ku dilute kile anachosimamamia. Usipopokea mgonjwa kwa maneno mengine ni sawa na kugoma, jambo lile lile analolilaani. Pili, Kazi ya Dakatari ni kutibu wagonjwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa mazingira ya matibabu yanajitosheleza na ni sahihi kwa viwango vya utaalamu. Kazi ya kupokea wagonjwa inafanywa na kada nyingine na kazi ya kujua hospitali ina wagonjwa wangapi ni ya uongozi wa Hospitali. Uongozi hauna maana Madkatari ingawa kuna madkatari viongozi.

Kazi ya Dr akiwa wodini ni kuhakikisha kuwa, mathalani, mhonjwa wa operesheni yupo katika mazingira yasiyohatarisha maisha yake. Ni kuhakikisha kuwa waginjwa hawaambukizani n.k na hapa ndipo hoja yao ya kuwa mazingira ni mabaya inapokuwa na mashiko.
Huwezi kufanya operesheni, kwa mfano, na kumuacha mgonjwa skafuni akiwa na wagonjwa wengi wanaoweza kuathiri afya ya huyu mahututi kutokana na mazingira. Kwa hiyo ni sahihi Dr Kuongelea mazingira.

Anapokjichanganya ZeMarco ni pale anaposema kuwa 'wagonjwa kulala chini sio suala la Dr' halafu anasema tena 'Dr anatakiwa ajue capacity ya Hospitali yake'. Hebu angalia hapa halafu utafakari kama kauli hizo mbili zina mantiki na zinawiana kama si kuji contaradict pengine kutokana na hisia aua hasira. Hapa pia ZeMarco anashindwa kuelewa kuwa Intern ni Dr anayechukua uzoefu kamili na anapaswa kuwa katika nafasi ya kuelewa mambo mengi. Wale waliopo huko aliposema wanauzoefu tayari na si busara kumpa intern uzoefu mbaya. Sina uhakika kama mantiki imeeleweka. Suala hilo ni benign ukiliangalia juu juu, lakini siku utakapokatwa sehemu zako za siri kwasababu intern hakuweza kutumia vifaa kama inavyotakiwa inakuwa sio benign, inakuwa Fatal Kwa viwango vya WHO Dr mmoja wa Tanzania anahudumia watu 50,000 kinyume na inavyotakiwa. Kunauhaba wa Dr katika Hospitali. Wale unao waona wengi ni Clinical Officer na AMO. Medical Officers hawajafikia viwango vya mikoa na huko wilayani usiseme. Kwahiyo unapo encourage watu wakimbie inaweza kuwa hoja, siku nduguyo atakapotikana na yasiyotarajiwa utaelewa maana yake nini.

Hata hivyo Dr wengi siku hizi wanafanya kazi zingine zenye malipo, na hiyo kuna wakati ilileta taabu sana MUHAS kupata watu wa ku specialize katika fani kama Medicine, Gyn na Pediatrics. Wengine bado wanatimka na wenzetu Botswana na kwingeneko wanafaidi matunda ya kazi na kodi zetu kwa sisi kutofikiri kidogo tu. Kuna Wacuba wanalipwa dollar 8,000 kwa mwezi kwa kazi ile ile anayofanya Dr wa kitanzinia. Wakwetu wakiondoka tutaleta Wa Cuba.

Mbona wabunge wanapodai posho na mishahara minene hatuwapi hiyo kauli. Kwani wao wameshikiwa bunduki wawe wabunge! si wanaweza kufanya kazi zingine kwanini tuone kwa Dr Haaa! hivi Tanzania ni masikini, kama ni masikini Wabunge wanaishi Tanzania ipi. Mbona wao hawashirikiani nasi kuutoa umasikini. Unaona hapa watu wanavoji changanya.

Nimewauliza Wakuu Pasco na Mkandara, hivi uzalendo unaanzia wapi unaishi wapi, na wewe ZeMarco nakuuliza hivi umasikini wa Tanzania unaondolewa na akina nani na akina nani wamesamehewa.

Nauliza wote, ni njia gani nzuri ingetumika kupata haki ikiwa tunajua haki haipatikani katika silver plate




Also: Am just curious, nani analipia gharama za kukodi ukumbi wa mikutano wa Starlight Hotel ambao madaktari wamekuwa wakikutania kwa siku kadhaa?!

Mungu Ibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mkuu Nguruvi3, kwanza asante kwa majibu haya, nakuomba uyakate na kuyapaste kule kwa Ze Marcopolo kwenye thread ya Siungi Mkono Mgomo wa Madaktari", mimi nakusoma tena in between the lines ndipo nikujibu!
 
Mkuu Pasco,
Nashukuru sana, hayo ni maoni ya ZeMarcopolo ambayo tunayaheshimu. Maoni hayo sio lazima yawe facts lakini yanaweza kuwa na facts ndani yake.Nakuhakikishia kuwa suala la majadiliano lilikuwepo na nyaraka za mawasiliano zipo. Ni makosa kusema ..... (Hakuna) kwasababu tu hatujaona barua au uthibitisho wa mawasiliano kati yao katika vyombo vya habari.

Kama anayosema ZeMarcopolo ni sahihi basi wizara isingehaika au PM asingehangaika kwasababu hayo ni majibu tosha, kinachowasumbua ni ukweli ambao ukifumuka utawaweka mahali pa gumu.

Sasa nijibu baadhi ya hoja za ZeMarcopolo:

1. Marcopolo hakusema kuwa hao Interns walikuwa hawajalipwa mishahara yao kwa miezi 3. Ni hadi pale walipoanza mgomo serikali ikawahakikishia kuwa watalipwa. Hakuna barua ya mawasiliano iliyoonekana kati ya serikali na wao lakini ukweli wa tamko la serikali kuhusiana na madai yao upo. ZeMarcopolo pengine kwa hisia anasahau hoja zinazogusa maisha ya watu kama mishaharaMkuu ZeMarcopolo, Hujatuambia mshahara sahihi wa Dakatari ni kiasi gani. Kama laki 7 si sahihi tunaomba utubainishie vinginevyo umewahukumu ukiwa huna ushahidi.

Nakubaliana na hoja kuwa sio reasonable kwa uhalisia. Kinachoisuta nafsi yangu ni kuwa mbona Wabunge walidai posho(sio mshahara) wa onezeko la asilimia 200. Hapa kulikuwa na rationale gani na kwanini hiyo rationale isionekane unreasonable.

Wabunge kulipwa posho ya kukaa katika kiti chake siku moja ni kubwa kuliko mshahara wa mtu wa mwezi, kuna tofauti gani na mtu anayeomba mshahara 500% ili ufikie 3.5 M ambazo ni sawa na posho ya mbunge kukalia kiti chake siku 17!! Kwanini tunakuwa na makengeza inapofikia hapo Unaposema malipo madogo ni dhahiri umeamua kuwadharau na pengine kuwa na chuki nao. Ni madogo ukilinganisha na 200,000 za mbunge lakini kwa mtu anayelipwa mshahara wa Tz hizo call ni kubwa. Pili unaposema hakuna ushahidi wa barua narejea kauli kuwa umeandika kwa hisia tu. Ungerudi nyuma ukaona kwanini call ilianzishwa maana haikuwepo ungefahamu. Ungehudhuria vikao vya MAT ungejua nini kimejadiliwa. Si vema kusema 'hakuna' kwa hisia tu

Unapokwenda kazini asubuhi halafu ukataa kwenda call ni kuwadanganya wananchi. Daktari akiwa call maana yake anahitajika kuokoa maisha. Sasa unapotibu mtu mwenye mafua halafu ukaacha aliyepata ajali usiku wa manane sijui inakuwaje.

Inawezekana hapa kuna upungufu wa kuelewa Dr On call maana yake nini. Nakuhakikishia kuwa call ni life and death, sasa unachoshauri ni kuwa madaktari wahudhurie asubuhi ili kuridhisha umma halafu usiku wamuache mama mjazito afariki.
Hiyo kwa wengine ina mantiki, kwa medical professionals it is unethical, inhumane and gross violation of values and principle of medicine.
Ni afadhali uwape watu taarifa wajue mbadala mapema kuliko kusubiri wafie reception usiku. Ni mawazo ya ZeMarcopolo ninayoyaheshimu lakini hayaaminishi ndio uhalisia na yamekosa vionjo muhimu mkuu Pasco, kama hii ndiyo umeifanya reference naona kuna tatizo. Nianze kusema kuwa ZeMarco hafahamu taratibu za kazi na mipaka ya kazi za Dakatari. Nimkubushe kuwa kauli ya kuwa kama hospitali imejaa Daktari asipokee mgonjwa ina contradict hoja zake na ku dilute kile anachosimamia.

Usipopokea mgonjwa kwa maneno mengine ni sawa na kugoma, jambo lile lile analolilaani. Pili, Kazi ya Dr ni kutibu wagonjwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa mazingira ya matibabu yanajitosheleza na ni sahihi kwa viwango vya utaalamu. Kazi ya kupokea wagonjwa inafanywa na kada nyingine na kazi ya kujua hospitali ina wagonjwa wangapi ni ya uongozi wa Hospitali. Uongozi hauna maana Ma Dr, ingawa kuna Dr viongozi.

Kazi ya Dr akiwa wodini ni kuhakikisha kuwa, mathalani, mgonjwa wa operesheni yupo katika mazingira yasiyohatarisha maisha yake.
Ni kuhakikisha kuwa waginjwa hawaambukizani n.k na hapa ndipo hoja yao ya kuwa mazingira ni mabaya inapokuwa na mashiko.
Huwezi kufanya operesheni, kwa mfano, na kumuacha mgonjwa sakafuni akiwa na wagonjwa wengi wanaoweza kuathiri afya ya huyu mahututi kutokana na mazingira. Kwa hiyo ni sahihi Dr Kuongelea mazingira.

Anapokjichanganya ZeMarco ni pale anaposema kuwa 'wagonjwa kulala chini sio suala la Dr' halafu anasema 'Dr anatakiwa ajue capacity ya Hospitali yake'. Tafakari kama kauli hizo mbili zina mantiki na zinawiana Hapa ZeMarco anashindwa kuelewa kuwa Intern ni Dr anayechukua uzoefu kamili na anapaswa kuwa katika nafasi ya kuelewa mambo mengi. Wale wazooefu waliopo huko aliposema wanauzoefu tayari na si busara kumpa intern uzoefu mbaya. Sina uhakika kama mantiki imeeleweka. Suala hilo ni benign ukiliangalia juu juu, lakini siku utakapokatwa sehemu zako za siri kwasababu intern hakuweza kutumia vifaa kama inavyotakiwa inakuwa sio benign, inakuwa Fatal Kwa viwango vya WHO Dr mmoja wa Tanzania anahudumia watu 50,000 kinyume na inavyotakiwa. Kuna uhaba wa Dr katika Hospitali. Wale unao waona wengi ni Clinical Officer na AMO. Medical Officers hawajafikia viwango vya mikoa na huko wilayani usiseme. Kwahiyo unapo encourage watu wakimbie ni hoja dhaifu sana

Hata hivyo Dr wengi siku hizi wanafanya kazi zingine zenye malipo, na hiyo kuna wakati ilileta taabu sana MUHAS kupata watu wa ku specialize katika fani kama Medicine, Gyn na Pediatrics. Wengine bado wanatimka na wenzetu Botswana na kwingeneko wanafaidi matunda ya kazi na kodi zetu kwa sisi kutofikiri kidogo tu. Kuna Wa Cuba wanalipwa dollar 8,000 kwa mwezi kwa kazi ile ile anayofanya Dr wa kitanzinia. Wakwetu wakiondoka tutaleta Wa Cuba.

Mbona wabunge wanapodai posho na mishahara minene hatuwapi hiyo kauli. Kwani wao wameshikiwa bunduki wawe wabunge! si wanaweza kufanya kazi zingine kwanini tuone kwa Dr Haaa! hivi Tanzania ni masikini, kama ni masikini Wabunge wanaishi Tanzania ipi. Mbona wao hawashirikiani nasi kuutoa umasikini. Unaona hapa watu wanavoji changanya.

Nimewauliza Wakuu Pasco na Mkandara, hivi uzalendo unaanzia wapi unaishi wapi, na wewe ZeMarco nakuuliza hivi umasikini wa Tanzania unaondolewa na akina nani na akina nani wamesamehewa.

Nauliza wote, ni njia gani nzuri ingetumika kupata haki ikiwa tunajua haki haipatikani katika silver plate kwa serikali kama ya Tz.
Mkuu Nguruvi3 nimekusoma na kukuelewa fika jinsi ulivyomjibu Zemarco tena kwa hoja za msingi!.
Sasa lets cut the long story short, kuna mahali umesema " kwa medical professionals it is unethical, inhumane and gross violation of values and principle of medicine.".

Na umeuliza "Nauliza wote, ni njia gani nzuri ingetumika kupata haki ikiwa tunajua haki haipatikani katika silver plate"
Kwa vile haki haiji kwenye kisahani cha chai, bali inadaiwa, do you justify mgomo huu ambao ni unethical, inhumane and gross violation of values and principle of medicine at the expence of human loss of life?.

Tangu ile thread ya Mzee Mwanakijiji, nimekubali madai yao ni genuine na mgomo kwenye ile initial stage was right, lakini kama leo watakataa mwito wa Pinda kukutana nao, nasisitiza they deserves to be fired without mercy!.
 
Mkuu Nguruvi3 nimekusoma na kukuelewa fika jinsi ulivyomjibu Zemarco tena kwa hoja za msingi!.
Sasa lets cut the long story short, kuna mahali umesema " kwa medical professionals it is unethical, inhumane and gross violation of values and principle of medicine.".

Na umeuliza "Nauliza wote, ni njia gani nzuri ingetumika kupata haki ikiwa tunajua haki haipatikani katika silver plate"
Kwa vile haki haiji kwenye kisahani cha chai, bali inadaiwa, do you justify mgomo huu ambao ni unethical, inhumane and gross violation of values and principle of medicine at the expence of human loss of life?.

Tangu ile thread ya Mzee Mwanakijiji, nimekubali madai yao ni genuine na mgomo kwenye ile initial stage was right, lakini kama leo watakataa mwito wa Pinda kukutana nao, nasisitiza they deserves to be fired without mercy!.
Nguruvi3: Inawezekana hapa kuna upungufu wa kuelewa Dr On call maana yake nini. Nakuhakikishia kuwa call ni life and death, sasa unachoshauri ni kuwa madaktari wahudhurie asubuhi ili kuridhisha umma halafu usiku wamuache mama mjazito afariki.
Hiyo kwa wengine ina mantiki, kwa medical professionals it is unethical, inhumane and gross violation of values and principle of medicine.
Ni afadhali uwape watu taarifa wajue mbadala mapema kuliko kusubiri wafie reception usiku
.

Moja ya medical ethics ni veracity ikisemwa honest without deception. Unapomwambia mtu hutakuwepo kazini kesho kwasababu unafuatilia abdc hapo umefanya veracity.

Ukienda kazini asubuhi na kuagiza mgonjwa apate vipimo akuletee kesho, bahati mbaya akazidiwa usiku na halafu Dr ukakataa kumtibu kwasababu hupati on call allowance hapo umekosa veracity, ndipo unethical, inhumane and gross violation of values and principle of medicine inapoingia
 
Final Update.
Tulichosema kinaweza kutokea, kesho sio mbali. Migomo mingi huwa intensified na ascalated na blown beyond proportion na mob physchology. Kesho serikali itahakikisha hakuna kukutana ili kuivunja hiyo mob psychology ili uamuzi wa kuripoti kazini au kutoripoti, ubaki kuwa individual.

Wale madaktari mnaosoma jf, mnahitaji busara kubwa zaidi kuliko ile ya mikusanyiko kufikia maamuzi ya busara. Uamuzi uliotangazwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wa kuwaamuru mrudi kazini bila kutoa jibu lolote kuhusu madai yenu ya msingi, kivita inamaanisha mmekuwa 'ambushed'!. Vitani mkishakuwa ambushed, kila mtu anatafuta njia yake mahali wa kutokea na mnaretreat mpaka kwenye RV yenu, mnajipanga upya ndipo mna strike tena!.

Hizi kauli za shinikizo la kuendelea kugoma, ni kweli umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu, lakini katika umoja huo tangulizeni maslahi ya taifa mbele, mkiendelea kutunisha misuli ni kweli mtakuwa fired, na ni kweli kuna baadhi yenu watagain kwa kwenda kupata kazi nje ya nchi, lakini kuna wengine wata loose na to be rendered jobless overnight!.

Kesho asubuhi ripotini kazini hata kama sio lazima mtibu, then endelezeni go slow mpaka kilio chenu kijibiwe!
 
Mgonjwa haponeshwi na serikali wala waziri, mgonjwa anaponyeshwa na daktari hivyo jibu lipo wazi kabisa.. Mgogoro baina ya madaktari na viongozi unaweza kuwa mkosa ni serikali, lakini anayesababisha mateso na vifo ni Daktari aliyegoma kumtibu mgonjwa.

.
Ndo ulipokosea.
Hata katika katiba ya Tanzania ambayo tunasema imepitwa na wakati, imetamka wazi kuwa afya ya kila Mtanzania ni jukumu la Serikali. Daktari na au mfanyakazi mwingine wa afya ni chombo cha kutekeleza hilo.
The assassin, slaughter, executioner, the monsterkiller, assailant is the Government.
 
Final Update.
Migomo mingi huwa intensified na ascalated na blown beyond proportion na mob physchology. Kesho serikali itahakikisha hakuna kukutana ili kuivunja hiyo mob psychology ili uamuzi wa kuripoti kazini au kutoripoti, ubaki kuwa individual.
!
Serikali ilikataza kukutana..ndiyo.
Lakini hawakuchukua simu za madaktari, hawakuchukua computer zao...
Wameendelea kukutana electronically.
Na sasa hata emergence zimesitishwa. Hiyo ni karata nyingine. Bado wanazo za ziada mfukoni.
Lakini pia wamekutana leo physically ukumbi wa Russian culture.
Mwambie mkeo asikamate uchungu.
 
Back
Top Bottom