Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,544
- Thread starter
- #41
Ndugu yangu Zing, Dr., nikutane nae wapi?, labda utokee tena msiba wa mwana jfchadema mwingine tukutane makaburini!.
- Wakuu ebu mwenye official statemt ya madai na malamiko ya madaktari aweke hapa
- @Pasco tumia nguvu uliyotumia kutafuta picha ya Slaa na Jk kumoba dk slaaa aje hapa atupe msimamo na kauli ya chama chake
Ila unaweza kumlazimisha kuzungumza kwa kumsingizia kitu kama ukipandisha thread na kudai, "Jee Mgomo wa Madaktari Unachochewa na Chadema Kama ile Migomo ya vyuo Vikuu?" au unaweza kuamua kumlisha Dr nanii maneno ili kumlazimisha kuyatema kama
" Kufuatia serikali kuwadharau madaktari. Dr. so and so ameapa Kuongoza Maandamano ya Watanzania Wote kuitwaa ile haki yake aliopokwa hivyo kuingia Ikulu moja kwa moja!. Amshauri ninii abakie uhamishoni huko huko alipo na asithubutu kukanyaga tena Tz"!. ukimlisha maneno kama hayo, fasta ataibuka kuyatema!.